Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaba lao ni kuwabambikia kodi kubwa wafanyabiashara?
BIBIIIIIII SKAMOOOOOOOO!!!Lini umelipa kodi.. 🤣🤣🤣🤣
Hata Brela hupafahamu.. jaribu lingine..
AFU BIBIIIII... mbona hutaki nie nikusalimiee mjukuuHao waambie waende kwenye ofisi zao.. Babu kizee wewe..upo😅😅😅
💯Magufuli 2020 💛💚💛💚💛
Ni mwendo wakutiki boksi la kwanza
💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
AFU BIBIIIII... mbona hutaki nie nikusalimiee mjukuu
Hao waambie waende kwenye ofisi zao.. Babu kizee wewe..upo😅😅😅
💯Magufuli 2020 💛💚💛💚💛
Ni mwendo wakutiki boksi la kwanza
💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽
ALIPOOOO TUPOOOOOOOOOOOO!! ✌️ ✌️ ✌️ ✌️ ✌️ #NIYEYE2020Sasa ofisi za tume hufahamu zilipo au!!!!!
Hao wa Twita wote wanawachezea akili tu.. munafurahia huku wao pia ni lazima wachague 💛💚💛💚💛💚💛
Mtajiju.. Jumatano. tiki boksi la kwanza
Wewe ni mnufaika wa ufedhuri uonevu unyanyasaji mateso kwa wafanyabiashara huwezi kuona tabu wanayopata kwani umetajirika kwa blackmail kwa kutumia kivuli cha udikteta wenuUkiniambia Mbona USA wana VAT 0%
Na Mimi ntakuuliza
Mbona Russia wana VAT 18% japo kwenye Children goods,Medication na medicines imepunguzwa
Mbona UK wana VAT 20% as Standard VAT with other VAT rates 10% na 5% kwenye baadhi ya bidhaa na huduma nyingine
Na China wanayo 16%
Na Hayo yote ni mataifa makubwa yanayo jitosheleza Kwenye kila kitu
Kwanini ushangae Sisi Tanzania kuwa na VAT ya 18% Kwenye bidhaa na huduma isipokua 0% VAT rates Kwenye exportation
ikiwa Sisi ni Nchi changa Sana (imagine Jiwe ni Raisi wa 5)
Serikali itapata Wapi pesa za kujenga Miundombinu afya, barabara, shule nk kwa wananchi wake ?
Hatuwezi kujifananisha na Marekani mkuu
Huko Kwenye VAT ndogo hatujafika bado
Ni biashara gani hizo zinazokufa Mbona unaziona wewe tuu ni Tathmini yako Binafsi siwez kukuzuia kusema
Lakini ukumbuke biashara kufa ina factors nyingi sana Ushindani, Eneo baya, mtaji mdogo, kufirisika na nk hizi zote zina ua biashara
Hivyo Sio kila biashara inayokufa ni Magufuli kaua ,HAPANA
Hakuna mfanyabiashara atampa kuraNitashangaa wafanyabiashara kumpa kura.
TRA na BOT ni mwiba na Sumu kwa wafanyabiashara NchiniHuyo alieandika mada hii ana utimamu wa akili au ndio kuamua kutumika ??, mfanyabiashara/mkulima/mfanyakazi/ atakayempigia kura magufuri atathibitisha mwenyewe kuwa na mtindio wa ubongo, watu wamefilisiwa mali walizokuwa wamechuma kwa jasho kwa kubambikwa makesi eti uhujumu wa uchumi
kama hujui kitu bora ufunge domoKuna mambo ambayo hata ukipost kwenye mitandao haisaidii bora kama man swali uende kwa vyombo husika
Ukishajua iweje? Au ulitaka sample ukatengeneze zako?
Kinyume chake hapa Kariakoo tuna hasira kali na JPM kwa maumivu yasiovumilika aliyotusababishia kwenye biashara zetu. Lazima tumchinjilie mbali 28.10.2020Wafanyabiashara wanahasira na mgombea kutoka Ubeligiji ambaye anataka kuwaharibia mfumo wao wa kufanya biashara
Nenda basi NEC ukapewe majibukama hujui kitu bora ufunge domo
Wewe lini ulitafuta pesa zako zaidi ya kushinda ukivuta gheto kwa cyprian MusibaLini umelipa kodi.. 🤣🤣🤣🤣
Hata Brela hupafahamu.. jaribu lingine..
Utawala huu umefanya unyama mwingi mnoNA WALE ALIOWANYANG'ANYA PESA KWENYE AKAUNTI ZAO AWARUDISHIE.
SHETANI MKUBWA HUYO!
Wewe lini ulitafuta pesa zako zaidi ya kushinda ukivuta gheto kwa cyprian Musiba