abulaaliyah77
JF-Expert Member
- Oct 13, 2021
- 1,750
- 1,158
Co muhuni tu bali jambazi pia
Polepole naye ni kati ya hao wahuni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polepole naye ni kati ya hao wahuni
Wewe ni taahira kabisa.Wanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Ni mmoja wao. Hana pakukimbilia.Polepole naye ni kati ya hao wahuni
AmenTuweke kumbukumbu vizuri, Magufuli ndio muhuni namba moja Tanzania .
Mungu amuongezee adhabu ya kaburi Amen.
Wahunk ndio nyie sasa mnaotajwa na polepole mwenzenuWanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Wahuni wote Mungu hatawaacha salama.Tuweke kumbukumbu vizuri, Magufuli ndio muhuni namba moja Tanzania .
Mungu amuongezee adhabu ya kaburi Amen.
Hahaaha all are hooligans. Wanatembelea ma Vieiti 200M wakati Madarasa ya 50M kuhudumia watu maelfu hakunaViongozi wote wa CCM tuna ma vieite😅,unaijua viete wewe?? Ndio tunatemebelea sisi zile..Katibu tawala anatembelea Land Cruiser hardtop 1HZ yenye Full AC!..
Wanataka kujifananisha na sisi?~ Amfredi Konokono
Wanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Muhuni mwingine huyu hapaWanachama na wafuasi wengi wa upinzani hawana akili. We ni mpumbavu.
Tuweke kumbukumbu vizuri, Magufuli ndio muhuni namba moja Tanzania .
Mungu amuongezee adhabu ya j
mhuni yule hana loloteAisee Polepole ni muhuni tena kazibukaah! Ka kitoto cha kike cha form 2 toka Buza.
Everyday is Saturday................................😎
Wahuni utawajua tuMuhuni mwingine huyu hapa
POLEPOLE NI LIHUNI LA KUTUPWAMh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
Pili Mh Polepole hakatai kuwa Wahuni hao( Hooligans) ni viongozi ndani ya chama na wengine wameshika nyazifa mbali mbali ndani ya serikali.
Mh Polepole anakubali kuwa hao wahuni ni watu walioaminiwa na wananchi wakapewa dhamana ya kuongoza.
Katika kipindi cha miaka 5-6 tumeshuhudia uhuni mwingi waliofanyiwa watanzania. Hasa chanzo kikiwa ni kutoka ndani na nje ya chama cha mapinduzi ambacho Polepole anakiri wahuni wako huko.
Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni. Hujamalizwa ile umekatwa mabega yalitaka kuzidi kichwa. Sasa ule uhuni umekutoka unaona wivu kwa wahuni waliobaki. Uhuni ni sifa ndani ya chama chenu kama ulivyofafanua.
1. Wahuni walidiriki kudanganya watanzania kuwa pesa za miradi ni za ndani kumbe walikuwa wakikopa kimya kimya na hatujui kama hizo pesa wahuni waliweka kwwnye miradi zote au zingine zilidondokea mifukoni mwa wahuni
2. 2019 Tanzania ilishuhudia vurugu( political hooligans) ikifanyika wakti wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ule ni uhuni wa karne.
3. Wahuni hawa walijaa kila kona ya nchi wakitembelea Noah Nyeusi na Nissani Nyeupe. Kiukweli yeyote aliyekutana nao hadi leo hajasahau kama hajfa basi kabaki na ulemavu wa kudumu. Wahuni wanatoka ccm kwa mujibu wa Polepole na wengine ni viongozi ngazi mbali mbali.
4. Wahuni wana tabia za kuharibu na kupora mali za waungwana. Kumbuka korosho za mtwara, Nyumba za kimara Dar es Salam na pesa za rambi rambi za Bukoba.
5. Polepole akiwa kiongozi wa wahuni anatuhumiwa kuendesha kampeni za kihuni za kununua na kuuza wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa. Kama kawaida ya wahuni hawakununui kwa pesa tu bali kwa vitisho kutaka kukua, kukuharibia mali, kukuachia ulemavu na Kukufunga kwa kesi ngumu ngumu.
7. Wahuni sio watu wazuri. Wamebomoa mali za machinga.
8. Wahuni wanapenda politoical violence and intimidations. Mwaka 2020 oktoba ni mwaka wa shetani na mwaka wahuni. Wahuni hawa wanapenda kutumia nguvu za dola kuanzisha vurugu, unyama na utesaji. Kama tulivyoshuhudia uhuni wakti wa kampeni hadi uchaguzi watu waliunguziwa nyuma, kupigwa na kuuawa. Wahuni hawakumalizwa bali walitengenezwa na kuwa wengi zaidi.
9. Wahuni hawapendi kuleta huduma za jamii hutumia pesa nyingi kujilinda na kukandamiza wengine. Wakati tunakaribia uchaguzi huona wahuni wakiagiza magari mengi ya washa washa kuliko magari ya Kuhudumia wagonjwa Ambulamce. Mwaka 2014 pekee yaliagizwa magari 700.
