Hahaha! Dah! Hakana tafsidaHuyu alitakiwa afungiwe maisha maana hili sio Onyo lake la kwanza kipindi kile katukana Hadharani BASATA wakamsamehe..
BASATA wanalea Majipu yakiwa vidonda ndo wanalalamika..
hakupaswa kusamehewa kwa kosa hili
View attachment 2925138
Kwahiyo msikiti unatakiwa toka kwenye hela zinazopatikana kwa kucheza uchi majukwaani?vipi ule msikiti alosema anajenga?
Waliwalea sasa wamewanyea live kwenye mjukwaaKuelekea uchaguzi hata SMZ watamfungulia maana kwenye kampeni hawezi kosekana,japo walichokifanya Zanzibar wako sahihi kabisa....... nyimbo nyingi ninazoimbwa ni za kipuuzi na zisizo na maadili kwa jamii kabisa, lakini bado zinapigwa nikwasababu hao wanaoimba ndiyo makasuku wa viongozi,kina Harmonizer, Diamond na wengine..... nyimbo zao kama tunataka kufuata maadili hazifai kabisa.
2040 nitakuwa Rais.......huo upuuzi nitapiga marufuku kwenye Media
KAshenz sana haka katotoHahaha! Dah! Hakana tafsida
Uko sahihi kabisa mkuu hata FM RADIO mijadala ni ujinga ujinga mtupuMaadili yanaporomoka kwa kasi ya 5g wanaongoza kuyaporomosha
1. Ni wasanii
2. Tv yako hapo nyumbani.
Hatutaki Atujengee tena akae na pesa zakw.Kwahiyo msikiti unatakiwa toka kwenye hela zinazopatikana kwa kucheza uchi majukwaani?
Mtakubali tu 😔Hatutaki Atujengee tena akae na pesa zakw.
Ni shida sanaWaliwalea sasa wamewanyea live kwenye mjukwaa
Huyu alikuwa anakatika mbele ya Rais Mwinyi mwezi uliopita na Rais anakenua meno.Aliiimba matusi Hadharani..Zanzibar ya kuhamasiha ushoga
View attachment 2925119
Mmh......kile chama kina mbinu nyingi....siwezi kukupingaHuyu alikuwa anakatika mbele ya Rais Mwinyi mwezi uliopita na Rais anakenua meno.
HAFANYI HIVI KWA BAHATI MBAYA, TAYARI KACHUKUA PESA YA KUTOSHA KUTOKA KWA WANAOUPIGANIA USHOGA.
ndiyo yapiMambo ya Mombasa
Haka kadada ni kamalaya sana kenyewe miziki yake ni kuhamasisha tu uzinzi,honera Zanzibar kwa kuliona hilo.Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Hasa wasanii wa kike.Maadili yanaporomoka kwa kasi ya 5g wanaongoza kuyaporomosha
1. Ni wasanii
2. Tv yako hapo nyumbani.
HahahaahHuyo zuchu ni mbunge ama? Ataingiaje kwenye jukwaa la siasa? Tumeishiwa vya kujadili?? Hii elimu Bure itatumaliza!!!
Usiseme zinapendwa na “washabiki”, sema zinapendwa na watanzania walio wengi.Nyimbo zinazohamasisha uzinzi, ushoga na uvutaji wa bangi na shisha ndizo zinapendwa na mashabiki na ndizo zinazowaingixia wasanii kipato. Unataka waimbe nyimbo zenye maadili wafe njaa? Zingatia maokoto mkuu
Siku zote napinga fungia fungia.Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.
Nimenunuwa huu ugomvi ili kurudisha heshima ya JF, wewe nakutandika ban Mimi mwenyewe.Hii vita haikuhusu
Hiyo Zanzibar yenyewe sasa kuna Makunduchi, Mchambawima na ChokochoHaka kadada ni kamalaya sana kenyewe miziki yake ni kuhamasisha tu uzinzi,honera Zanzibar kwa kuliona hilo.
Elimu elimu elimu. Hivi vilikua vipaumbele vya hayati lowassa. Wasanii wajinga kama zuchu na diamond wao ni wanasesere kuiga mastaa wa marekani. Hawana uwezo kutofautisha marekani na afrika au kuona hao mastaa wa marekani wanadhuru vipi kifikra waafrika. Wala hawajui wafanye nini sanaa yao iwe chanya kuhamasisha tabia njema au kuleta maendeleo. Hawaimbi chochote cha maana ila mapenzi ngono na mambo ya ovyo tu.Kusema ukweli Msanii wa Bongo Fleva ambaye leo Tar 5 Machi 2024 amefungiwa kujiahughulisha na kazi za Sanaa ktk Nchi ya Zanzibar na viunga vyake amekoswea sana.
Ndani ya Kisiwa cha Zanzibar Rais Mwinyi na Viongozi wenzake wanafanya kazi nzuri kuhakikisha anawaletea maendeleo wananchi na kupambana na hatari ya tabia mbaya za kudhalilisha watu kijinsia ikiwemo ulawiti, ubakaj, uzinzi na liwaati.
Sasa inapoonekana Msanii ambaye ameaminiwa na jamii kuonekana kuwa kinara kwenda kinyume na Jitihada za Taifa hasa kwenye Swala la maadili basi hatua kali zinapaswa kuchukuliwa.
Baraza la Sanaa la Zanzibar limechukua hatua madhubuti japo bado naona Adhabu ni ndogo.
Nitoe wito kwa Baraza la Sanaa Tanzania kuwa kinara na mfano bora kutoa usimamizi juu ya ustawi wa Mila na desturi zetu Watanzania.
Hala hala Basata tunasubiri hatua zenu ili na wasanii Wengine wajifunze.
Sanaa Zetu zijikite kuleta burudani, kuhamasisha vijana kufanya kazi kwa bidii, kuheshimu viongozi ktk familia, Jamii na Taifa kwa ujumla.
Sanaa inayohamaisha watu kujikwamua na kujikomboa kifikra na kupambania haki za binadamu wengine.
Sanaa ijiepushe kuhamasisha Ngono, Ulevi, uvivu, bata, matusi na ushoga.