Nitawashangaa BASATA wasipomfungia ZUCHU hata miaka mtano kwa Uchache

Kafanyaje?
 
Kwaiyo ww umeshindwa kwenda kanisani msikitini kujifunza maadili unataka wasanii ndo wakufunze maadili
Kwaiyo unataka wasanii ndo wakuhamasishe kufanya kaz kwa faida yako

Maadili kafundishwe na familia yako , ukoowako ,kabila lako na dini yako ila wasanii waache watoe burudani
Afu maadili ni nn ww kwako unaweza ona kitu flan ni maadili ila kwangu yakawa sio maadili
Maadili hutokana na mazingira

Afu uko nzenji ndo mashoga kibao na mashoga weng utoka zenji mazani wangekua wanajali maadili na kuyaheshimu bas kusingekua na mashoga
 
Huyu alitakiwa afungiwe maisha maana hili sio Onyo lake la kwanza kipindi kile katukana Hadharani BASATA wakamsamehe..
BASATA wanalea Majipu yakiwa vidonda ndo wanalalamika..

hakupaswa kusamehewa kwa kosa hili
View attachment 2925138
Anapenda sana hio michezo huyo mtoto alafu ndio lugha zao huko usafini sasa wakifika kwenye Media wanajisahau km wapo mbele ya camera sijui wanakua washapasha ubongo
 
ayo matusi yame anza kuimbwa na Zuchu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…