Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Acha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
"Milioni 34 kwa siku"! Ina maana kwa mwezi huo mshahara ni shilingi bilioni ngapi. Nonsense.

Acheni umbeya, kuna watu wamepotea na trilioni 1.5 lakini mko kimya hadi wamejenga viwanja vya ndege vijijini kwao.
 
Ukishaona neno "Mwenyekiti wetu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki dhaifu kutoka chama mfu-CCM
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Lijuha-likali una machozi mengi!! Kwanini usianzishe bustani ya ‘mboga-mboga’ uwe unainyeshea kwa machoziiii??!
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Mtu na chama chake, anafanya atakacho.No wonder Lissu anakuwa na ma stress mengi kumbe yuko psychologically tortured.. Poleni Sana.
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Gastura kawaweza sana mwaka huu.

Mnapiga deal na mchaga mkadhani mtabaki salama
 
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
Chadema saccos matapeli wakubwa. Mbowe anajua Tundu hawezi toboa, ndio maana kambania asijetia chama hasara.Hiki chama kikipata dola, nakuhakikishia mwaka hautakwisha, nchi itakuwa imefilisika kabisa hata hizi ndege za Magufuli wanazozibeza wataziuza zote.
 
Bwashee we unaongea au unaropoka kamwe hatuwezi mpakia kwenye chopa ni rahisi kufanyiwa hujuma kama filip njombe hata magu naye amekua mwerevu chopa kamwachia majaliwa we hujui hujuma labda ,alafu unadai pesa kapiga mbowe mimi sikatai kapiga lakini siyo kama usemavyo kumbuka gharama ya kila siku kwa kampeni ya lisu ni milion 37.4 kwa wastani .mpaka kampeni iishe almost ni around bilion 3 hapo bado gharama nyinginezo wabunge wanakatwa milion 60 kila mwezi piga kwa mwaka ni milion 720 ukipiga kwa miaka 5 unapata bilion 3.6 sasa nambie mbowe kapiga ela wapi maana ruzuku haitoshi kuendesha chama na pia hiyo ruzuku inaishia kulipia mishahara ya top managment mfano lisu analipwa milion 7 kwa mwez uje mbowe ,uje makatibu wa mikoa ,posho za vikao ,kodi na umeme ,matengenezo ya magari, yan hata ela ya kampeni haitoshi mbowe anaangaika kuraiz fund usiku na mchana wewe umekaa baa unajiandikia kistor chako ukiona sisi wajinga
Milion 34 ni kwamba kila mkutano wana nunua gari jipya au!?
 
Usiniletee dharau,hivi mil 34 unadhani ni pesa kidogo,kwa majukwaa ya mbao anayotumia Lissu?
Tena ukizingatia hawapakizi watu kwenye malori m34 nyingi mnoo huyu jamaa anatuchanganyia konyagi kwenye maziwa kisha anasema ni zanzi.
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Haters at their peak
 
120236544_725533218176309_825973300854768471_n.jpg

Kama barua hii ya kweli Magu fungasha virago Magogoni..sisi Watanzania hatuitambui Ikulu ya Dodoma itabaki kuwa Ikulu ndogo kama za mikoa mingine
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
....RAIS ANAYEKULA RAMBIRAMBI HATUFAI........by Lissu-et Al.
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
We unaishi wapi sio nyie mliokataza helikpta 3e mbogamboga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hela za kampeni tu mmezitafuna ivi tukiwapa nchi yetu mtuongoze simtatuuza kwa mabeberu nyie
Kwa mabeberu tulishwauzwa tunahitaji mkombozi
 
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
Muwe mnaelewa
Jamaa kaeleza kuwa zile pesa zilizokuwa zikikatwa ndo zilimsaidia mgombea wao kupata matibabu short and clear
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
MATAGA mmepoteana vibaya mno this time around [emoji23] [emoji23]
 
kwa kweli kwa kweli kamanda hata sisi hapa tawi tunauliza michango ya wabubge wetu iweje iweje inatumikaje hali ya kuwa hatuna hata jengo la makao makuu
 
Back
Top Bottom