Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Kuna nini kwani? Make unatiririka tu kama mjane kadhulumiwa shamba
 
Mmenikumbusha kikwete alicheza wimbo unatamka "nyama ya mbele ni taaaaamu ya nyumaaaa inamafutaa" au ilikuwa samaki wanamla wanamgeuza geuza
Wakongwe tukumbushane
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Hii nchi kuna upuuzi mwingi Sana na unafiki, alichotamka zuchu, kinafsnywa Sana, tena huko zenj, ndio Sana, sasa unafiki wa nini? Kusema katakana! Hayo matusi tunayasikia saana kila siku,
Tatizo LA kuingiza personal moral standards kwenye Mambo several, wewe kama kwa Imani yqko, kuvaa hereni, kutoboa pua,ni kosa,kwa, wengine vitu vya kawaida tu!
Diamond akivaa hereni kosa, Ila Masai akipiga hereni sawa! Kwa hiyo hapa hereni sio ishu, Ila kwanini unaiga utamaduni wa mwingine!? Kwani ni champion au jinai!?
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Huyu chuchu BAKWATA au akina Sheikh Ponda wamuite wampe mawaidha. Anahitaji mawaidha ili akumbuke baada ya maisha kuna mauti na kuna malipo
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Waogaaaaa hawawezi yan si kwa matusi yaleee mbavuxaoo
 
Mku. Ni tusi?
kinachoangalia ni context ya Nyimbo aliyoimba sio nomino au jina la kiungo alichotaja..
Contents zipo kama zifuatazo..

"Ila tutume taarifa kwa Upande wa pili wanaohisi watamchukua
Nawaona nawaona Mnamaliza miungu,Mnamaliza Mikao ,Mnamaliza Utundu..
Huyu kwangu Hapatoki hata mumpe mku..."


Neno la mwisho peke yake linaweza lisichukuliwe kama tusi ila context nzima na dhima yake inachukuliwa hivyo..
Ishara aliyoionyesha kipindi anaimba anaonyesha anachomaanisha kwa hiyo kauli ni kipi..

Sasa utetezi wa namna hii ni mzigo wa mawazo kwa maadili ya kitanzania
 
Hujaona ameenda kuomba msamaha akapiga picha kabisa huku kashika barua ya msamaha akiwa na vile vizee vya basata tena vilikua vinatabasamu yawezekana vilikua vina mmezea mate kimya kimya, na huu upumbavu wa kuimba matusi hauwezi kuisha kwa sababu atakuja msanii mwingine ataimba zaidi ya hivyo waki muwajibisha atawauliza mbona yule mlimuacha
Fine yenyewe milioni 1

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kinachoangalia ni context ya Nyimbo aliyoimba sio nomino au jina la kiungo alichotaja..
Contents zipo kama zifuatazo..

"Ila tutume taarifa kwa Upande wa pili wanaohisi watamchukua
Nawaona nawaona Mnamaliza miungu,Mnamaliza Mikao ,Mnamaliza Utundu..
Huyu kwangu Hapatoki hata mumpe mku..."


Neno la mwisho peke yake linaweza lisichukuliwe kama tusi ila context nzima na dhima yake inachukuliwa hivyo..
Ishara aliyoionyesha kipindi anaimba anaonyesha anachomaanisha kwa hiyo kauli ni kipi..

Sasa utetezi wa namna hii ni mzigo wa mawazo kwa maadili ya kitanzania
Hizo ni hisia man.
 
Hizo ni hisia man.
Mkuu hapa kuna hisia gani..
Baada ya kutaja hicho kiungo mkono wake na Viungo gani alivielekeza kwa camera watu waone???



Kwa zuchu hili sio Kosa lake la kwanza kwani alishawahi kufungiwa Miezi sita kwa kosa la maneno machafu kama hilo hilo..


TUSIGEUKE WATETEAJI WA KILA KITU
 
Back
Top Bottom