Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba yenu Jiwe anazijua sera za upinzani. Na ndiyo anazitekelezaAcheni Kujidanganya ndg wajumbe kwa sera zipi hizo za upinzani za kupinga kila kitu.Sio kwa Watanzania wa 2020
Hamna kitu ni UTOPOLO mtupu amefanya miaka 5Kiongozi makusanyo ya sasa ni direct proportion na maendeleo tunayoyaona ukipita kule Kituo cha ufya ukienda kule mradi wa kufua umeme ukidumbukia kule reli ya kisasa,Acheni Gubu za kisiasa njoo kwenye chama makini
Wewe Ni mjinga na kwasabab Akili zako zimekaa kijinga zinakufanya usiweze kutambua Mambo yanayoendelea kwenye nchi yako.Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.
Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
CCM hoyee. Magufuli Safi.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.
Dogo! ccm tangu 1995 CCM hawajawahi shinda, Ingawa wapinzani hawatangazwi wapinzani wanaongoza serikali kwa remoteCCM hoyee. Magufuli Safi.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.
Wameajiri wakala wa TISs kila bar, Upumbavu tuEti Ccm Imeajiri watendaji wa vijiji kuliko walimu ,Watanzania Tunakubali vijana wetu wanasoma kwa shida wanategemea Ajira lakini Ccm ajira hazipo Tangu mwaka 2015.
Wala hakuna unafuu wowote kwa sisi mwananchi wa kawaida. Tunaona majengo tu na gharama ni zilezileCha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.
Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?
Hata wao wanakushangaa weweCCM hoyee. Magufuli Safi.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.
Vipi kuhusu uchaguzi wa tanzania visiwaniCCM hoyee. Magufuli Safi.
Niende kwa Mada moja kwa moja. Mpaka sasa hakuna Raia yeyote yule anayebisha viwango vya Rais Magufuli ni vya kimataifa katutoa from zero hero, Leo watanzania nasi tunaheshimika kati ya nchi ya Ulimwengu huu leo ukisema wewe ni Mtanzania sehemu yoyote lazima watu wakupe heshima.
Heshima imerudi hata kwa mataifa karibu nikizungumzia East African.
Hatupo mbali sana na uchaguzi itakuwa ni Kituko tena cha karne kama kuna Mtanzania atadamka asubuhi na mapema na kupiga foleni akisubiri kuchagua upinzani binafsi nitamshangaa mnoo
Rais Magufuli atashinda kwa kura za kishindo i mean ushindi wa Kishindo ambao haujawah Kutokea.
Ni wapi ambapo Rais wetu hajagusa! Nenda kwenye Afya, Nenda kwenye Elimu, Nenda kwenye viwanda, Nenda kwenye Nidhamu, Nenda kwenye Covid 19, kwenye Miundombinu ndipo usiseme kabisa. Mapato hewalaa kila mahali kagusa na matokeo chanya yakionekana mapema kabisa.
Uchaguzi wa mwaka huu wapinzani watakuwa wasindikijazi tena wa harusi wanashiriki kukamilisha ratiba. Laiti ningekua wao nisingejaribu hata kidogo kushindana na jabali la Afrika na Dunia Magufuli,Good enough
Watanzania kwa sasa tumeelimika mno hatudanganywi na Siasa Uchwara za Upinzani kwa kifupi tumewagundua.
Upinzani unaenda kufa unaenda kufa tena kifo kibaya mnoo.
Tuonane Oktoba.
Cha ajabu hapo kwenye afya, vituo vya afya 5,000 vimejengwa na kukarabatiwa nchi nzima lakini hakuna ajira za afya zilizotoka sasa sijui zinahudumiwa na malaika.
Kwanini hamu wenu wazi namba ya vituo vipya vilivyojengwa na vilivyokarabatiwa?