Tatizo ni imani haba.Mama mchungaji hebu msome hapa mtumishi wako
Dada yangu alishawahi kunitania kuwa eti niwatongoze wale ninaowapenda na nikitu ambacho siwezi hata kujaribu kufanya. Jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu?
Naombeni mawazo yenu, pengine nafikiri hadithi za kujenga magorofa hewani.
sasa hapa anataka mawazo ya mungu au yetu na kwanini asisubiri kama hapo juu alivyoandika, nanukuu (jamani nisaidieni au ndio niendelee kusubiri ubavu wangu kutoka kwa Mungu)
1. Awe Mkirstohapa mnadiskasi nini?
Siulikataa bwana!Ila usijali dearest zawadi is on the way!Mwakani itabidi nikutoe!
Jamani dearest hapa na do ze needful tu..akili iko kuleeee....Angalia tu usijenogewa yakakushinda,manake kaka yangu kutunza anajua,heshima anayo na mengine mengi!
all in all,i will be there for you!!
Jamani dearest hapa na do ze needful tu..akili iko kuleeee....
Hivi huyu mwenye hii thread mbona thread imefika page ya tano hajarudi bado kutupa feedback au bado anafanya recruitment:laugh::laugh::laugh:Tabia ya kuchakachua thread za watu si nzuri,twendeni chat room,na KImey apajue.....l.o.l:laugh::laugh:
Si shemeji yako alini-surprise jamani......!!!mwakani,namtoroka naenda beach na nyie!!!
:coffee::coffee::coffee::coffee:Jamani dearest hapa na do ze needful tu..akili iko kuleeee....
Hivi huyu mwenye hii thread mbona thread imefika page ya tano hajarudi bado kutupa feedback au bado anafanya recruitment:laugh::laugh::laugh:
ha ha ha ha ha,hivi Lizzy mpaka leo hamjaongea?no progress at all?
Kweli shemeji anastahili zawadi!Mwakana unamleta beach bwana..
:coffee::coffee::coffee::coffee:
Hahahaha dearest bwana!Yani kama ni safari...niko half way tayari!
Ila siku zote kimya kingi kina mshindo mkubwaSi kazi rahisi kuchagua,mwenyewe badala aite team ya recruitment,anafanya mwenyewe.....we Susy wewe.....l.o.l
Hahaha afadhali umenikumbusha kupunguza speed maana hata kupumua sipumui!Asante dearest!Hiyo ni hatua kubwa sana,sasa unaweza weka hata pozi kidogo,upumzike,ukusanye nguvu ya kumalizia the rest of the journey.....l.o.l
Mi happy to hear that dearest!!
Kumbe na jana akili yako itakuwa ilikuwa iko kuleee unakokusema.Kahawa na jua hili?Utazimia!Ulitaka akili iwe kwako?
Ilivyo ngumu kupata mume mwenye vigezo anavyotaka dada yetu hapo juu!
Wapi huko mamito?Tabia ya kuchakachua thread za watu si nzuri,twendeni chat room,na KImey apajue.....l.o.l:laugh::laugh:
hahahaha hakusoma thread ya FL, ya mutu nyeupe?1. Awe Mkirsto
2. awe mweupe
3. awe na feature ya maisha, kwani fedha hutafutwa
4. awe mrefu wa wastani
5. kuanzia miaka 30 kuendelea
Hommie kwa age yako hiyo unaweza kukubaliwa kwa kigezo kuwa vibabu wanakuwa sio wasumbufu l.o.lKwa JF nzima hakuna mwenye sifa izi? dah
Wapi huko mamito?
hahahaha hakusoma thread ya FL, ya mutu nyeupe?
hebu niulizie mie nnaye karibia 60s inakuwaje hapo?
Kidoogo tu!Si hata wewe ulikua unamfikiria mupenzi!?Kumbe na jana akili yako itakuwa ilikuwa iko kuleee unakokusema.
Kwa JF nzima hakuna mwenye sifa izi? dah
Wapi huko mamito?
hahahaha hakusoma thread ya FL, ya mutu nyeupe?
hebu niulizie mie nnaye karibia 60s inakuwaje hapo?