Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Kuelekea uchaguzi hata SMZ watamfungulia maana kwenye kampeni hawezi kosekana,japo walichokifanya Zanzibar wako sahihi kabisa....... nyimbo nyingi ninazoimbwa ni za kipuuzi na zisizo na maadili kwa jamii kabisa, lakini bado zinapigwa nikwasababu hao wanaoimba ndiyo makasuku wa viongozi,kina Harmonizer, Diamond na wengine..... nyimbo zao kama tunataka kufuata maadili hazifai kabisa.

2040 nitakuwa Rais.......huo upuuzi nitapiga marufuku kwenye Media
Waliwalea sasa wamewanyea live kwenye mjukwaa
 
Huyu alikuwa anakatika mbele ya Rais Mwinyi mwezi uliopita na Rais anakenua meno.

HAFANYI HIVI KWA BAHATI MBAYA, TAYARI KACHUKUA PESA YA KUTOSHA KUTOKA KWA WANAOUPIGANIA USHOGA.
Mmh......kile chama kina mbinu nyingi....siwezi kukupinga
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Haka kadada ni kamalaya sana kenyewe miziki yake ni kuhamasisha tu uzinzi,honera Zanzibar kwa kuliona hilo.
 
Nyimbo zinazohamasisha uzinzi, ushoga na uvutaji wa bangi na shisha ndizo zinapendwa na mashabiki na ndizo zinazowaingixia wasanii kipato. Unataka waimbe nyimbo zenye maadili wafe njaa? Zingatia maokoto mkuu
Usiseme zinapendwa na “washabiki”, sema zinapendwa na watanzania walio wengi.

Hao si ndo wanapiga kampeni Za urais kwasababu ya nyomi iliyoko nyuma yao?
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Siku zote napinga fungia fungia.

Kuna suluhisho zaidi ya hilo
 
Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.

Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.

Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.

Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.

Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.

Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.

Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.

Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.

Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Elimu elimu elimu. Hivi vilikua vipaumbele vya hayati lowassa. Wasanii wajinga kama zuchu na diamond wao ni wanasesere kuiga mastaa wa marekani. Hawana uwezo kutofautisha marekani na afrika au kuona hao mastaa wa marekani wanadhuru vipi kifikra waafrika. Wala hawajui wafanye nini sanaa yao iwe chanya kuhamasisha tabia njema au kuleta maendeleo. Hawaimbi chochote cha maana ila mapenzi ngono na mambo ya ovyo tu.
 
Back
Top Bottom