Wafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka ubeligiji ambaye anataka kuwaribia mfumo wao wa kufanya biashara
Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri...
Sema unawakilisha wauza sembe nazo amebaaUmetumwa kupima upepo? Kamwambieni huyo kibwengo wenu kuwa HATUMTAKI. Na nawakilisha wafanyabiashara 90+% wadogo (SMEs) wa nchi hii.
Magufuli hajaongeza kodi hila amesimamia sheria vyema na amedhibiti mianya ya rushwa na maghendo tu.Kama kuna watu wanatakiwa kuponda kichwa cha nyoka ni wafanyabiashara; wamenyanyaswa kwa utitiri wa kodi, wamedulumiwa, wamefilisiwa...
Kwani sheria za kodi zimetungwa na magu.Mimi ni victim wa hilo ninalosema hadi leo hii, lipo kwenye baraza la kodi, tunavutana!! Licha ya punguzo kubwa walilopunguza bado halikubariki!! Mwishowe imekuwa kama biashara 'sasa unasemaje unataka kulipa ngapi' 'mtu ana kuta ana deni eti la bilioni tatu!!! Hahaaa, kuna maneno aliyasema zitto japo ni makali ila ndio ukweli, GENGE LA WAPORAJI
Fuatilia vifo vingi vimetokea nchi gani na ni makao makuu ya ukristo duniani,irani.Magufuli kaponyesha korona?
Kwa kusali?
Mungu anamtambua sana Magufuli kuliko wanadamu wengine?
Mataifa mengine hayajui kusali ila Magufuli tu ndio anajua kusali?
Kushinda uganda.Yani nchi yangu hii ina Watu wajinga kupindukia.Magufuli aliruhusu shughuli ziendelee kama ilivyokuwa kawaida sio kwa mapenzi yake bali ni kutokana na hali mbovu ya kiuchumi tuliyonayo kama Taifa.
Sheria ya kodi haikuongeza kodi ila Ilifut a misamaha ya kodi na ilidhibiti mianya ya maghendo na rushwaHawa hawa wafanyabiashara waliofunga biashara zao kwa tozo mkomoeni la TRA!
Ungekuwa na akili timamu au ungekuwa na biashara usingeandika huu upuuziKila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.
Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.
Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Biashara ninayo na haijahathirika kwa chocchote wewe unauza nini madawa ya kulevya au bhangi hivyo vilishapigwa bani lakini biashara halali bado zinaendelea.Ungekuwa na akili timamu au ungekuwa na biashara usingeandika huu upuuzi
Nakuomba achana na biashara haramu.Ungekuwa na akili timamu au ungekuwa na biashara usingeandika huu upuuzi
Kete yenu ya mwisho ni corona nayo imebuma.Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.
Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.
Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Kati ya Makundi yatakayomnyima kura Magufuli kwa kishindo kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni Wafanyabiashara kutokana na kubambikiwa makodi na TRA na kuharibiwa mazingira ya biashara, Wakulima (Korosho, Mbaazi, Tumbaku, Pamba, Kahawa na Mahindi- sababu si naeleweka na Vijana kutokana na kukosekana kwa ajira.Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.
Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.
Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Ni kweli Magufuli haku "follow the pack" juu ya swala la corona na COVID19.Kila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.
Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.
Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Unaandika upumbavu, madhira aliyowasababishia wafanyibiashara hayawezi kuponywa na dawa yake ni kumnyima kura aende chato akaangalie fursa za ujasiriamali, kwenye uraisi hafai, hakuna cha kumalizia miaka 10, nchi hii ina watu wengi sana wanaoweza kushika nafasi ya uraisi, yalifanyika makosa makubwa saana tarehe 25/10/2015 kuchagua mtusi huyo, matatizo mengi tuliyo nayo sasa hivi ni kazi ya mikono yakeKila nikikumbuka maamuzi magumu ya Rais Magufuli kuhusu Corona, sina shaka na utimamu wake na ujasiri.
Kwa kipindi kama kile ambacho nchi nyingi ziliamua kufunga biashara na shughuli nyingi za kiuchumi, mtu huyu aliamua kwamba wafanyabiashara waendelee na biashara zao na shughuli nyingine ziendelee.
Hakuna biashara iliyofungwa, lakini watanzania hawana shukrani wanasahau yote kisa mtu ambaye kwa ninavyomtazama mlengo wake si wa kimisimamo binafsi bali ya kuongozwa na anaowaamini.
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Magufuli anastaili kukamilisha kipindi cha miaka 10, uongozi si wa kubadilisha kama nguo. Tukipata kiongozi mzuri basi tumuache amalize awamu zote mbili.
Nasimama upande wakoKati ya Makundi yatakayomnyima kura Magufuli kwa kishindo kwenye uchaguzi wa mwaka huu ni Wafanyabiashara kutokana na kubambikiwa makodi na TRA na kuharibiwa mazingira ya biashara, Wakulima (Korosho, Mbaazi, Tumbaku, Pamba, Kahawa na Mahindi- sababu si naeleweka na Vijana kutokana na kukosekana kwa ajira.
Nasema hapa, hakuna namna Magufuli atashinda uchaguzi wa mwaka huu. HAKUNAA
Kusimamia sheria za kodi ni kosa? 😂Unaandika upumbavu, madhira aliyowasababishia wafanyibiashara hayawezi kuponywa na dawa yake ni kumnyima kura aende chato akaangalie fursa za ujasiriamali, kwenye uraisi hafai, hakuna cha kumalizia miaka 10, nchi hii ina watu wengi sana wanaoweza kushika nafasi ya uraisi, yalifanyika makosa makubwa saana tarehe 25/10/2015 kuchagua mtusi huyo, matatizo mengi tuliyo nayo sasa hivi ni kazi ya mikono yake