Pre GE2025 Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024

Pre GE2025 Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulitafakari kwa kina tukaona tutawapa kichwa na milage kama mngezuiwa msiandamane. Bahati mbaya nilisikia viongozi wa maandamano wakidai mashamba kilosa, ajira kwa vijana, bei ya sukari kupanda, nauli kupanda kana kwamba hamjui chochote kuhusu sababu za kupanda kwa mafuta dunia nzima, kwanini sukari ni chache, kwanini ajira kwa vijana hakuna. Hata kule ujerumani wakulima wanaoandamana kuponga bei ya mafuta kuwa juu na serikali kuondoa ruzuku kwenye bei ya mafuta. Maana dunia itawazomea nyinyi kuwasikia unaandamana kupinga gharama za maisha.
Tulia dada angu huna unachojua
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Ulifanikiwa mkuu na adhima yako?
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


1706157193299.jpg
 
UN mbona haifanyi kitu kule Gaza na Ukraine, ndio itafanya kitu tanganyika? hakuna kitu kama hicho. hata marekani Trump alilalamika uchaguzi haukuwa huru na haki na UN iko palepale Marekani mbona hakuna walichokifanya? tuache kuwatumia wananchi kujenga mahotel na majumba kwa kuwarubuni wananchi.
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Kiko wapi
 
Uhuru wangu utakomea pale unapoanzia uhuru wa mwenzangu. Kuna wanaotaka kuandamana na kuna wasiotaka kuandamana itakuwaje hapo? Kuna magari na waenda kwa miguu watakaosumbuliwa na maandamano haya yanayofanyika siku na saa za kazi. Chadema ilikutana na wananchi wanaolalamika wangapi lini na wapi waliowatuma viongozi wa chadema waondoe miswada bungeni?

Tusiotaka maandamano tuna haki zetu pia za kulindwa na serikali tusibughudhiwe kwenye nchi yetu. Nitamsaidia yeyote atakaesema anaenda kuzuia maandamano hayo yasifanyike ili kuzuia usumbufu, ajali na wizi.


Kenge wewe wameandamana, mama kayaruhusu wewe mbwa mmoja unasemaje
 
Ni mwenye utimamu wa akili pekee ndiye awezaye kuwa na akiba ya maneno.

Majuha, vilaza, misukule na mbumbumbu ndio walioamini kuwa maandamano hayatakuwepo.

Hata mahafidhina huwa wanabadilika, ni maiti tu ndiyo huwa inaona vitu haviwezekani sababu wao ni maiti.
Saa mbovu saa nyingine husoma majira sahihi.
 
Hilo Zezeta la CCM linawaza kwa kutumia tumbo.
Haya tuambie UN watafanya nini kwenye jambo lenu? Yaani UN iache kuhangaika na Gaza, Ukraine, Sudan, DR Congo, Somalia, Libya, Iraq, N. Korea, Burundi, Ethiopia, Yemeni, Sahara, Niger, Mali, Burkina Faso, na kwingine wanakopigana wahangaike na watu wanaolala na wake zao vitandani mwao? Wahangaike na watu wanaoshiba, wanaotibiwa, watoto wao wanakwenda shule, barabara zinajengwa, mabwana ya umeme yanakamilika, watalii wanafurika, mameli makubwa yanatia nanga kwenye taifa, kilimo kinakwenda vizuri na timu nyingine zinachezea mechi zao kwenye nchi ya Tanzania kutoka na amani iliyoko. Unadhani UN ni wajinga kama nyinyi? Haya mmeshapeleka ujumbe wenu UN tusiwasikie tena maana mmeanzia UN (kubwa zaidi) kesho mtasema mnapeleka wapi maandamano? Ni heri mngeanzia kwa mjumbe wa nyumba 10, kesho serikali ya mtaa, kesho kutwa kwa mtendaji kata, mtondogo kwa katibu tarafa, wilaya, mkoa, EAC, Sadc, hadi UN. Mazuzu nyie, no plan, Sasa hivi mmewapa sababu ya kuwapiga kama mkiandamana maana hata UN haitawatetea tena.
 
