Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Hana lolote huyo mamluki , hajui mambo ya CHADEMA huyoSasa kosa kuhoji ilipoenda michango? aaaah jamen
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana lolote huyo mamluki , hajui mambo ya CHADEMA huyoSasa kosa kuhoji ilipoenda michango? aaaah jamen
Sawa Ila ungemoa jibu atulieHana lolote huyo Mamluki , hajui mambo ya Chadema huyo
Ww mbona unajulikana ni kada mtakatifu tu, unaendelea kueneza propaganda tuu, ili ule buku Saba yakoWabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.
Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.
Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Ila za huko kwenu hujazionaNimeuliza tuhuma za mwenyekiti wa CCM.
CHADEMAKwetu wapi?
Bwashee punguza hasira kwenye kampeni huwa kuna matangazo,mafuta,service, posho,walinzi,watu wa kuchukua habari,picha na video, hizo ni baadhi tuu
Reserve this for future use.Hakika mkuu.View attachment 1584541
Atumie gari ndo anawafikia mananchi wengi?Wabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.
Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.
Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?
Hivi kweli unasumbuka kujibizana na mataga bk7?Bwashee punguza hasira kwenye kampeni huwa kuna matangazo,mafuta,service, posho,walinzi,watu wa kuchukua habari,picha na video, hizo ni baadhi tuu
Isiwe tabu jombii Ila mleta mada ndio amehoji kuhusu m1 zinazokatwa wabunge wa huko itapendeza Kama utajikita kwenye kumjibu hiloUna uthibitisho gani Mimi Chadema?
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
Ile ilikuwa michango maalumu kwa ajii ya uchaguzi.Nijuavyo mimi hiyo michango ni ya kuendesha shughuli za Chama, Si za kampeni. Ndio maana walipata hati safi kwenye hesabu zao na pia PCCB wamejitajidi kuchunguza hatujui matokeo yake.
Tuacheni fitina. Kamanda usiyechoka yaelekea wewe ni wa kule naniliiii na Si Kamanda kweli. Hoja zako nyingi ni za kuponda BAHATI mbaya hufanikiwi kuhamisha mjadala muhimu.
Ile ilikuwa michango maalumu kwa ajii ya uchaguzi.
Pumba.Kweli ccm wanamgwaya magufuli na mpwawe doto james wrzi waliokubuhu mafisadi trillioni 1.5 zipo chato hela za vitambulisho zipo rwanda kwa kagame atakokimbilia mwizi men
Pumbafu zinakuhusu nn we kibwengu wa lumumba.....hata ukiweka picha yaa lissu wew utabaki kuwa zombie la lumumbaAcha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
Ukweli unauma...Pumbafu zinakuhusu nn we kibwengu wa lumumba.....hata ukiweka picha yaa lissu wew utabaki kuwa zombie la lumumba
Pumbavu, mmeishiwa cha kuandikaWabunge wa chama changu walikuwa wanakatwa mamilioni ya shilingi ili baadae pesa hizo zingetumika kwa ajili ya uchaguzi wa mwaka huu. Lakini inasemekana pesa hizo zimeyeyuka kama barafu iliyoanikwa juani.
Leo hii mgombea wetu anafanya kampeni kwa tabu sana,maana watu wasiowema walimshambulia na kumpatia ulemavu. Kwa hiyo ni wazi kuwa anakuwa amechoka muda mwingi. Alihitaji awe anasafiri na helikopta ili asichoke. Lakini upotevu wa pesa zilizochangwa kwa ajili ya kampeni ndio sababu ya mgombea wetu kufanya kampeni kwa tabu na shida.
Mfano jana alipomaliza kampeni mkoani Mara haikupaswa atumie gari kwenda Karatu na maeneo ya Kilimanjaro,alipaswa apande helikopta. Nani wa kulaumiwa ambae ametulete tabu sisi na mgombea wetu Cdm?