Pre GE2025 Nitashiriki kuzuia maandamano ya CHADEMA Januari 24, 2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tulia dada angu huna unachojua
 
Ulifanikiwa mkuu na adhima yako?
 
 
 
Kiko wapi
 
Ni hesabu, umempaisha mama kimataifa katika duru za siasa za kistaarabu. Tunqfahamu kuwa miongoni mwenu wamo waunga juhudi kama akina Peneza. Hamuaminiki.
Hivi kauli mbona haikutolewa kabla!?
 
Kenge wewe wameandamana, mama kayaruhusu wewe mbwa mmoja unasemaje
 
Saa mbovu saa nyingine husoma majira sahihi.
 
Hilo Zezeta la CCM linawaza kwa kutumia tumbo.
Haya tuambie UN watafanya nini kwenye jambo lenu? Yaani UN iache kuhangaika na Gaza, Ukraine, Sudan, DR Congo, Somalia, Libya, Iraq, N. Korea, Burundi, Ethiopia, Yemeni, Sahara, Niger, Mali, Burkina Faso, na kwingine wanakopigana wahangaike na watu wanaolala na wake zao vitandani mwao? Wahangaike na watu wanaoshiba, wanaotibiwa, watoto wao wanakwenda shule, barabara zinajengwa, mabwana ya umeme yanakamilika, watalii wanafurika, mameli makubwa yanatia nanga kwenye taifa, kilimo kinakwenda vizuri na timu nyingine zinachezea mechi zao kwenye nchi ya Tanzania kutoka na amani iliyoko. Unadhani UN ni wajinga kama nyinyi? Haya mmeshapeleka ujumbe wenu UN tusiwasikie tena maana mmeanzia UN (kubwa zaidi) kesho mtasema mnapeleka wapi maandamano? Ni heri mngeanzia kwa mjumbe wa nyumba 10, kesho serikali ya mtaa, kesho kutwa kwa mtendaji kata, mtondogo kwa katibu tarafa, wilaya, mkoa, EAC, Sadc, hadi UN. Mazuzu nyie, no plan, Sasa hivi mmewapa sababu ya kuwapiga kama mkiandamana maana hata UN haitawatetea tena.
 
Kosa lenu mtakalolifanya ni kuitaja Tanganyika mahali popote kwenye hotuba zenu. Ni kosa ambalo halima mtetezi duniani. Tulikaa wafia nchi tukabadilisha GIA angani baada ya kutafakari kwa kina sisi wenyewe na kupata ushauri kutoka ndani na nje wakiwemo international organizations kuhusu faida na hasara ya kuzuia maandamano yenu haya. Tunajua maana na faida ya mental ventilation (mental kathasis), tungefanya kosa kubwa kama tungewazuia kutoa upepo mchafu (kujamba) kutoka matumboni mwenu.
 
Maandamano ni mazuri lakini unaandamana juu ya nini? Mimi ni muumini wa vyama makini kupokezana madaraka, lakini ni chama kipi kinaweza kupokezana madaraka na CCM? Tunataka Chama strong ambacho hata ukiwasikiliza unasema naaaam!!! hapa Kuna hoja, lakini tuma vyama ambavyo vinataka barabara ya kwenda Ikulu lakini wakifika huko hawajui na hatujui watakwenda kufanya nini kwenye ajira, kwenye kilimo, kwenye afya, kwenye uchumi, kwenye elimu ambacho ni tofauti na CCM. Ruto alisema nichagueni mimi mtaona kazi yangu, waaapi buaña!! hali ni mbaya hata mishahara ni tabu kulipa. Ni zuzu TU oyaoya ataandamana kwaajili hii.
 
Soma tena ulichondika halafu jipige kifuani sema "mimi ni mvivu wa kufikiri na nimechagua upumbavu kama sehemu ya maisha" Nikwambie Tu kwamba Tanzania ni mwanachama wa UN na ni signatory member wa mambo anuwai au mikataba ya UN! kwahiyo Tanzania atapata taarifa ya mahitaji au matakwa ya maandamano ambayo hujayaainisha kupitia jumuiya ambayo yeye ni mwanachama. Shule ulienda kusomea ujinga?
 
Walau tukuulize ulishajipa muda kuwasikiliza ajenda itikadi na malengo yao kisiasa? Au kwakua unamchukia mtu huwezi hata kumsikiliza kwakua humpendi yeye hata yale anayotasema huyapendi by default. Be honest!
 
Kwa kuzingatia mstari wako wa kwanza. Upi uhalali wa kuitaja Zanzibar pamoja na alama zake za Taifa ikiwemo bendera- radio-tv_rais_ sarafu- baraza la wawakilishi-jaji mkuu-speaker-ag? Halafu iwe haramu kuitaja Tanganyika ambayo ni nchi huru iliyoungana na nchi huru ya Zanzibar ambayo mpaka sasa haijapoteza sovereignty completely? Mkiambiwa ninyi ni wajinga mantokwa povu. Je mamlaka ya NIDA infayq kazi zanzibar ? Meanwhile kule kuna kitambulisho cha mzanzibari mkaazi? Rais wa jmt anateua MARC na MaDc na madas xanzibar? Ujinga ni mzigo wa mavi ashakum sio matusi
 
🖕🖕🖕🖕🖕🖕
 
Haya tuambie UN watafanya nini kwenye jambo lenu? Yaani UN iache kuhangaika na Gaza, Ukraine, Sudan, DR Congo, Somalia, Libya, Iraq, N. Korea, Burundi, Ethiopia, Yemeni, Sahara, Niger, Mali, Burkina Faso,
Tulikuwa tunaiambia UN kuwa hawa Watawala wa Tanzania na wao wanataka kutupeleka kwenye kudai HAKI zetu kwa nguvu kama Somalia Burundi nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…