Nitakuwa tofauti na Mh. Spika kuhusu hili la Bandari ya Bagamoyo

Ila na wewe sasa hutofautishi maana ya uwekezaji. Kwenye Bandari, china inawekeza. Kwenye SGR china ni contractor. KWenye Bwawa hakuna china. Mbona hata mambo ya nchi yenu hamuyajui? Baadaye uitwe interview, useme wanapendelea watu wao. Utakufa bila kazi ya maana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…