Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watafute tu kisingizio!

Kuanzia kukosekana kwa wachezaji wao muhimu kwa sababu ya majeraha, halafu mwamuzi ni yule jamaa asiye endekeza bahasha!! Wakaona wazi hali itakuwa ni mbaya! Jibu jepesi likawa ni kuuweka tu mpira kwapani.
Na ndipo Viongozi wa simba wakaona salama Yao ni kwenda kuongea na makomando wa Yanga wazuie basi la timu ya Simba lisiingie uwanjani.
Nao makomando wa Yanga wakawa waaminifu na watiifu kwa Viongozi wa Simba na kuwazuia wasiingie.
Una hoja.
 
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana

Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga

Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni

Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza

Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅

Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale

Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba

Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar

Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?
Tunachofanya leo ni documentation ya kuwa na haki ya kudai point tatu.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA MNAANZA KUWA WA PUMBAVU HAMUELEWI
kati ya 60 umechangia nyuzi 54 mpaka sasa na bdo unajiona GT
 
Na ndipo Viongozi wa simba wakaona salama Yao ni kwenda kuongea na makomando wa Yanga wazuie basi la timu ya Simba lisiingie uwanjani.
Nao makomando wa Yanga wakawa waaminifu na watiifu kwa Viongozi wa Simba na kuwazuia wasiingie.
Una hoja.
Hao makomandoo wa Yanga ni akina nani? Hawana majina yao kamili? Una ushahidi gani kama ni makomandoo wa Yanga? Na kwenye timu ya Yanga, hao makomandoo wapo kwenye idara gani? Je, na kiongozi wao ni nani ndani ya klabu ya Yanga?

Na swali la mwisho, hao makomandoo walipata wapi funguo mpaka wawazuie simba getini kuingia uwanjani?
 
Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watafute tu kisingizio!

Kuanzia kukosekana kwa wachezaji wao muhimu kwa sababu ya majeraha, halafu mwamuzi ni yule jamaa asiye endekeza bahasha!! Wakaona wazi hali itakuwa ni mbaya! Jibu jepesi likawa ni kuuweka tu mpira kwapani.
Achana nao hao mechi ipo, ukurasa wa Club umetoa tayari line up

Halafu kumbe haikuwa mind game ni kweli Azizi Ki anaumwa nyonga na ndio maana kaanzia benchi.
Screenshot_20250308-183916.png
 
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana

Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga

Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni

Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza

Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅

Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale

Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba

Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar

Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?
Huko CAS bora tusiende. Sisi Utopolo bado tuna kumbukumbu mbaya sana. Morisson, Kambole, na wengine wengi walitugaragaza vibaya sana.
 
Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watafute tu kisingizio!

Kuanzia kukosekana kwa wachezaji wao muhimu kwa sababu ya majeraha, halafu mwamuzi ni yule jamaa asiye endekeza bahasha!! Wakaona wazi hali itakuwa ni mbaya! Jibu jepesi likawa ni kuuweka tu mpira kwapani.
Na hii ndiyo sababu.

Makolo wameiogopa Yanga.

Sababu zao za kususia mechi ni za kitoto na kijinga mno.
 
Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza
Mkuu, naomba unipe KANUNI YOYOTE ILIYOITAKA SIMBA SC KUTOA TAARIFA KAMA INAENDA KUFANYA MAZOEZI, NA UNIPE KANUNI ILIYOTAMKA MUDA RASMI TIMU YA SIMBA SC ILITAKIWA KUJA KUFANYA MAZOEZI.

Ukinipa Kanuni hiyo, ndio itahalalisha kama Simba SC imevunja sheria au la.
 
CCM Ndio inapenda vijana Wa Tanganyika waweke nguvu zao huko kwenye simba Na YANGA".

Great Thinker
.

Leo Tutaona Nyuzi za Simba na Yanga zaidi ya elfu 60 humu jukwaani.

TUKIWAAMBIA KUSHABIKIA SANA SIMBA NA YANGA MNAANZA KUWA WA PUMBAVU HAMUELEWI
Give them bread and circuses, and they will never revolt.
 
Yanga wanavyonunua kesi hiyo gemu hakuna hapo tena na points watapewa wao tupo hapa..
 
Baada ya kupiga hesabu zao, wakaona watafute tu kisingizio!

Kuanzia kukosekana kwa wachezaji wao muhimu kwa sababu ya majeraha, halafu mwamuzi ni yule jamaa asiye endekeza bahasha!! Wakaona wazi hali itakuwa ni mbaya! Jibu jepesi likawa ni kuuweka tu mpira kwapani.
Unateseka kweli, hadi huruma maskiniii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Na hii ndiyo sababu.

Makolo wameiogopa Yanga.

Sababu zao za kususia mechi ni za kitoto na kijinga mno.
Ukiangalia sababu yao, utagundua tu ni imani za kishirikina ndiyo zilichangia! Au walikuwa wanatafuta kisingizio cha kuingia mitini.

Kinyume na hapo kama kuna dosari zilijitokeza, basi ilitakiwa mechi ichezwe na wahusika wa hizo dosari kuchukuliwa hatua. Ila siyo kususia mechi. Huu upumbavu.
 
Mkuu, naomba unipe KANUNI YOYOTE ILIYOITAKA SIMBA SC KUTOA TAARIFA KAMA INAENDA KUFANYA MAZOEZI, NA UNIPE KANUNI ILIYOTAMKA MUDA RASMI TIMU YA SIMBA SC ILITAKIWA KUJA KUFANYA MAZOEZI.

Ukinipa Kanuni hiyo, ndio itahalalisha kama Simba SC imevunja sheria au la.
Yaani mgeni unaenda Kwa mwenyeji wako bila taarifa
Bodi ya ligi wamekiri kuwa Simba hawakuwapa taarifa za ujio wao mmiliki wa uwanja, kamshina wa mchezo wala mwenyeji Yanga
Walikuwa kufanya mazoezi usiku vip gizani bila mwanga
Maana wamiliki hawakuwa na taarifa za ujio wao kuwa waweke sawa miundo mbinu ya umeme
 
Sasa boss ukishawadharau nini kinatokea? Kama tukio lina matokeo zero (Sufur/Null/Empty set/Nothing/Hamna) lina madhara gani?

Tupo kwenye dunia ya couse and effect, kama hakuna litakalotokea kwenye uamuzi wako huo uamuzi unakua hauna maana.
 
Back
Top Bottom