Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kwa akili yako unadhani wote tulikuwa Zanzibar na Zuchu? badala ueleze amefungiwa kwa sababu gani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu alitakiwa afungiwe maisha maana hili sio Onyo lake la kwanza kipindi kile katukana Hadharani BASATA wakamsamehe..Tunaamini BASATA watatimiza wajibu Wao.
Kafanyaje?Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Itakuwa anamla mnduk...Mondi anafaidi sana
Sure man kashavujisha mafaili ya Siri, kumbe anakafiraItakuwa anamla mnduk...
Labda wataswala mashoga zake, mi siendivipi ule msikiti alosema anajenga?
Anapenda sana hio michezo huyo mtoto alafu ndio lugha zao huko usafini sasa wakifika kwenye Media wanajisahau km wapo mbele ya camera sijui wanakua washapasha ubongoHuyu alitakiwa afungiwe maisha maana hili sio Onyo lake la kwanza kipindi kile katukana Hadharani BASATA wakamsamehe..
BASATA wanalea Majipu yakiwa vidonda ndo wanalalamika..
hakupaswa kusamehewa kwa kosa hili
View attachment 2925138
kashikikaMzee wa kataa Ndoa vipi tena
ayo matusi yame anza kuimbwa na Zuchu ?Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Mkuu Hebu tuwekee hiyo Santuri nasi tujiridhishe?Ameimba matusi mambo ya Pwani
Sasa si ungeandika kwa flow nzuri tujue kilichopelekea kufungiwa, unatuacha na maswali mengi bila sababu.Ameimba matusi mambo ya Pwani
Nina ndugu yangu mmoja ananyumba ya kisasa ina kila kitu ila hajanunua TV sasa ndo namuelewaMaadili yanaporomoka kwa kasi ya 5g wanaongoza kuyaporomosha
1. Ni wasanii
2. Tv yako hapo nyumbani.