Uchaguzi 2020 Nitashangaa kama bado kuna Watanzania watawapa kura Upinzani

Uchaguzi 2020 Nitashangaa kama bado kuna Watanzania watawapa kura Upinzani

Bado ameshindwa kutatua changamoto shida za watz,ajagusa vipaumbele vya watz zaidi ya kuwaletea umasikini.Ajatengeneza msingi ya maendeleo ya watu bado zaidi ya vitu vimpavyo utukufu na sifa binafsi,shida za watz ni shibe na sio majengo.
 
Ajira za afya n nyingi sana zimetoka.

Mm niliajiriwa 2018,na juzi tu madakatri 1000 wameajiriwa
Hawana hata database kazi kupinga kila kitu oct 28 mtapigwa kipigo cha...
 
You are a fool
Real.?a huge problem of oppositions in Tanzania they lack Strong Agendas/good policies they depend on opposing evertings and abuse language.
 
Acheni Kujidanganya ndg wajumbe kwa sera zipi hizo za upinzani za kupinga kila kitu.Sio kwa Watanzania wa 2020
Baba yenu Jiwe anazijua sera za upinzani. Na ndiyo anazitekeleza
 
Kiongozi makusanyo ya sasa ni direct proportion na maendeleo tunayoyaona ukipita kule Kituo cha ufya ukienda kule mradi wa kufua umeme ukidumbukia kule reli ya kisasa,Acheni Gubu za kisiasa njoo kwenye chama makini
Hamna kitu ni UTOPOLO mtupu amefanya miaka 5
 
Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.

Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
Wewe Ni mjinga na kwasabab Akili zako zimekaa kijinga zinakufanya usiweze kutambua Mambo yanayoendelea kwenye nchi yako.

Unegekuwa na Akili timamu usingeandika huu Upuuzi wa kuwa heti "serikali haijaajiri ajira za afya"
Are you mentally fit? Kaulize hata mtoto wa form1 atakuelezea vizuri kuhusu ajira za afya unazo bwabwaja hapa hazijatolewa.
 
CCM hoyee. Magufuli Safi.

Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.

Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.

Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo

Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.

Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.

Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough

Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.

Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.

Tuonane Oktoba.


Kwa nini wasiwape kura. Kila mtu anaangalia itikadi anayokubaliana nayo. Upinzani una nafasi kubwa katika kusaidi CCM isilewe madaraka kama ilivyokuwa imekuwa miaka ya nyuma. Mpaka sasa sera za Dr. Slaa ndiyo zinatumika kuendeleza nchi, ndiyo maana Magufuli akatambua nafasi ya Dr. Slaa katika kuleta mabadiliko TZ na akamteua kuwa balozi huko Scandinavia.
 
CCM hoyee. Magufuli Safi.

Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.

Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.

Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo

Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.

Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.

Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough

Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.

Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.

Tuonane Oktoba.
Dogo! ccm tangu 1995 CCM hawajawahi shinda, Ingawa wapinzani hawatangazwi wapinzani wanaongoza serikali kwa remote
 
Eti Ccm Imeajiri watendaji wa vijiji kuliko walimu ,Watanzania Tunakubali vijana wetu wanasoma kwa shida wanategemea Ajira lakini Ccm ajira hazipo Tangu mwaka 2015.
Wameajiri wakala wa TISs kila bar, Upumbavu tu
 
Nimeridhika na maoni ya wachangiaji! Siongezi neno maana mleta mada hakutegemea muchacho ingemgalagaza vibaya mno!
 
Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.

Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
Wala hakuna unafuu wowote kwa sisi mwananchi wa kawaida. Tunaona majengo tu na gharama ni zilezile
 
CCM hoyee. Magufuli Safi.

Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.

Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.

Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo

Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.

Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.

Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough

Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.

Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.

Tuonane Oktoba.
Hata wao wanakushangaa wewe
 
vyombo vya habari bure kabisa hii nchi..
 
Mambo yanayozunguka kichwani mwako ni ya kufikiririka tu hayana uhalisia huo utafiti utafiti unaosema watz wanaheshimika kokote wanakoenda umeufanya lini?,wapiga vinubi na zumali mna shida sehemu
 
CCM hoyee. Magufuli Safi.

Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.

Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.

Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo

Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.

Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.

Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough

Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.

Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.

Tuonane Oktoba.
Vipi kuhusu uchaguzi wa tanzania visiwani
 
kwa akili yako unaweza nunua masofa na kutandaza kwenye kiwanja kabla ya kujenga nyumba!

Nini kinatangulia kuleta wanafunzi kwenye shule isiyo na madarasa au kujenga madarasa tosherezi kabla ya kuleta wanafuzi wakati wa uanzishwaji wa shule?

Mbulula jike wewe!
Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.

Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
 
Back
Top Bottom