nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
Sitanii Preta, jamaa ni mfupi mnene kiasi anaonesha kuwa na hasira kweli maana jasho linamtoka si mchezo, nahisi ataua mtu kweli.
Kumbe wewe si muhusika!
.....Jaribu kupitia ulichoandika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sitanii Preta, jamaa ni mfupi mnene kiasi anaonesha kuwa na hasira kweli maana jasho linamtoka si mchezo, nahisi ataua mtu kweli.
ww umeelewa sana mkuu.na ndio jamaa alichomaanisha kuwa kackia mtu akiongea.yy katoa ishauri tu.Yaan sijui mm ndo sjaelewa maana naona watu wanaenda OP, suala ni ushaur kwa kina dada, jamaa sio kwamba anataka kuua ila kasijkia mtu akisema atauwa ndo kaamua kuwashaur akina dada, yeye ka quote maneno ya muuaji mtarajiwa
Ua tu mkuu pengine huu upuuzi utaisha mwenzionilitoa mahali mke akakabidhiwa njemba kutoka Mbeya inaniuma sana we anza nami niko nyuma yako.
Ha ha ha pole kaka ukiweza kuua ni pm nataka kumuu ex boyfriend wangu pia
Mwanasheria usijali nitakupatia
Halaf ukute umelizwa kalaki kamoja tu, unatamba hapa ati unampa kila kitu. Waapi. Ingekuwa hivyo hapa pasingeli kalika. Tulia Bro, ukiisha jiunga na kundi hili la kutafuta totos hayo mbona ni kawa tu. Mvizie, mpokonye pichu yake, tishia kuipeleka kwenye hall la chakula, uitundike pale mlangoni. Enzi zetu alikuwepo mzee "Punch" nasikia siku hizi kazikwa na akina Mwingulu. Ungempelekea mashitaka, sisi humu jf hatuna uwezo naye
Acha utani laki moja ndio unaita kalaki?Halaf ukute umelizwa kalaki kamoja tu, unatamba hapa ati unampa kila kitu. Waapi. Ingekuwa hivyo hapa pasingeli kalika. Tulia Bro, ukiisha jiunga na kundi hili la kutafuta totos hayo mbona ni kawa tu. Mvizie, mpokonye pichu yake, tishia kuipeleka kwenye hall la chakula, uitundike pale mlangoni. Enzi zetu alikuwepo mzee "Punch" nasikia siku hizi kazikwa na akina Mwingulu. Ungempelekea mashitaka, sisi humu jf hatuna uwezo naye
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja sasa ananifanyia visa ananitumia Picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.
Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.
Ndio hivyo mkuu, nashangaa watu wamenishupalia kana kwamba mimi ndio muuaji mwenyewe na hili si hadithi ndio maana nimekaa kimya tu.Mimi ndio sijaelewa au watu wengi hawajaelewa... Nimeelewa kuna Mwanaume ulimsikia akimsemesha mtu kwenye simu kuhusu huyo mwanamke anayemlia vyake. Si ndio?
Kumbe wewe si muhusika!
.....Jaribu kupitia ulichoandika