Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Mtu humjui vizuri halafu unamgharamia????
ulikuwa nyuma yake anaongea na simu usiku huu????
dating online hiziiiiiii, ni sheeeedah
Tulia achana na vihela vya batook ulivyompa, visahau tu, habari ya kutoana roho jela itakuhusu.

Mjukuu kumbe unashauri vyema..!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Usipoteze nguvu nyingi kwa huyo hakupendi, au yupo after money, akiona zaidi denda linamshuka, hivyo we atakuzuga tu
 
Yaan sijui mm ndo sjaelewa maana naona watu wanaenda OP, suala ni ushaur kwa kina dada, jamaa sio kwamba anataka kuua ila kasikia mtu akisema atauwa ndo kaamua kuwashaur akina dada, yeye ka quote maneno ya muuaji mtarajiwa
 
Humu mbona mnamhukumu mzee wa kurekebisha!!?? Mmesoma mkamuelewa au ndio mambo ya kudandia gari kwa mbele!?
 
tafuta mwingine mzuri zaidi panda dau .kisha umwoneshe aumie halafu mpe talaka huyo n
 
Nauza majeneza bei poa tu,muue haraka iwezekanavyo ,jeneza tunakuletea popote ulipo
 
Ye mwenyew amesikia mtu akiongea kweny simu, ndo anasema hayo maneno kwa mdada. Sio yeye muuaji 🙂
 
Watu hawajaelewa....huyu mtoa mada alimsikia mtu anaongea haya maneno
 
usichange mawazo yako feki,jela yako mkuu,there are lot of girls,tafuta usiwe domo zege.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…