Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Kamanda Asiyechoka

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
3,315
Reaction score
5,058
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
"" chama legelege huzalisha serkali legege,, chama imala huzalisha serkali imala"""""
 
Hakika mkuu.
Screenshot_2020-09-29-15-08-54-1.jpg
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Bwashee we unaongea au unaropoka kamwe hatuwezi mpakia kwenye chopa ni rahisi kufanyiwa hujuma kama filip njombe hata magu naye amekua mwerevu chopa kamwachia majaliwa we hujui hujuma labda ,alafu unadai pesa kapiga mbowe mimi sikatai kapiga lakini siyo kama usemavyo kumbuka gharama ya kila siku kwa kampeni ya lisu ni milion 37.4 kwa wastani .mpaka kampeni iishe almost ni around bilion 3 hapo bado gharama nyinginezo wabunge wanakatwa milion 60 kila mwezi piga kwa mwaka ni milion 720 ukipiga kwa miaka 5 unapata bilion 3.6 sasa nambie mbowe kapiga ela wapi maana ruzuku haitoshi kuendesha chama na pia hiyo ruzuku inaishia kulipia mishahara ya top managment mfano lisu analipwa milion 7 kwa mwez uje mbowe ,uje makatibu wa mikoa ,posho za vikao ,kodi na umeme ,matengenezo ya magari, yan hata ela ya kampeni haitoshi mbowe anaangaika kuraiz fund usiku na mchana wewe umekaa baa unajiandikia kistor chako ukiona sisi wajinga
 
Bwashee we unaongea au unaropoka kamwe hatuwezi mpakia kwenye chopa ni rahisi kufanyiwa hujuma kama filip njombe hata magu naye amekua mwerevu chopa kamwachia majaliwa we hujui hujuma labda ,alafu unadai pesa kapiga mbowe mimi sikatai kapiga lakini siyo kama usemavyo kumbuka gharama ya kila siku kwa kampeni ya lisu ni milion 37.4 kwa wastani .mpaka kampeni iishe almost ni around bilion 3 hapo bado gharama nyinginezo wabunge wanakatwa milion 60 kila mwezi piga kwa mwaka ni milion 720 ukipiga kwa miaka 5 unapata bilion 3.6 sasa nambie mbowe kapiga ela wapi maana ruzuku haitoshi kuendesha chama na pia hiyo ruzuku inaishia kulipia mishahara ya top managment mfano lisu analipwa milion 7 kwa mwez uje mbowe ,uje makatibu wa mikoa ,posho za vikao ,kodi na umeme ,matengenezo ya magari, yan hata ela ya kampeni haitoshi mbowe anaangaika kuraiz fund usiku na mchana wewe umekaa baa unajiandikia kistor chako ukiona sisi wajinga
Acha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
 
Uchaguzi wa mwaka huu mlipanga mtumie shilingi ngapi?
 
Acha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
Yan hata hizo 34 kidogo hivi nikuulize ulishafanyaga hata kampeni ya udiwani ukajua gharama za kampeni au unapayukapayuka
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hela za kampeni tu mmezitafuna ivi tukiwapa nchi yetu mtuongoze simtatuuza kwa mabeberu nyie
 
Zikuwapi pesa za mchango wa tetemeko?

Gharama na matumizi uwanja wa ndege CHATO unazifahamu?

Kwanini iwe siri ya mlipaji mkuu wa serikali, mjomba wa jiwe, na mayanga construction mpwa wa jiwe?

Nasubiri majibu.
Kwahiyo unathibitisha mchango wa m1 kuyeyuka sio?
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Wewe Mamluki siyo mwanachadema , na ukiendelea na ujinga tutakuanika waziwazi kwa majina yako yote matatu .
 
Bwashee we unaongea au unaropoka kamwe hatuwezi mpakia kwenye chopa ni rahisi kufanyiwa hujuma kama filip njombe hata magu naye amekua mwerevu chopa kamwachia majaliwa we hujui hujuma labda ,alafu unadai pesa kapiga mbowe mimi sikatai kapiga lakini siyo kama usemavyo kumbuka gharama ya kila siku kwa kampeni ya lisu ni milion 37.4 kwa wastani .mpaka kampeni iishe almost ni around bilion 3 hapo bado gharama nyinginezo wabunge wanakatwa milion 60 kila mwezi piga kwa mwaka ni milion 720 ukipiga kwa miaka 5 unapata bilion 3.6 sasa nambie mbowe kapiga ela wapi maana ruzuku haitoshi kuendesha chama na pia hiyo ruzuku inaishia kulipia mishahara ya top managment mfano lisu analipwa milion 7 kwa mwez uje mbowe ,uje makatibu wa mikoa ,posho za vikao ,kodi na umeme ,matengenezo ya magari, yan hata ela ya kampeni haitoshi mbowe anaangaika kuraiz fund usiku na mchana wewe umekaa baa unajiandikia kistor chako ukiona sisi wajinga
Filip Njombe
 
Back
Top Bottom