Nitamtongozaje demu niliyemuona mara ya kwanza?

Nitamtongozaje demu niliyemuona mara ya kwanza?

Unaishi dunia ya wapi hadi leo hujui mbinu za kumpata mwanamke unayemtaka?
 
Vuta wallet changanya hela na.makaratasi akiiona tu wako
 
mnyanganye. simu yake ukimbilie kichakana akija tu. maliza mambo atakua wako tayari au mwambie ww n yatima huna hela akuhurumie
 
juc an advice,kama hauna something special kinachoweza kukutofautisha na wanaume wengine wa kawaida kama pesa etc..huwezi kumtongoza msichana kwa mara ya kwanza akakukubalia "labda awe kipori" lakini njia rahisi ya kumpata ni kutengeneza kwanza urafiki naye alafu mambo ya kutongozana baadae
Wewe ndo umemwambia ukweli.
Take it.
 
nashindwa hata nisemeje mana mi mgeni humu ila ukimuona we aguka chini ujifanye mashetani yamekupanda..akija kukusaidia we anza kutililika tongozo la maana kishetani shetani
 
wewe:dada mambo
yeye😛oah
wewe:kwenu kuna mbwa..?
yeye:yupo
wewe:anang'ata..?
yeye:ndio
wewe:dada nimependa sauti yako sijui unaitwa nani vile..?
yeye:mang'oma
wewe😱kay, nimefurah kuku fahamu.na we unajtambulisha unamuulza anakaa wap,unaomba no yake ya xm u unaenda kufanya manuva...
 
Pole sana unafanya kazi? Una hela ? Nahisi kama una hela basi wewe bahili. Kama sio bahili fanya yafuatayo.

Dada mambo? Mm naitwa fulani sijui wewe waitwa nani? Basi naomba no yako nitakutafta. Akikupa ukifika home mpangie hewani sio unatuma mi sms utadhani ni notes za history. Kwenye maongezi mwembie unaomba mkanywe soda sehemu. Fanya haya urudi hapa kwa mrejesho toa utoto hapa
Nitalifanyia kazi
 
juc an advice,kama hauna something special kinachoweza kukutofautisha na wanaume wengine wa kawaida kama pesa etc..huwezi kumtongoza msichana kwa mara ya kwanza akakukubalia "labda awe kipori" lakini njia rahisi ya kumpata ni kutengeneza kwanza urafiki naye alafu mambo ya kutongozana baadae
Lkn simaanishi nimpate siku hiyo hiyo!! Mie ila nataka kujua nifanyeje/nianzeje ili niweze kutongoza demu niliyemuona kwa mara ya kwanza
 
Unadindisha mtanange alafu unaanza kuunyanyua juu na kuushusha yaani suruali yako maeneo ya zip yaonekane yanapanda na kushuka kisha mwambie hivi "hii kitu inakuwaza wewe". Mwambie hivyo huku ukimuonesha mtanange ulivyochachamaa.
 
Hivi kumbe kutongoza ni kazi kweli kweli, nimejaribu daaah ni hatari sana
 
Back
Top Bottom