Nitakuwa tofauti na Mh. Spika kuhusu hili la Bandari ya Bagamoyo


Kama ulikalia kimya wizi wa kura, ni kipi kinakufanya ushangae maamuzi ya watu wasio waadilifu? Hilo bunge liliwekwa na Magufuli kwa matumizi mabaya ya madaraka, hivyo hawajali lolote maana wamejua wananchi wanaweza kufanyiwa dhuluma na wakanyamaza. Sasa subiri hizo ndege uone zitakavyouzwa kwa bei ya vunja bei. Hapo ndio utajua ccm ni genge haramu na hatari kwa nchi hii.
 
Wewe Ole Mushi na Ndugai wote wana ccm. Nyote hamna jema na nchi hii
 
Tutauvunja kama wa Barick
Mkuu kwani mkataba wa Barrick umevunjwa? Hivi hujasikia juzi mama Samia alivyomuambia huko Barrick kuna mambo ambayo hayako sawa? Mkuu vuta subira, hilo genge haramu la ccm litavurugana utasikia ukweli utakao kufanya ujute kuzaliwa Tanzania.
 
bila kusahau presentation iliyomkuna ndugu yai
 
Tatizo kubwa kwa viongozi wengi ni fikra na mtazamo finyu, hivyo kujadili na kuamua mambo muhimu kwa taifa kwa ufinyu huo huo.
Pia TISS ina tatizo la intelligence na hivyo kuelekeza nguvu nyingi kufanya kazi za siasa chafu ndani ya nchi badala ya kupambana kimataifa.
Maadui wa taifa siyo raia wenye mitizamo na itikadi tofauti bali nchi nyingine zenye kutafuta faida dhidi ya Tanzania.
 
Mchina anajenga bwawa la umeme la wapi?, SGR Kapatiwa kipande cha kutoka Mwanza hadi Isaka,wapi tena wanajenga?.
 
Mkubwa

Sir lanka wanalia
 
Mostly 10%
 
Hivi maana ya EPZ nini nimesikia mama akikomaa mayo kweli si na bandari ina EPZ pia

Sent from my SM-A015F using JamiiForums mobile app
 
Naona wameamua kufanya upuuzi kwasababu sheria zipo kwa ajili ya wezi wa kuku tu.

Sasa Ndungai wakiingia kwenye mikataba ya kinyonyaji tutafukua hata kaburi lake na kupiga pingu
 
Naona wameamua kufanya upuuzi kwasababu sheria zipo kwa ajili ya wezi wa kuku tu.

Sasa Ndungai wakiingia kwenye mikataba ya kinyonyaji tutafukua hata kaburi lake na kupiga pingu
Itakuwa haisaidii tena chochote kiongozi
 
Bandari ya Bagamoyo ni muhimu sana kuliko kiwanja cha ndege cha chato kwa sasa.
 
Ikisha sainiwa ni too late, vizazi na vizazi wataaajibika, hahaa chezea mikataba wewe
Jamani Kenya wamejenga Bandari nyingine Malindi,inaisaidia sana bandari ya Mombasa.Sisi tunabishana kuhusu bandari ya Bagamoyo.Wenzetu wanakimbia sie tunatembea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…