Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Mzee wa kurekebisha

Senior Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
178
Reaction score
169
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja sasa ananifanyia visa ananitumia Picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.

Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.
 
Mpwa nakuomba sana sana kuwa mpole, huyo binti kama jina lake linaanza na W ndio tabia yake japo ana jina lingine pia. Achana nae please watakuletea matatizo tu badala ya kulipa kisasi
 
pole sana! kwani kuua litakuwa suluhu la tatizo lako? Mbona wanawake wapo wengi sana....! Kwani ndio mara yako ya kwanza kuliwa?

Kwani ulitegemea kuwa peke yako? jifanye hujasikia chochote wala hujui na uendelee na mipango kama kawaida utampata...
 
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini.hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja.... sasa ananifanyia visa ananitumia picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.

Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.

Kumbe hata humfahamu vizuri........khaaaaaa!!!!.......
 
Halaf ukute umelizwa kalaki kamoja tu, unatamba hapa ati unampa kila kitu. Waapi. Ingekuwa hivyo hapa pasingeli kalika. Tulia Bro, ukiisha jiunga na kundi hili la kutafuta totos hayo mbona ni kawa tu. Mvizie, mpokonye pichu yake, tishia kuipeleka kwenye hall la chakula, uitundike pale mlangoni. Enzi zetu alikuwepo mzee "Punch" nasikia siku hizi kazikwa na akina Mwingulu. Ungempelekea mashitaka, sisi humu jf hatuna uwezo naye
 
Kuna dada mmoja ulikuwa ndio mtindo wake wakati tuko chuo siku moja akatekwa na watu si chini ya sita akabakwa na kulawitiwa huku akisindikiziwa ujumbe arudie tena kuibia wanaume.
 
Ha ha ha pole kaka ukiweza kuua ni pm nataka kumuu ex boyfriend wangu pia
Mwanasheria usijali nitakupatia
 
Mtu humjui vizuri halafu unamgharamia????
ulikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu????
dating online hiziiiiiii, ni sheeeedah
Tulia achana na vihela vya batook ulivyompa, visahau tu, habari ya kutoana roho jela itakuhusu.
 
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini.hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja.... sasa ananifanyia visa ananitumia picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.

Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.

kuna watu wanasumbuliwa na vitu vidogo!!! sasa karne hii na kizazi hiki si utaua mamia.......
 
Mtu humjui vizuri halafu unamgharamia????
ulikuwa chuma yake anaongea na simu usiku huu????
dating online hiziiiiiii, ni sheeeedah
Tulia achana na vihela vya batook ulivyompa, visahau tu, habari ya kutoana roho jela itakuhusu.

Heri ya mwaka mpya mkuu
 
Back
Top Bottom