10. Kwa mara ya kwnza ktk bara la afrika wahuni walizima internet tanzania nzima na twitter tar 27 October. Wahuni hawapendi ukweli na uwazi. Matendo yao hupenda yafichwe yawe siri yasiongelewe.
11. Polepole wahuni mliwatengeneza sasa wamewageuka. Wewe na Bashiru ni miongoni mwa waathirika kutokana na vitendo vya wahuni.
Mnavuna mlichopanda. Na bado!!
Wahuni wenxiwe na Polepole kama Sabaya, anajidai hawaoniMh Polepole naona anazunguka sana kuwataja majina na level zao wahuni ambao anadai Serikali ya Awamu ya Tano ilishindwa kumalizana nao.
Kwanza Polepole anakubali kuwa Wahuni hao ni wanachama wa ccm.
Pili Mh Polepole hakatai kuwa Wahuni hao( Hooligans) ni viongozi ndani ya chama na wengine wameshika nyazifa mbali mbali ndani ya serikali.
Mh Polepole anakubali kuwa hao wahuni ni watu walioaminiwa na wananchi wakapewa dhamana ya kuongoza.
Katika kipindi cha miaka 5-6 tumeshuhudia uhuni mwingi waliofanyiwa watanzania. Hasa chanzo kikiwa ni kutoka ndani na nje ya chama cha mapinduzi ambacho Polepole anakiri wahuni wako huko.
Sasa wahuni hawa Hapa. Polepole acha kuzunguka mbuyu. Hata wewe ni Mhuni. Hujamalizwa ile umekatwa mabega yalitaka kuzidi kichwa. Sasa ule uhuni umekutoka unaona wivu kwa wahuni waliobaki. Uhuni ni sifa ndani ya chama chenu kama ulivyofafanua.
1. Wahuni walidiriki kudanganya watanzania kuwa pesa za miradi ni za ndani kumbe walikuwa wakikopa kimya kimya na hatujui kama hizo pesa wahuni waliweka kwwnye miradi zote au zingine zilidondokea mifukoni mwa wahuni
2. 2019 Tanzania ilishuhudia vurugu( political hooligans) ikifanyika wakti wa uchaguzi wa serikali za mitaa. Ule ni uhuni wa karne.
3. Wahuni hawa walijaa kila kona ya nchi wakitembelea Noah Nyeusi na Nissani Nyeupe. Kiukweli yeyote aliyekutana nao hadi leo hajasahau kama hajfa basi kabaki na ulemavu wa kudumu. Wahuni wanatoka ccm kwa mujibu wa Polepole na wengine ni viongozi ngazi mbali mbali.
4. Wahuni wana tabia za kuharibu na kupora mali za waungwana. Kumbuka korosho za mtwara, Nyumba za kimara Dar es Salam na pesa za rambi rambi za Bukoba.
5. Polepole akiwa kiongozi wa wahuni anatuhumiwa kuendesha kampeni za kihuni za kununua na kuuza wabunge kutoka vyama mbali mbali vya siasa. Kama kawaida ya wahuni hawakununui kwa pesa tu bali kwa vitisho kutaka kukua, kukuharibia mali, kukuachia ulemavu na Kukufunga kwa kesi ngumu ngumu.
7. Wahuni sio watu wazuri. Wamebomoa mali za machinga.
8. Wahuni wanapenda politoical violence and intimidations. Mwaka 2020 oktoba ni mwaka wa shetani na mwaka wahuni. Wahuni hawa wanapenda kutumia nguvu za dola kuanzisha vurugu, unyama na utesaji. Kama tulivyoshuhudia uhuni wakti wa kampeni hadi uchaguzi watu waliunguziwa nyuma, kupigwa na kuuawa. Wahuni hawakumalizwa bali walitengenezwa na kuwa wengi zaidi.
9. Wahuni hawapendi kuleta huduma za jamii hutumia pesa nyingi kujilinda na kukandamiza wengine. Wakati tunakaribia uchaguzi huona wahuni wakiagiza magari mengi ya washa washa kuliko magari ya Kuhudumia wagonjwa Ambulamce. Mwaka 2014 pekee yaliagizwa magari 700.
10. Kwa mara ya kwnza ktk bara la afrika wahuni walizima internet tanzania nzima na twitter tar 27 October. Wahuni hawapendi ukweli na uwazi. Matendo yao hupenda yafichwe yawe siri yasiongelewe.
11. Polepole wahuni mliwatengeneza sasa wamewageuka. Wewe na Bashiru ni miongoni mwa waathirika kutokana na vitendo vya wahuni.
Mnavuna mlichopanda. Na bado!!
Hahahaa yeye na genge lake hawafai kabisa.POLEPOLE NI LIHUNI LA KUTUPWA
Ndio uhuni wa polepole ulipo. Akiwambia awataje unaona anambwelambwele Interview ya jana ametia aibu sana.Wahuni wenxiwe na Polepole kama Sabaya, anajidai hawaoni
Polepoke anajidai hawapo na hawatolei neno lolote wakati mahakama imethibirisha ni wahuni.
Wahuni ni nyoko. Polepole amesema wamejaa kila idaraWahuni waka mstaafisha pro Assad baada ya kuanika madudu yao, wahuni sio watu wazuri