Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Uchumi wa Tanzania umeshuka kutokana na Corona na ndiyo maana Mishahara inapigwa tu 'Danadana' Kupandishwa

Nitakuwa wa mwisho Kuamini kuwa Uchumi wa Tanzania umeshuka kutokana na Corona na ndiyo maana Mishahara inapigwa tu 'Danadana' Kupandishwa

tupe data za kila project imegharimu sh ngapi ie compare labda chato na dar au dom ndio tutakuelewa, labda unaona ni project zipi ambazo zingeachwa labda ingetisha kuongeza mishahara. tumechoka na ngonjera zizikuwa na ushahidi
Usinichoshe hauna 'Akili' ya Kunielewa.
 
Mama anashindwa kuelewa mistakes za Jiwe zilizokuwa zinafunikwa kipropaganda zitakuwa exposed kwake, yeye ndiyo atakayebeba zigo lote na kuonekana mistakes ni zake.

Ushauri kwa mama, vunja baraza la mawaziri, weka watu influential na wenye explosure internationally, mfano, watu kama kina Prof. Muhongo nk hawa wana network na connections kimataifa, mtu kama Kitila atakusaidia nini! Weka watu wa maana Mama yetu Mungu akubariki!
 
Mama anashindwa kuelewa mistakes za Jiwe zilizokuwa zinafunikwa kipropaganda zitakuwa exposed kwake, yeye ndiyo atakayebeba zigo lote na kuonekana mistakes ni zake.

Ushauri kwa mama, vunja baraza la mawaziri, weka watu influential na wenye explosure international, mfano, watu kama kina Prof. Muhongo nk hawa wana network na connections kimataifa, mtu kama Kitila atakusaidia nini! Weka watu wa maana Mama yetu Mungu akubariki!
Tafadhali rekebisha hapo ulipoandika 'wenye explosure international' na uandike 'wenye exposure internationally' ambayo ndiyo sasa.

Fanya upesi kurekebisha kabla ya JamiiForums 'Wordsmiths' na Great Thinkers hawajaona na Kukukosoa huku Wakikucheka au hata Kukudhihaki.

Otherwise Mchango wako ni mzuri mno.
 
You're one of an authentic Moron on JF.
Yes, I am stupid as you prefer, does the provocation you make adds something to you being a brave and pundit to be trusted on whatever stinking trash staged on the fora? No, get your way to the abyss and do not venture with such threats anymore. Everybody has the freedom of expression as you did, so when you are challenged by others with alternate ideas gesture yourself to persevere the constructive incision.
 
Yes, I am stupid as you prefer, does the provocation you make adds something to you being a brave and pundit to be trusted on whatever stinking trash staged on the fora? No, get your way to the abyss and do not venture with such threats anymore. Everybody has the freedom of expression as you did, so when you are challenged by others with alternate ideas gesture yourself to persevere the constructive incision.
Una 'Kiingereza' cha 'Gays' je, ni Mdau?
 
Uko sawa kabisa uchumi ulishaanguka hata kabla ya COVID-19 lakini mama yetu na Serikali yake wamepata kisingizio cha kutuzuga Watanzania. Tangu 2016 uchumi ulianza kuanguka na tangu 2016 kasi ya uchumi kuanguka ikaongezeka kwa speed kubwa.
 
Una 'Kiingereza' cha 'Gays' je, ni Mdau?
Hapa ndio hua huelewekagi



Dakika moja unaweza ongea pointi na nondo za kushiba kabisaaaa...


Masaaa machache yanayofuata ukaandika ama kuongea pumba mpaka kuku hawazili.


Hivi umezaliwa na kamusi ya matusi?
Yaani wewe huna kitu kinachoitw kamausi ya maneno kwako umejaza misamiati ya matusi?

Uko na kichwa chenye ubongo mzuri ambao ingewezekana ungekuwa hazina kwa taifa. Shida umetunza vitu vizuri mnoo lakini umejaa matusi






Utashangaa na hapa utanitukana tuu......m
 
Hapa ndio hua huelewekagi



Dakika moja unaweza ongea pointi na nondo za kushiba kabisaaaa...


Masaaa machache yanayofuata ukaandika ama kuongea pumba mpaka kuku hawazili.


Hivi umezaliwa na kamusi ya matusi?
Yaani wewe huna kitu kinachoitw kamausi ya maneno kwako umejaza misamiati ya matusi?

Uko na kichwa chenye ubongo mzuri ambao ingewezekana ungekuwa hazina kwa taifa. Shida umetunza vitu vizuri mnoo lakini umejaa matusi






Utashangaa na hapa utanitukana tuu......m
Una ID ngapi hapa 'JamiiForums' labda?
 
Ninachojua GENTAMYCINE kwanini Mishahara imekuwa ikipigwa tu 'danadana' Kupandishwa kwa Watumishi nchini tokea 2016 hadi tarehe 17 March, 2021 ni......

1. Kukurupuka kuanzisha Miradi
2. Kuwekeza zaidi Chato
3. Kukomoa Matajiri wakubwa
4. Ufisadi mkubwa tu Serikalini
5. Kuharibu Mifumo ya Pesa
6. Usimamizi mbovu wa Mapato
7. Uhusiano mbaya Kidiplomasia

Ushauri wa bure tu kwa Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali 'Kivuli' cha Hayati Rais Dkt. Magufuli kisikutishe katika ama Kuamua au Kufanya yale unayoyaona ni bora ( sahihi ) kwa Watanzania na Tanzania kama nchi.

