Nitakuwepo hapa kujibu hoja yoyote itakayoibuliwa na upinzani dhidi ya CCM kwa lengo la upotoshaji. Wapinzani jiandaeni maana nimejipanga vya kutosha

Kabla ya kufika huko,

Unawajua watu waliokuwa wameunganisha kiharamu mafuta kupitia Bomba la Umma bandarini,

Walikamatwa bt Hadi Leo Pana UKIMYAA...........!!!!!
 
Hata Mimi Nitakuwa side Yako kukisapoti
 
Mtoa hoja ni mpumbavu, hajajibu hata hoja moja hapo juu, mtoa hoja kanusha hili au afikiana nalo, ccm ni kikwazo cha maendeleo ndani ya nchi yetu maana wale maadui 3 bado wanetamalaki nchini na sasa wamemchukua binamu yao anayeitwa Rushwa na kuamua kuishi naye
 
Ujinga mzigo
 
Ujinga ,umasikini na maradhi vinaisumbua Marekani uwezo wake, liwe Jambo la kushangaza Tanzania? Ndio maana nimesema nitaijibu kila hoja yenye lengo la upotoshaji. Kikitokea Chama kikasema kitaondoa hayo mambo kabisa nitaujibu upotoshaji huo
 
Je ni wapinzani au wakosoajo wa serikali?
 
Ujinga ,umasikini na maradhi vinaisumbua Marekani uwezo wake, liwe Jambo la kushangaza Tanzania? Ndio maana nimesema nitaijibu kila hoja yenye lengo la upotoshaji. Kikitokea Chama kikasema kitaondoa hayo mambo kabisa nitaujibu upotoshaji huo
Loooooo kumbe hamnazo, Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ unailinganisha na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ kiuchumi!it's ok mkuu kumbe nawe ni delinquent member wa JF
 
Loooooo kumbe hamnazo, Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ unailinganisha na USA ๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ธ kiuchumi!it's ok mkuu kumbe nawe ni delinquent member wa JF
Sijailangisha Tanzania na USA kiuchumi ila nimeitumia Marekani kukupa picha kubwa ya tatizo la ujinga, umaskini na maradhi ambayo katika comment yako ya mwisho umewazungumzia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