Kwa hiyo ulipotaka kuyazuia lengo lako lilikuwa ni kumchafua kimataifa?
Watu wapo sahihi wanaposema maadui wake wa kubwa ni nyie mnaomshangilia na siyo wanaompinga.
Wanaompinga akikosea huku wakimpa mamna nzuri ya kufanya hawana nafasi yoyote ya kuwa wasaliti kwake, wala ya kuwa wanafiki kwake. Ninyi mnaojifanya kuunga mkono na kushangilia kila kitu ndiyo wanafiki wenyewe, ma mpo hatua chache sana kuvuka mstari na kuwa wasaliti.
Kosa lenu mtakalolifanya ni kuitaja Tanganyika mahali popote kwenye hotuba zenu. Ni kosa ambalo halima mtetezi duniani. Tulikaa wafia nchi tukabadilisha GIA angani baada ya kutafakari kwa kina sisi wenyewe na kupata ushauri kutoka ndani na nje wakiwemo international organizations kuhusu faida na hasara ya kuzuia maandamano yenu haya. Tunajua maana na faida ya mental ventilation (mental kathasis), tungefanya kosa kubwa kama tungewazuia kutoa upepo mchafu (kujamba) kutoka matumboni mwenu.
 
Ni mwenye utimamu wa akili pekee ndiye awezaye kuwa na akiba ya maneno.

Majuha, vilaza, misukule na mbumbumbu ndio walioamini kuwa maandamano hayatakuwepo.

Hata mahafidhina huwa wanabadilika, ni maiti tu ndiyo huwa inaona vitu haviwezekani sababu wao ni maiti.
Maandamano ni mazuri lakini unaandamana juu ya nini? Mimi ni muumini wa vyama makini kupokezana madaraka, lakini ni chama kipi kinaweza kupokezana madaraka na CCM? Tunataka Chama strong ambacho hata ukiwasikiliza unasema naaaam!!! hapa Kuna hoja, lakini tuma vyama ambavyo vinataka barabara ya kwenda Ikulu lakini wakifika huko hawajui na hatujui watakwenda kufanya nini kwenye ajira, kwenye kilimo, kwenye afya, kwenye uchumi, kwenye elimu ambacho ni tofauti na CCM. Ruto alisema nichagueni mimi mtaona kazi yangu, waaapi buaña!! hali ni mbaya hata mishahara ni tabu kulipa. Ni zuzu TU oyaoya ataandamana kwaajili hii.
 
Haya tuambie UN watafanya nini kwenye jambo lenu? Yaani UN iache kuhangaika na Gaza, Ukraine, Sudan, DR Congo, Somalia, Libya, Iraq, N. Korea, Burundi, Ethiopia, Yemeni, Sahara, Niger, Mali, Burkina Faso, na kwingine wanakopigana wahangaike na watu wanaolala na wake zao vitandani mwao? Wahangaike na watu wanaoshiba, wanaotibiwa, watoto wao wanakwenda shule, barabara zinajengwa, mabwana ya umeme yanakamilika, watalii wanafurika, mameli makubwa yanatia nanga kwenye taifa, kilimo kinakwenda vizuri na timu nyingine zinachezea mechi zao kwenye nchi ya Tanzania kutoka na amani iliyoko. Unadhani UN ni wajinga kama nyinyi? Haya mmeshapeleka ujumbe wenu UN tusiwasikie tena maana mmeanzia UN (kubwa zaidi) kesho mtasema mnapeleka wapi maandamano? Ni heri mngeanzia kwa mjumbe wa nyumba 10, kesho serikali ya mtaa, kesho kutwa kwa mtendaji kata, mtondogo kwa katibu tarafa, wilaya, mkoa, EAC, Sadc, hadi UN. Mazuzu nyie, no plan, Sasa hivi mmewapa sababu ya kuwapiga kama mkiandamana maana hata UN haitawatetea tena.
Soma tena ulichondika halafu jipige kifuani sema "mimi ni mvivu wa kufikiri na nimechagua upumbavu kama sehemu ya maisha" Nikwambie Tu kwamba Tanzania ni mwanachama wa UN na ni signatory member wa mambo anuwai au mikataba ya UN! kwahiyo Tanzania atapata taarifa ya mahitaji au matakwa ya maandamano ambayo hujayaainisha kupitia jumuiya ambayo yeye ni mwanachama. Shule ulienda kusomea ujinga?
 