Nimekuwa nikikuangalia sana kwa Jicho langu Kali la Saikolojia yangu Kubwa ya Kiasili na Kugundua ya kuwa unapenda mno kufanya Mabadiliko hasa ya Kiuongozi, Kimaamuzi na Kiutendaji kutoka kwa Mtangulizi wako ( Hayati Rais Dkt. Magufuli ) ila ni kama vile 'Unaogopa' au 'Unajishtukia' labda Watu watakuelewa vibaya.

Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan tambua ya kwamba Hayati Rais Dkt. Magufuli aliandika Kitabu chake na ameondoka nacho tayari hivyo na Wewe huu sasa ni wakati wako Kukiandika chako ili Watanzania tukukumbuke ama pale Ukistaafu au hata nawe pia Ukitwaliwa ghafla ( japo siombei ) kama Mwenzako.

Ningeshauri tu hebu weka Uwiano ( Balansisha ) katika Kuinua Vipato vya Watanzania, Ustawi Wao na Miradi Muhimu ya Kimkakati. Inauma na Kukatisha Tamaa pia kuona Serikali iko 'busy' na Miradi tu huku Wananchi wake wakiteseka na kutokuwa na Vipato, uhaba wa Ajira na Kuishi kwa Matumaini pekee hali imayopelekea hata kuharibu Saikolojia zao ( zetu ) na wengine hata 'Kujitundika' ili Wafe wakayaanze Maisha mapya huko Udongoni ( Mavumbini )

Najua Rais wa Awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete ( nae alikuwa na Mapungufu yake fulani fulani ) ila nakuomba tu Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan usione Aibu 'Kuchota' Mawazo yake hasa katika Suala zima la Watanzania wanataka nini na hiyo Miradi yako uiendeshe vipi.

Mheshimiwa Rais Mama Samia namalizia tu kwa Kukuuliza Swali nimekusikia leo ukisema kuwa Janga la Corona ndiyo limesababisha usipandishe Mishahara ila Mwakani utapandisha.

Je, Wewe ni Mfalme Njozi ambaye umeshajua kuwa Mwakani ( 2022 ) hakutakuwa na Janga lolote ama Tanzania au Duniani kwa Ujumla? Je, kukitokea Janga lingine Kubwa tena tutegemee Mei Mosi ya 2022 utakuja tena na Kauli hii ya Matumaini Kwetu au utakuwa umeshakusanya Pesa za Kutosha na kwamba hata kutokee nini Wafanyakazi ( Watumishi ) nyongeza zao za Mishahara utakuwa umeshaitenga?

Tusitumie Janga hili la Corona kama Kimbilio letu Kuu la 'Utetezi' kwa Wananchi wa Tanzania wakati wenye Akili tunajua kuwa wale 'Corrupt Players' wote waliotajwa katika Ripoti ya CAG na sababu zangu hizo Saba ( 7 ) hapo juu ndiyo Chanzo cha yote na Ugumu huu wa Maisha ya Watanzania na Kushindwa mara kwa mara Kupandisha Mishahara.

Acha Kauli za Kisiasa zitakuharibia sana.
Popoma upo?
 
. Tangu 2015 -2021 SERIKALI 6 - 0 WATUMISHI. Kazi iendelee....!
 
Ndugu mfanya kazi haupo kwenye hilo ongezeko la 1%, inawahusu waliopo 270k had 540k ambao walikua wanakatwa 9% sasa watakatwa 8% kwa maelezo ya rais, vinginevyo tusubir ufafaniz kutoka tra labda.
Watu mnalalamikia kulipa 8% tax wakati mimi nalipa 25% + makato mengine lukuki huku Ulimwenguni!!
 
Usinichoshe hauna 'Akili' ya Kunielewa.
wewe ndio huelewi unaandika andika tu wakati data huna, chato na hiyo miradi mingine imetumia sh ngapi. hujui government expenditure kama ni component ya GDP. government wakispend alot ndio watu wanapata ajira na uchumi unakuwa hence multipliers effect. yaani unataka kusema wewe una akili au unajua sana kuliko serikali ambayo ina washsuri waliobobea kwenye mambo ya uchumi.
 
wewe ndio huelewi unaandika andika tu wakati data huna, chato na hiyo miradi mingine imetumia sh ngapi. hujui government expenditure kama ni component ya GDP. government wakispend alot ndio watu wanapata ajira na uchumi unakuwa hence multipliers effect. yaani unataka kusema wewe una akili au unajua sana kuliko serikali ambayo ina washsuri waliobobea kwenye mambo ya uchumi.
Juha.
 
wewe ndio huelewi unaandika andika tu wakati data huna, chato na hiyo miradi mingine imetumia sh ngapi. hujui government expenditure kama ni component ya GDP. government wakispend alot ndio watu wanapata ajira na uchumi unakuwa hence multipliers effect. yaani unataka kusema wewe una akili au unajua sana kuliko serikali ambayo ina washsuri waliobobea kwenye mambo ya uchumi.
hizi ni taaluma za watu si kila mtu alieshiba ugali anaweza ongekea haya mambo. ndio maana rais anakuwa na washauri
 
Mbona alikuwa anakusabahi tu in a positive response of your thread! By the way, hata we we mwenyewe umekuwa ukiji- nickname kuwa popoma mkuu. Hivyo sikutarajia katika hilo Genta' utoe matusi.
Unajua maana ya neno hilo la Popoma?
 
Back
Top Bottom