Nitamuua huyu mwanamke kwa mkono wangu

Yaan sijui mm ndo sjaelewa maana naona watu wanaenda OP, suala ni ushaur kwa kina dada, jamaa sio kwamba anataka kuua ila kasijkia mtu akisema atauwa ndo kaamua kuwashaur akina dada, yeye ka quote maneno ya muuaji mtarajiwa
ww umeelewa sana mkuu.na ndio jamaa alichomaanisha kuwa kackia mtu akiongea.yy katoa ishauri tu.
 
Okey!!!

Rest in peace kwa huyo dada

Rest in jail kwa wewe kaka

Maisha ni kupanga na kuchagua
 
Mapenz Yatawatesa Sana Kwann Mstake Mapenz Ya Mungu Ya Timie Muda Ukfka Utampata Uliendaliwa Na Mola Wako.Uta Uwa Wangap Sasa Kwan Ndo Tabia Za Ma Dem Mwisho Wasku Utajiuwa Mwenyewe Tu Watch Out
 
Watanzani bwana! Hamjasoma vizuri nakuielewa mada mnaanza kutokwa povu
 
Acha utani laki moja ndio unaita kalaki?
 
Wewe kutongoza hujui, halafu uue kwa nini? Ulimuumba wewe? Utagharamiaje kitu hata hukijui wala kuonja hata siku moja. Hili ndio tatizo la madomo zege, hutanguliza hela nyiingi bila kuongea chochote. Naombea atokee na mwingine tena akufanye hivyohovyo ili ujifunze kutongoza
 
Mwanamke akikufanyia hivyo kashakuona boya. Hawa wanalika hata kwa mkopo wee unastruggle hivyo? aache uboya
 
Mimi ndio sijaelewa au watu wengi hawajaelewa... Nimeelewa kuna Mwanaume ulimsikia akimsemesha mtu kwenye simu kuhusu huyo mwanamke anayemlia vyake. Si ndio?
 

Kwani alikulazimisha uumpe hivyo vyote ulivyo mpa au?
Kama alikuomba kwa miadi ya kukulipa kukupa papuchi ni sawa na kama sivyo jitahidi tu kutumia mbinu nyingine ule papuchi na kumtema.
Ila hakikisha kama utafanikiwa kupewa papuchi uitendee HAKI usije kuwa ni wale vijana aina ya BATA, nadhani unanipata man.
 
Pole mkuu huyo mwanamke ni tapeli achana naye usije fungwa bure
 
Mimi ndio sijaelewa au watu wengi hawajaelewa... Nimeelewa kuna Mwanaume ulimsikia akimsemesha mtu kwenye simu kuhusu huyo mwanamke anayemlia vyake. Si ndio?
Ndio hivyo mkuu, nashangaa watu wamenishupalia kana kwamba mimi ndio muuaji mwenyewe na hili si hadithi ndio maana nimekaa kimya tu.
 
Itakuwa mlikutanaia kwenye facebook au Instagram ndiyo maana haoni umuhimu wako kwa sababu mpo wengi.
 
Anaempa pumzi anayovuta sijui asemeje! ulimpa kila kitu? jamani maskhara hayo. japo kuhonga ni kuhonga hata voucher lakini lugha imetumika ni ghali sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…