Nitamtetea na kumsemea Rais Samia na Serikali ya CCM mpaka dakika ya mwisho bila kukatishwi tamaa kwa namna yoyote ile

Nitamtetea na kumsemea Rais Samia na Serikali ya CCM mpaka dakika ya mwisho bila kukatishwi tamaa kwa namna yoyote ile

Screenshot_20240929-014956.png


Endelea kumsifu na kumuabudu... Lia gala gala...piga magoti...sujudu!
Chafuka ilmradi chukua chako mapema!
Screenshot_20240929-014917.png
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Na ilivyo nzuri sasa na ya kupendeza,
kazi muhimu sana ya kujitolea kitaifa na kimataifa ya kusema ukweli kizalendo, huwa haichoshi na wala haihitaji malipo, kwasababu inaambatana na Neema na Baraka za Mungu ndani yake.

Keep it up comrade 👊👊💪💪
 
Tanzania 🇹🇿 yetu
Tanzania 🇹🇿 yetu
Tanzania 🇹🇿 yetu
 
Mama anaendelea vizuri sana na ndio maana kila mtu anashuhudia mafanikio makubwa yaliyopatikana ndani ya muda mfupi sana wa uongozi wake .hata suala la katiba mpya nalo wala usijali hata kidogo maana mama ana dhamira njema kwa Taifa letu.

Toeni vichekesho😂😂 Mama habebeki ametuchosha na uongo uongo wake
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Piga kazi
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
2031 utakuwa WA kwanza kumtukana mitandaoni.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Kwakifupi wewe ndiyo unamwaribia mmno nakuchochea hasira za watu juu yake maana hujui chochote kuhusu kumsemea mtu unabwabwaja utumbo mwiiingi wenye akili wanakuona lofa tuu.
Unajidai propagandist uchwara huna hoja sana unajikomba update kacheo uikimbie njaa... Tafuta kazi dogo hizi siasa wala si saizi Yako unajidhalilisha tuu utakuja kosa nafasi nzuri kisa kujikomba kijinga,
kujidai mtawazaji mikono kunuka mvi
 
Kwakifupi wewe ndiyo unamwaribia mmno nakuchochea hasira za watu juu yake maana hujui chochote kuhusu kumsemea mtu unabwabwaja utumbo mwiiingi wenye akili wanakuona lofa tuu.
Unajidai propagandist uchwara huna hoja sana unajikomba update kacheo uikimbie njaa... Tafuta kazi dogo hizi siasa wala si saizi Yako unajidhalilisha tuu utakuja kosa nafasi nzuri kisa kujikomba kijinga,
kujidai mtawazaji mikono kunuka mvi
Naona sindano ya ukweli imekuingia vizuri mpaka unaanza kuropoka ropoka tu hapa
 
Ndugu zangu Watanzania,

Mimi nilishajitolea kwa dhati ya moyo wangu na kwa hiyari yangu pasipo kulipwa kama ambavyo wengine wanafikiria hivyo. Mimi nilishaamua kama mwana CCM kuwa sitakaa kimya wala kunyamaza wala kuona aibu wala kuogopa kumtetea Rais Wangu Mama Samia.

Nilishakataa kabisa kufumba kinywa changu na mdomo wangu napoona watu wanafanya upotoshaji na uchonganishi wa kumchonganisha Rais Samia na serikali yake pamoja na wananchi ili waichukie serikali yake. Nitaeleza na kuyaimba mambo makubwa aliyoyafanya Rais Samia na serikali yake ya CCM.

Nitawaelezea wananchi nini Mama amefanya katika Elimu,afya , Umeme, barabarani,ajira,kilimo, uwekezaji, utalii, democrasia,uhuru wa Vyombo vya habari,amani na mengine mengi. Naendelea kuwakumbusheni ni Rais Samia mama yetu mpendwa aliyeleta Elimu bure mpaka kidato cha sita,kutoa maelfu ya ajira kwa vijana,kuongeza bajeti ya kilimo kufikia Trilioni moja na pointi, kuwapandisha mishahara watumishi wa umma hasa wale wa kima cha chini kwa 23%,kupeleka umeme maeneo mbalimbali vijijini mpaka kwenye vitongoji.

Kutoa Ruzuku kwenye mbolea,kuruhusu vyama vya siasa kufanya mikutano ya hadhara na siasa za majukwaa,kujenga zahanati,vituo vya afya, hospitalini za wilaya,mikoa ,rufaa na kanda na kuweka vifaa tiba vya kisasa na bora pamoja na wataalamu wa kutosha. Ni Rais Samia ndiye aliyewafanya wakimbizi wa kisiasa kurejea Nchini.

ni Rais Samia ndiye aliwalipa CHADEMA ruzuku ya Billion 2.7 kwa mkupuo,ni Rais Samia ndiye ameleta nuru na matumaini kwa vijana wanaomaliza kidato cha sita kupata mikopo ya vyuo vikuu pamoja na ajira kwa wale wanaomaliza vyuo vikuu.hata kama hawaajiriwi wote lakini matumaini yanaonekana machoni pa vijana.

Ni Rais Samia aliyekamilisha ujenzi wa Bwawa la Mwalimu Nyerere lenye kuzalisha megawati 2115 ambapo alilikuta likiwa 34% tu.ni Rais Samia aliyemaliza mgao wa umeme kihodari.ni Rais Samia aliyeleta maajabu na miujiza ya kuona Treni ya umeme ukitembea katika ardhi ya Tanzania,ni Rais Samia aliyefanya sasa tunapata watalii kama mafuriko takribani Millioni 1.8. ni Rais Samia aliyeifungua nchi hii na kupelekea wawekezaji kumiminika Nchini kama mchanga wa baharini.

Ni Rais Samia aliyeimarisha diplomasia mpaka Kamala Harris makamu wa Rais wa Marekani kuichagua Tanzania kati ya nchi chache alizozitembelea Afrika,ni Rais Samia aliyewainua wakulima wa Nchi hii na kuja na kauli mbiu ya kilimo ni biashara na hivyo kukipatia thamani kilimo.

Nani amefanya haya kama siyo Mama yetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan? Hapo ni kwa uchache maana sijazungumzia bado habari za kuboresha mazingira ya biashara hapa Nchini ,kujenga shule za msingi na sekondari,kumaliza changamoto ya madawati shuleni na mengine mengi sana.

Nitaendelea Kumsemea Rais Samia na serikali yake.hata nitukanwe matusi ya kila aina ,hata mtukane wazazi wangu lakini mimi nitaendelea kuusema ukweli tu. Nitafanya kazi hiyo kwa hiyari na kwa gharama zangu kama ambavyo nimekuwa nikifanya siku zote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wajinga ndo wapo hivyo kama ulivyo wewe. Hata wakiibiwa wao ni kusifu tu. Ukiwa na akili timamu huyu si kiongozi hata wa kumsikiliza kabisa. Wewe ni jinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
 
Wajinga ndo wapo hivyo kama ulivyo wewe. Hata wakiibiwa wao ni kusifu tu. Ukiwa na akili timamu huyu si kiongozi hata wa kumsikiliza kabisa. Wewe ni jinga. Mungu chukua hili lishetani haraka Sana lichome moto
Mimi nikajua labda umefungiwa hospitalini kupata matibabu.Kumbe upo?
 
Back
Top Bottom