Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Uchaguzi 2020 Nitashangaa Wafanyabiashara kumnyima Magufuli kura

Nitashangaa wakimpa Magufuli kura, wameshaona rangi yake halisi.

Wamchague Lisu tu.
 


Hao waambie waende kwenye ofisi zao.. Babu kizee wewe..upo😅😅😅

💯Magufuli 2020 💛💚💛💚💛

Ni mwendo wakutiki boksi la kwanza
💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
 
Hao waambie waende kwenye ofisi zao.. Babu kizee wewe..upo😅😅😅

💯Magufuli 2020 💛💚💛💚💛

Ni mwendo wakutiki boksi la kwanza
💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
AFU BIBIIIII... mbona hutaki nie nikusalimiee mjukuu
 
AFU BIBIIIII... mbona hutaki nie nikusalimiee mjukuu

Sasa ofisi za tume hufahamu zilipo au!!!!!
Hao wa Twita wote wanawachezea akili tu.. munafurahia huku wao pia ni lazima wachague 💛💚💛💚💛💚💛

Mtajiju.. Jumatano. tiki boksi la kwanza
 
Hao waambie waende kwenye ofisi zao.. Babu kizee wewe..upo😅😅😅

💯Magufuli 2020 💛💚💛💚💛

Ni mwendo wakutiki boksi la kwanza
💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
1603706989401.png
 
Sasa ofisi za tume hufahamu zilipo au!!!!!
Hao wa Twita wote wanawachezea akili tu.. munafurahia huku wao pia ni lazima wachague 💛💚💛💚💛💚💛

Mtajiju.. Jumatano. tiki boksi la kwanza
ALIPOOOO TUPOOOOOOOOOOOO!! ✌️ ✌️ ✌️ ✌️ ✌️ #NIYEYE2020
 
Ukiniambia Mbona USA wana VAT 0%
Na Mimi ntakuuliza
Mbona Russia wana VAT 18% japo kwenye Children goods,Medication na medicines imepunguzwa
Mbona UK wana VAT 20% as Standard VAT with other VAT rates 10% na 5% kwenye baadhi ya bidhaa na huduma nyingine
Na China wanayo 16%

Na Hayo yote ni mataifa makubwa yanayo jitosheleza Kwenye kila kitu

Kwanini ushangae Sisi Tanzania kuwa na VAT ya 18% Kwenye bidhaa na huduma isipokua 0% VAT rates Kwenye exportation
ikiwa Sisi ni Nchi changa Sana (imagine Jiwe ni Raisi wa 5)
Serikali itapata Wapi pesa za kujenga Miundombinu afya, barabara, shule nk kwa wananchi wake ?
Hatuwezi kujifananisha na Marekani mkuu
Huko Kwenye VAT ndogo hatujafika bado

Ni biashara gani hizo zinazokufa Mbona unaziona wewe tuu ni Tathmini yako Binafsi siwez kukuzuia kusema
Lakini ukumbuke biashara kufa ina factors nyingi sana Ushindani, Eneo baya, mtaji mdogo, kufirisika na nk hizi zote zina ua biashara

Hivyo Sio kila biashara inayokufa ni Magufuli kaua ,HAPANA
Wewe ni mnufaika wa ufedhuri uonevu unyanyasaji mateso kwa wafanyabiashara huwezi kuona tabu wanayopata kwani umetajirika kwa blackmail kwa kutumia kivuli cha udikteta wenu
 
Huyo alieandika mada hii ana utimamu wa akili au ndio kuamua kutumika ??, mfanyabiashara/mkulima/mfanyakazi/ atakayempigia kura magufuri atathibitisha mwenyewe kuwa na mtindio wa ubongo, watu wamefilisiwa mali walizokuwa wamechuma kwa jasho kwa kubambikwa makesi eti uhujumu wa uchumi
TRA na BOT ni mwiba na Sumu kwa wafanyabiashara Nchini
 
NA WALE ALIOWANYANG'ANYA PESA KWENYE AKAUNTI ZAO AWARUDISHIE.

SHETANI MKUBWA HUYO!
 
Kuna mambo ambayo hata ukipost kwenye mitandao haisaidii bora kama man swali uende kwa vyombo husika
Ukishajua iweje? Au ulitaka sample ukatengeneze zako?
kama hujui kitu bora ufunge domo
 
Wafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka Ubeligiji ambaye anataka kuwaharibia mfumo wao wa kufanya biashara
Kinyume chake hapa Kariakoo tuna hasira kali na JPM kwa maumivu yasiovumilika aliyotusababishia kwenye biashara zetu. Lazima tumchinjilie mbali 28.10.2020
 
Back
Top Bottom