Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
𝑯𝒉𝒂𝒉𝒂𝒉𝒂𝒉𝒂𝒉 𝒉𝒂𝒕𝒂𝒓𝒊Kazi yangu ni kucomdnt ili nipate notification za kuendelea kusoma uzi huu
Huyu wa hapa naye ametimuliwa?Nakubaliana na Wewe Mkuu kwani kuna Mmoja wao yuko huko kwa sasa nashindwa kumuelewa japo anajikaza sana.
Ya Dar es salaamYa huko Dar es Salaam Tanzania uliko au hii ya hapa Kampala Uganda nilipo Mkuu?
KachafukwaaaaMama tena vipi? Huo mdomo sio kawaida😃😃😃
na kuna msemo unasema, spies come in many shapes...In, outer, counter, double, rotten hawawezi kuisha milele hiyo sio kazi ni sanaa ya utafutaji taarifa, unatafuta huku ukitafutwa, hivo uozo lazima uwepo
Nenda MMU mkuu.Hapa nimetoka kapa!
Unaogopa kuitaja ya jeshi wakati inajulikana, military intelligence,jeshi ndiyo hutrain recruits wa tiss kwenye ukakamavu na mapambanoJeshi wana unit yao kabisa nje ya hii yenye raia. Sitoitaja but hii tuilio izoea ina paramilitary officers ambao hawako tied to majeshi yetu ila wana operate kama independent unit, na hushirikiana na majeshi mengine likija suala la kushughulikia case zinazohitaji direct action, sabotage
Yani unakubaliana na yeye? Ngoja sasa tukutafute utueleze vizuri usoni ni jinsi gani mnakubaliana.Jamaa simkubali ila hapo aliesema kweli, nakubaliana nae .
Nenda MMU mkuu.
Inawezekana kuna ukweli 💯, kuna jamaa mmoja wa teeth kapost samaki pasipo maelezo yoyote.Naona kama ule mstari wa Samaki mmoja akioza
Lakini kwa kweli acha walifumue tu
Hakuna hatari hapo maana wanajulikana mpaka chakula wanachopenda
SawaMsije mkashangaa kuna vibosile wanapigwa vipapai wanatembea uchi barabarani ......watu wamechafukwa hawataki dharau za kipuuzi
😂 Hio system nzuri sana hata hapa bongo tunge adoptSs kama walio muweka ndio wanakuambia utekeleze hujuma Huku wakikusogezea briefcase limejaa USD dollars, 💵 ,utafanyaje ?,
Ndio maana USA raisi akimaliza Muda wake anaondoka na watu wake wote.