Mzee wa kurekebisha
Senior Member
- Sep 29, 2012
- 178
- 169
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja sasa ananifanyia visa ananitumia Picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.
Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.
Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.