Maandamano ni mazuri lakini unaandamana juu ya nini? Mimi ni muumini wa vyama makini kupokezana madaraka, lakini ni chama kipi kinaweza kupokezana madaraka na CCM? Tunataka Chama strong ambacho hata ukiwasikiliza unasema naaaam!!! hapa Kuna hoja, lakini tuma vyama ambavyo vinataka barabara ya kwenda Ikulu lakini wakifika huko hawajui na hatujui watakwenda kufanya nini kwenye ajira, kwenye kilimo, kwenye afya, kwenye uchumi, kwenye elimu ambacho ni tofauti na CCM. Ruto alisema nichagueni mimi mtaona kazi yangu, waaapi buaña!! hali ni mbaya hata mishahara ni tabu kulipa. Ni zuzu TU oyaoya ataandamana kwaajili hii.
Walau tukuulize ulishajipa muda kuwasikiliza ajenda itikadi na malengo yao kisiasa? Au kwakua unamchukia mtu huwezi hata kumsikiliza kwakua humpendi yeye hata yale anayotasema huyapendi by default. Be honest!
 
Kosa lenu mtakalolifanya ni kuitaja Tanganyika mahali popote kwenye hotuba zenu. Ni kosa ambalo halima mtetezi duniani. Tulikaa wafia nchi tukabadilisha GIA angani baada ya kutafakari kwa kina sisi wenyewe na kupata ushauri kutoka ndani na nje wakiwemo international organizations kuhusu faida na hasara ya kuzuia maandamano yenu haya. Tunajua maana na faida ya mental ventilation (mental kathasis), tungefanya kosa kubwa kama tungewazuia kutoa upepo mchafu (kujamba) kutoka matumboni mwenu.
Kwa kuzingatia mstari wako wa kwanza. Upi uhalali wa kuitaja Zanzibar pamoja na alama zake za Taifa ikiwemo bendera- radio-tv_rais_ sarafu- baraza la wawakilishi-jaji mkuu-speaker-ag? Halafu iwe haramu kuitaja Tanganyika ambayo ni nchi huru iliyoungana na nchi huru ya Zanzibar ambayo mpaka sasa haijapoteza sovereignty completely? Mkiambiwa ninyi ni wajinga mantokwa povu. Je mamlaka ya NIDA infayq kazi zanzibar ? Meanwhile kule kuna kitambulisho cha mzanzibari mkaazi? Rais wa jmt anateua MARC na MaDc na madas xanzibar? Ujinga ni mzigo wa mavi ashakum sio matusi
 
Ndugu yangu nyie familia zenu ziko canada, ubelgiji, marekani halafu mnataka kuwatanguliza watoto wa wenzenu kwenye maandamano, it is unfair. Sisi ni watanzania, ni lini na wapi tulikutana na nyinyi tukawatuma muitishe maandamano? mnakaa kwenye vijiwe vyenu vya kula mirungi halafu mnapanga kwaniaba yetu.
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
 
Haya tuambie UN watafanya nini kwenye jambo lenu? Yaani UN iache kuhangaika na Gaza, Ukraine, Sudan, DR Congo, Somalia, Libya, Iraq, N. Korea, Burundi, Ethiopia, Yemeni, Sahara, Niger, Mali, Burkina Faso,
Tulikuwa tunaiambia UN kuwa hawa Watawala wa Tanzania na wao wanataka kutupeleka kwenye kudai HAKI zetu kwa nguvu kama Somalia Burundi nk.
 
Back
Top Bottom