Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu, sio tu anaishi kwa kodi zetu, bali anazitumia kodi zetu ovyo kama mali yake binafsi, hivi majuzi tuliona kwenye social medias kwamba Aliamka saa 7 usiku baada kukosa usingizi akaamua kupiga simu kigoma kwenye ukumbi wa starehe ambapo vijana wa bongo fleva walikuwa katika starehe zao akawaambia anawachangia shilingi million 10 eti ku sapoti kazi yao ya kutoa burudani
Nasimama upande wakoMimi nawachukia hao fisi wa kijani wa Lumumba kuliko hata shetani! Ni afadhali kwenda motoni milele na shetani kuliko kukaa hata dakika moja na hayo mashetani ya kijani ya Lumumba!
Labda ugeni kwenye mambo ya uchumi ukapelekea kuboronga Na sio ugeni kwenye siasaRais magufuli ni mgeni kwa Mambo mengi ya kisiasa ndio maana ameharibu kila mahali nitamsamehe kwa sababu ya ugeni wake kwenye mambo ya uongozi kimataifa sisi Kama taifa tuliyumba ndio maana yeye akajiokotea pera (guava) kwenye mpapai.
Mungu anisamehe siwezi kumsamehe bashiru mpaka naingia kaburini!
Kwa sababu yeye ni msomi mkubwa Tanzania haya anayoyafanya Leo KISIASA sisi wengine tunamuangalia kwenye angle ya usomi mahiri wa UD.
Sawa amesaliti usomi ila nacc aturuhusu kwa mioyo yetu kunjufu tumsaliti na kumchukia milele!.
Imetupa picha ya Waafrika wasomi wajinga!
Mungu mkumbuke Tundu Lissu.
Wa kulaumiwa ni nyerere kutuletea katiba mbovu na maraisi wastaafu pia kwa kutoona umuhimu wa katiba ya wananchi japo wameona umuhimu wake sasa baada ya kuwa nje.Ipo tofauti ya katiba ya nyerere na katiba ya wananchi, ya nyerere hakuna mwanachi yeyote aliyeombwa kuishiriki bali ilikopiwa toka kwa dikteta Mao wa China na kuletwa itumikeMkuu, sio tu anaishi kwa kodi zetu, bali anazitumia kodi zetu ovyo kama mali yake binafsi, hivi majuzi tuliona kwenye social medias kwamba Aliamka saa 7 usiku baada kukosa usingizi akaamua kupiga simu kigoma kwenye ukumbi wa starehe ambapo vijana wa bongo fleva walikuwa katika starehe zao akawaambia anawachangia shilingi million 10 eti ku sapoti kazi yao ya kutoa burudani
Ni rumors tu lakini mambo huwa yanaanza kama rumors badae huwa kweli.Chanzo cha habari? Sijjaiona sehemu hiyo habari ya kupinduliwa kwake.
NENDA PALE UTAWALA SUPERMARKET KWA CHINI AGIZA DOMPO NNE NTALIPA TAJA BASIASI 2020Rais magufuli ni mgeni kwa Mambo mengi ya kisiasa ndio maana ameharibu kila mahali nitamsamehe kwa sababu ya ugeni wake kwenye mambo ya uongozi kimataifa sisi Kama taifa tuliyumba ndio maana yeye akajiokotea pera (guava) kwenye mpapai.
Mungu anisamehe siwezi kumsamehe bashiru mpaka naingia kaburini!
Kwa sababu yeye ni msomi mkubwa Tanzania haya anayoyafanya Leo KISIASA sisi wengine tunamuangalia kwenye angle ya usomi mahiri wa UD.
Sawa amesaliti usomi ila nacc aturuhusu kwa mioyo yetu kunjufu tumsaliti na kumchukia milele!.
Imetupa picha ya Waafrika wasomi wajinga!
Mungu mkumbuke Tundu Lissu.
Rais magufuli ni mgeni kwa Mambo mengi ya kisiasa ndio maana ameharibu kila mahali nitamsamehe kwa sababu ya ugeni wake kwenye mambo ya uongozi kimataifa sisi Kama taifa tuliyumba ndio maana yeye akajiokotea pera (guava) kwenye mpapai.
Mungu anisamehe siwezi kumsamehe bashiru mpaka naingia kaburini!
Kwa sababu yeye ni msomi mkubwa Tanzania haya anayoyafanya Leo KISIASA sisi wengine tunamuangalia kwenye angle ya usomi mahiri wa UD.
Sawa amesaliti usomi ila nacc aturuhusu kwa mioyo yetu kunjufu tumsaliti na kumchukia milele!.
Imetupa picha ya Waafrika wasomi wajinga!
Mungu mkumbuke Tundu Lissu.
Nadhani hatujawahi kuzoea siasa za kununuana. Home boy kashuhudia mengi!!!!!!!!!!!!!!!Ukiuliza sababu za kumchukia hauna ndio hivyo WATANZANIA MITANDAONI kila mtu anataka kumpangia mwenzake jinsi ya kuishi.
Eti unataka akufurahisha wewe kama nani na unamsaidia nini kwenye maisha yake?
Rais Mnagawagawa wa zimbambwe wanajeshi wameshampindua, na anatafuta chaka akajifiche Qatar, bongo hatujifunzi tu kwa wenzetu.
Kwasababu unepumbazwa kiakili kifikra na kimaono,unayaona haya mitandaoni tu.Ukiuliza sababu za kumchukia hauna ndio hivyo WATANZANIA MITANDAONI kila mtu anataka kumpangia mwenzake jinsi ya kuishi.
Eti unataka akufurahisha wewe kama nani na unamsaidia nini kwenye maisha yake?
Kaka si yeye ila ni li chama chake, hata wewe ukijiunga CCM utakuwa hivyo hivyo au zaidi.Yaani jamaa limekua jinga kweli kweli.....hizi ndo phd zinazotakiwa kubojiwa uhalali wake ikiwemo ya jiwe...
Bahati mbaya wenye akili kubwa km Ben Saanane wakihoji wanapotezwa milele......
TOO BAD
Ukiuliza sababu za kumchukia hauna ndio hivyo WATANZANIA MITANDAONI kila mtu anataka kumpangia mwenzake jinsi ya kuishi.
Eti unataka akufurahisha wewe kama nani na unamsaidia nini kwenye maisha yake?
Kabisa mkuu.