Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Aunty Ezekiel hajatengeneza shepu yake

Nitakuwa wa mwisho kuamini kama Aunty Ezekiel hajatengeneza shepu yake

 
20231021_102006.jpg
 
Muonekano wa sasa wa Aunty Ezekiel umetushtua watu wengi sana

Japo Aunty alikuwa na kishepu fulani hivi tangu hapo awali ila kwa sasa mmmmmmmmmmh surgery imehusika hapa tusidanganyanee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Aunty Kawa na mshepu wa haja ghafla na kuonesha msisistizo katuonesha liiiive ili tusije tukasema ni kigodoro.

Ila yote kwa yote muonekano huu umempendeza sana, hongera yake.

View attachment 2800026
Mm nimegawa like kama njugu

Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
 
Kwa sisi wengine hizo BBL tushazizoea zimekuwa za kawaida sana!

Kwa tuliofika DR, Medellin, Cali [curves] na kwingineko, hakuna kilicho cha ajabu tena.

Labda kilicho cha ajabu ni kukutana na asiye na BBL, lip fillers, nyonyo za kununua, vaginal tightening, n.k,.

Unaweza kutana na mdada ana watoto watatu. Katoto kamwisho ni kachanga kabisa [Summer Walker], lakini tumbo flat kabisa, nyonyo zimesimama na hazina dalili yoyote kama zinanyonywa na mtoto!

That’s the new normal.
Aiseee 🤔
 
Muonekano wa sasa wa Aunty Ezekiel umetushtua watu wengi sana

Japo Aunty alikuwa na kishepu fulani hivi tangu hapo awali ila kwa sasa mmmmmmmmmmh surgery imehusika hapa tusidanganyanee 😂😂😂😂😂😂

Aunty Kawa na mshepu wa haja ghafla na kuonesha msisistizo katuonesha liiiive ili tusije tukasema ni kigodoro.

Ila yote kwa yote muonekano huu umempendeza sana, hongera yake.

View attachment 2800026
Ukiona hivi ujue biashara imekuwa ngumu!
 
Muonekano wa sasa wa Aunty Ezekiel umetushtua watu wengi sana

Japo Aunty alikuwa na kishepu fulani hivi tangu hapo awali ila kwa sasa mmmmmmmmmmh surgery imehusika hapa tusidanganyanee 😂😂😂😂😂😂

Aunty Kawa na mshepu wa haja ghafla na kuonesha msisistizo katuonesha liiiive ili tusije tukasema ni kigodoro.

Ila yote kwa yote muonekano huu umempendeza sana, hongera yake.

View attachment 2800026


Sioni la ajabu katika hayo mnayoyaita mashape, kweli nitamheshimu sana mwanamke mwenye shape kwenye kicha chake - akili.
 
Back
Top Bottom