Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Nitawadharau Yanga mkicheza mechi itakayopangiwa tarehe nyingine dhidi ya Simba

Wajazeni ujinga tu itakula kwao, wamechimba shimo wameingia wenyewe, hii kiti ilisukwa kitaalam sana kuwa provoke Simba wasusie ili mpate point za bure sasa ubao umegeuka.
 
Eng Hersi na bodi ya timu yetu ni viongozi makini na nawaheshimu sana

Kituko cha Leo Simba kususia mechi,
Naona kanuni ziko wazi na zipo upande wa Yanga

Kwa vyoyote vile mechi haikupaswa kuhairishwa na bodi ya ligi
Hapa wamefanya uhuni

Simba hawakutoa taarifa Kwa management ya uwanja kuwa Kuna ujio wao,
Simba hawakutoa taarifa Kwa mwenyeji wa mchezo ambaye ni Yanga kuwa wangekuja kufanya mazoezi
Muda waliowasili ilikuwa usiku, walitakiwa watoke taarifa ili taa za uwanjani ziwashwe maana uwanja wa Taifa kama hamna mechi wala shughuli yoyote Huwa Kuna Giza

Sasa tunajiuliza Simba walitaka kufanya mazoezi gizani na kutumia tochi za simu😅

Hakuna Kiongozi wa Yanga wala mwajiriwa wa Yanga alikuwa pale

Yanga hawamiliki njia za umeme ili kuwapa mwanga Simba

Yanga nawasihi bodi ya ligi wakiwa mazwazwa wapelekeni CAS
Kule coach wa Stars Amrouch na Samwel Eti waliishitak CAF na wameshindwa na CAF imeamuriwa kuwalipa mamilion ya dollar

Kama watu binafsi wanaishtaki taasisi kama CAF na wanashinda na kupata fidia Yanga mnaogopa nini?
Nimekusharau mno if you think what happened last night is ok
 
Match itaandaliwa na team zote zitapewa taarifa, na ukitaka kupinga itabidi upinge kwa kuwasilisha barua juu ya kugomea match husika.

Na hapa ndio mchezo utaanzia..
 
Back
Top Bottom