ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 9,091
- 21,087
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana
Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga
Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni
Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza
Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅
Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale
Soma Pia: Yanga, yasema mchezo dhidi ya Simba upo palepale hakuna mabadiliko yoyote
Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba
Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar
Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?
Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga
Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni
Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza
Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅
Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale
Soma Pia: Yanga, yasema mchezo dhidi ya Simba upo palepale hakuna mabadiliko yoyote
Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba
Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar
Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?