Nitawaambia nini wanachama? Nitajiunga na CCM ya Mzee Wassira endapo kwa namna yoyote Wajumbe wenzangu Watakula rushwa na kumchagua Mbowe

Nitawaambia nini wanachama? Nitajiunga na CCM ya Mzee Wassira endapo kwa namna yoyote Wajumbe wenzangu Watakula rushwa na kumchagua Mbowe

Hivi kiunyasi kikidondoka kutoka kwenye nyumba itavuja? Hameni tu bwana wala msitutishe!
 
Watu walihama ccm sio kwa sababu ni chama kibaya, tatizo ni viongozi mafisadi. Kama chadema ilibeba tumaini la kukomesha ufisadi ghafla wakawa mafisadi, itakuwaje wakipewa nchi?
Bora ccm mbovu tunayo ijua kuliko chadema mbovu.
Watambue sisi sio wajinga. Lissu asiposhinda watakuwa wamedhihilisha chadema sio chama cha demokrasia bali ni family saccoss behind politics. Ujumbe wa mtoto wa FAM tuliusoma. Tunasubili majibu 21/1/2025
Baada ya trh 21 itajulikana Bora kwenda CCM kuliko kubaki kwenye tawi la CCM-CHADEMA
 
Aisee hii dunia ina watu wapuuzi sana halafu bahati mbaya ndio mnaoungwa mkono
 
Watu walihama ccm sio kwa sababu ni chama kibaya, tatizo ni viongozi mafisadi. Kama chadema ilibeba tumaini la kukomesha ufisadi ghafla wakawa mafisadi, itakuwaje wakipewa nchi?
Bora ccm mbovu tunayo ijua kuliko chadema mbovu.
Watambue sisi sio wajinga. Lissu asiposhinda watakuwa wamedhihilisha chadema sio chama cha demokrasia bali ni family saccoss behind politics. Ujumbe wa mtoto wa FAM tuliusoma. Tunasubili majibu 21/1/2025
Uko sahihi kabisa
 
Sijui ni kitu gani kimemtokea Mbowe, yani kachukiwa ghafla sanaaaa. What happened??
 
Lakiji kama kilichokupeleka Chadema ni Itikadi, na falsafa iliyopelekea kuanzoshwa kwa chama hicho,ninyi ndio msiofahamu mnataka nini.
Wengi hawakujua kiini hasa cha kuanzishwa kwa chadema ni nn? Mbowe mwenyewe kwa kinywa chake ndiyo amewafumbua macho wanachadema wengi aliposema chadema ni mali yake kwa kuwa ametumia fedha zake nyingi kuendesha chadema. Na ndiyo maana hataki kuachia kiti.
 
Dalili mbaya imeonekana Bawacha .

Mbowe akishinda chama kutakuwepo lakini kitakua kama CUF ,NCCR na UDP.
Wananchi kwa kweli na viongozi wa chini hawatakua na uwezo wa kukabiliana na CCM .

Mbowe hatapata hasara maana kama ni pesa anazo na pia kiu yake ya kukaa kwenye kiti Muda Mrefu itakuwa imetimia .

Watakaopata hasara na kuumia mioyo yao ni wanachama wa kawaida ambao hawanufaiki na chochote zaidi ya kupinga ufisadi unaonufaisha wachache . Hata Morali wa kupiga Kura utapotea .

Hata Mgombea urais CHADEMA watakosa itabidi Mbowe agombee mwenyewe au agombee Wenje au Sugu au Bony Yai 😂😂😂😂😂😂😂.
Mpaka hapo chama kimeshakufa. Bawacha wamechemka wameweka msaliti wa wazi .
Mwakani CHADEMA litakua na wabunge wachache sana chini ya Mbowe tena wa viti maalumu akiwemo mwenyekiti wa Bawacha ambaye pia atapata uteuzi wa mama Samia . Hata pakiwa na Tume huru CHADEMA haitapata viti vingi maana vijana wengi na wasomi wengi hawataipigia kura maana hakuna watu wenye uwezo wa kuongoza nchi chini ya Mbowe. Lisu hawezi kukubali nafasi yoyote ya uongozi chini ya Mbowe ,hata kugombea ubunge chini ya Mbowe ni kupoteza maana kama amesema hafai kuongiza kwa sababu hana busara unampaje uongozi ?

Lakini Lisu akishinda basi ni wazi CHADEMA itapata viti vingi vya Wabunge hata wa viti maalumu watakua wengi.

Wasira hawezi kukabiliana na Heche milele.
Lakini kwenye uadilifu Wenje hawezi kukabiliana na Wasira .
Mbowe hawezi kukabiliana na Samia kwenye jukwaa wala Wasira maana ni wasafi kuliko Mbowe.

Mbowe akishinda hata kwa haki bado wananchi hawamtaki na hawataki kabisa kusikia habari za CHADEMA ya Mbowe.
Mbowe ajiulize Mbona Lipumba ni yule yule Profesa wa uchumi duniani lakini ameshindwa kuifufua CUF na hana ushawishi kabisa wa kuifufua CUF milele .

Wanaomshabikia Mbowe wanatumiwa kumpotosha ili kuiua CHADEMA . Na watafanikiwa kwa asilimia mia moja endapo wajumbe wataingizwa na Tamaa ya fedha . CCM wana jeuri ya pesa . Hata wakiamua kugawa bili. moja kwa kila mjumbe wanaweza kwa sababu waleshagundua kuwa Mbowe naye ana tamaa ya madaraka kama wao . Sasa ni bora wawape pesa halafu wasipate shida kwenye uchaguzi .

CHADEMA imevamiwa na Rushwa . Kwa sasa wananchi hawana nguvu tena ile waliyokuwa wanabiwa nguvu ya umma . Hakuna cha nguvu ya umma zaidi ya umimi .
Mbowe kuwa tena mwenyekiti ni kuifanya Chadema kuwa kigango cha CCM. Wanachama wengi sana hawataiunga mkono Chadema kwa sababu ya Mbowe.
 

Attachments

  • IMG_5035.jpeg
    IMG_5035.jpeg
    84.4 KB · Views: 1
Hivi kiunyasi kikidondoka kutoka kwenye nyumba itavuja? Hameni tu bwana wala msitutishe!
Wewe ni mccm, hakuna mwanachadema anayeweza kufurahia kupoteza wanachama kwani mtaji wa chama ni wingi wa wanachama. Baada ya uchaguzi watu wanatakiwa kuwa kitu kimoja siyo huo upuuzi unaosema wewe.
 
Wananchi na Wanachama wote huku kwangu wanamuunga mkono sana Tundu Lissu,

Wameniambia kama sitamchagua Lissu basi wao hawatakuwa tayari kuendelea na Ujenzi wa Chama,

Lakini kwenye huu Uchaguzi Mimi sipigi kura peke yangu nafanyaje?

Basi kama Mbowe atashinda Mimi nitajiunga tu na CCM Kwa sababu Sina Cha kuwaeleza hawa wajumbe.

Hata nikiwaambia Mimi sijala rushwa wataniambia kura ni Siri kwanini nilipiga kwa Mbowe?

ROHO INAUMIA SANA.
Lisu akishinda kura yangu kwa CCM.Lisu hana karama ya uongozi
 
Back
Top Bottom