Mahosanya Jr
Member
- Jan 22, 2015
- 6
- 0
Gauge kiburudisho icho bhana_"!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu humjui vizuri halafu unamgharamia????
ulikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu????
dating online hiziiiiiii, ni sheeeedah
Tulia achana na vihela vya batook ulivyompa, visahau tu, habari ya kutoana roho jela itakuhusu.
Yaani, acha iwe ivo, maana naona mawenge tu.
ucku mwemaaa
Usipoteze nguvu nyingi kwa huyo hakupendi, au yupo after money, akiona zaidi denda linamshuka, hivyo we atakuzuga tuNinampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini.hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja.... sasa ananifanyia visa ananitumia picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.
Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.
Ushavurugwa mkuu ,relax tafuta mwingine
Msilale mnipe kampani mwenzenu.
Ni pm nina ujumbe wako ASAP
Nauza majeneza bei poa tu,muue haraka iwezekanavyo ,jeneza tunakuletea popote ulipo
Mjukuu kumbe unashauri vyema..!!
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Msilale mnipe kampani mwenzenu.