Uchaguzi 2020 Nitamlaumu Mwenyekiti wetu kwa kuruhusu hujuma

Acha hasira,ziko wapi hizo walizokatwa wabunge wetu? Mil 34 kwa siku tungechangisha wananchi? Acha stori za kitoto.
"Milioni 34 kwa siku"! Ina maana kwa mwezi huo mshahara ni shilingi bilioni ngapi. Nonsense.

Acheni umbeya, kuna watu wamepotea na trilioni 1.5 lakini mko kimya hadi wamejenga viwanja vya ndege vijijini kwao.
 
Ukishaona neno "Mwenyekiti wetu" kwenye heading jua tayari huyo ni mamluki dhaifu kutoka chama mfu-CCM
 
Lijuha-likali una machozi mengi!! Kwanini usianzishe bustani ya ‘mboga-mboga’ uwe unainyeshea kwa machoziiii??!
 
Mtu na chama chake, anafanya atakacho.No wonder Lissu anakuwa na ma stress mengi kumbe yuko psychologically tortured.. Poleni Sana.
 
Gastura kawaweza sana mwaka huu.

Mnapiga deal na mchaga mkadhani mtabaki salama
 
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
Chadema saccos matapeli wakubwa. Mbowe anajua Tundu hawezi toboa, ndio maana kambania asijetia chama hasara.Hiki chama kikipata dola, nakuhakikishia mwaka hautakwisha, nchi itakuwa imefilisika kabisa hata hizi ndege za Magufuli wanazozibeza wataziuza zote.
 
Milion 34 ni kwamba kila mkutano wana nunua gari jipya au!?
 
Usiniletee dharau,hivi mil 34 unadhani ni pesa kidogo,kwa majukwaa ya mbao anayotumia Lissu?
Tena ukizingatia hawapakizi watu kwenye malori m34 nyingi mnoo huyu jamaa anatuchanganyia konyagi kwenye maziwa kisha anasema ni zanzi.
 
Haters at their peak
 

Kama barua hii ya kweli Magu fungasha virago Magogoni..sisi Watanzania hatuitambui Ikulu ya Dodoma itabaki kuwa Ikulu ndogo kama za mikoa mingine
 
....RAIS ANAYEKULA RAMBIRAMBI HATUFAI........by Lissu-et Al.
 
We unaishi wapi sio nyie mliokataza helikpta 3e mbogamboga
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hela za kampeni tu mmezitafuna ivi tukiwapa nchi yetu mtuongoze simtatuuza kwa mabeberu nyie
Kwa mabeberu tulishwauzwa tunahitaji mkombozi
 
Kwenye hizi pesa hata mimi ninanusa hujuma. Chama hakina pesa wakati kuna wabunge walikuwa wanakatwa mil 1.5 kila mwezi
Muwe mnaelewa
Jamaa kaeleza kuwa zile pesa zilizokuwa zikikatwa ndo zilimsaidia mgombea wao kupata matibabu short and clear
 
MATAGA mmepoteana vibaya mno this time around [emoji23] [emoji23]
 
kwa kweli kwa kweli kamanda hata sisi hapa tawi tunauliza michango ya wabubge wetu iweje iweje inatumikaje hali ya kuwa hatuna hata jengo la makao makuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…