Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Ww mbona unajulikana ni kada mtakatifu tu, unaendelea kueneza propaganda tuu, ili ule buku Saba yako
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Atumie gari ndo anawafikia mananchi wengi?

Nyie maccm mlimyima kibali Cha helicopter mkadhani mnamkomoa kumbe mnampaisha
 
Nijuavyo mimi hiyo michango ni ya kuendesha shughuli za Chama, Si za kampeni. Ndio maana walipata hati safi kwenye hesabu zao na pia PCCB wamejitajidi kuchunguza hatujui matokeo yake.
Tuacheni fitina. Kamanda usiyechoka yaelekea wewe ni wa kule naniliiii na Si Kamanda kweli. Hoja zako nyingi ni za kuponda BAHATI mbaya hufanikiwi kuhamisha mjadala muhimu.
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
 
Kweli CCM wanamgwaya Magufuli na mpwawe Doto James wezi waliokubuhu mafisadi trillioni 1.5 zipo Chato hela za vitambulisho zipo Rwanda kwa Kagame atakokimbilia mwizi men
 
Nijuavyo mimi hiyo michango ni ya kuendesha shughuli za Chama, Si za kampeni. Ndio maana walipata hati safi kwenye hesabu zao na pia PCCB wamejitajidi kuchunguza hatujui matokeo yake.
Tuacheni fitina. Kamanda usiyechoka yaelekea wewe ni wa kule naniliiii na Si Kamanda kweli. Hoja zako nyingi ni za kuponda BAHATI mbaya hufanikiwi kuhamisha mjadala muhimu.
Ile ilikuwa michango maalumu kwa ajii ya uchaguzi.
 
Acha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
Pumbafu zinakuhusu nn we kibwengu wa lumumba.....hata ukiweka picha yaa lissu wew utabaki kuwa zombie la lumumba
 
Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.

Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.

Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Pumbavu, mmeishiwa cha kuandika
 
Back
Top Bottom