asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,035
Duh! Aiseeeeh!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ninampa kila anachojitaji, tunakubaliana kukutana lakini.hafanyi hivyo, mbaya zaidi ananiongopea, sio hivyo sijawahi kuonja hata siku moja.... sasa ananifanyia visa ananitumia picha za mpenzi wake kwa hili nitamuua kwa mkono wangu.
Dada zangu chonde muache kulaghai wanaume, maana huyu mtu nilikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu.Kwa mujibu wa baadi ya vipande ambavyo sijaweka hapa inaonesha huyo dada ni mwanachuo.
Mpwa nakuomba sana sana kuwa mpole, huyo binti kama jina lake linaanza na W ndio tabia yake japo ana jina lingine pia. Achana nae please watakuletea matatizo tu badala ya kulipa kisasi
Tupeane basi dili za ku-supply jeneza once ukishamrestisha huyo kiumbe...
Heri ya mwaka mpya mkuu
Unaanza kuhudumia kabla ya kula.!!
Ahaaaa! yaani nimeamini kuwa usingizi ni noma.
nawe pia mkuu.
Mwe... nkamu umeanza lini uchaga???
Kweli kufa kufaana.
Pole, inabidi ulale sasa
Unaanza kuhudumia kabla ya kula.!!
Tupeane basi dili za ku-supply jeneza once ukishamrestisha huyo kiumbe...