Grahams
JF-Expert Member
- Mar 19, 2016
- 16,096
- 49,651
Walioimba wimbo huo ni Kundi la Muziki kutoka Zanzibar likiitwa Offside TrickMmenikumbusha kikwete alicheza wimbo unatamka "nyama ya mbele ni taaaaamu ya nyumaaaa inamafutaa" au ilikuwa samaki wanamla wanamgeuza geuza
Wakongwe tukumbushane
Nadhani hayo maudhui wanayoimba ni sehemu ya matendo yanayofanyika Kwa wingi huko watokapo