Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama taifa tutakuwa tumerudi miaka 10 nyuma.Mkuu Mzalendo Uchwara una hoja imara na muhimu sana kwa taifa hili.
Ila kwa Bahati mbaya uwepo wa mkizimkazi kwenye hiyo ofisi kubwa kumekuwa ni neema kwa wenye biashara kubwa ambao wana turufu ya maamuzi kwenye chaguzi zetu.
Kwa mantiki hiyo, hili tatizo bado tutaendelea kuwa nalo kwa miaka mingine mitano.
Kumbuka, ndani ya chama cha mambuzi wenye pesa ndio wenye maamuzi.
Hakuna wakati Rais wa Tanzania amewahi kupatikana kutokana na kura za wananchi tangu mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchiniWakimpitisha huyo waandae na mikakati ya kuiba uchaguzi
Na nyie mmeamua kuwapigia pande 'wajomba' sio??Achana na sisi deal na mambo yenu ya Rwanda huko, mnaiba mali za DRC kupitia M23.
Kupiga kura sio tatizo, he tunaweza kulinda kura zetu maana jamaa wanambinu nyingiNa sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Babu Duni Haji Alisema Wazi WaziHakuna wakati Rais wa Tanzania amewahi kupatikana kutokana na kura za wananchi tangu mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchini
Hapa tunapoteza tu muda na kufurahisha genge
Huyu anaikimbia nchi/ofisi...hajui tena majukumu yake kama kiongozi mkuu, wenye pesa wamempoka nguvu zake.Hivi hata kuzindua sanamu alishindwa kumuagiza muwakilishi, huyu mama huyu?
Anamalizia nini,alipokea kijiti akamilishe mpaka 2025,Kwa Kauli Ya W/Mkuu Na Mheshimiwa Kinana Wakiwa Wilayani Ruangwa
Walisema Form Ni Moja Tu Kwa Nafasi Ya Rais Na Anatakiwa Eti Amalizie
Miaka Yake Iliyobaki
Ndugu Zangu Mwafaa!!!
Kupiga kura sio tatizo, he tunaweza kulinda kura zetu maana jamaa wanambinu nyingi
Kwa wingi wa machawa walioko CCM, tutegemee maumivu. Upinzani nao wamekuwa machawa hata huwezi kumtaja nani tumchague.Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Na sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi
Tutashangaa na nafasi zetu, atapitishwa!Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Natamani uchaguzi uwe wa bila kificho, yaani kura ya siri. Mtu aingie kupiga kura, akimchagua amtakaye, wasimamizi wote wanaona aliyepigiwa kura na zinaenda kwenye kasha maalum la aliyepigiwa kura na hapo hapo kila msimamizi anaweka kumbukumbu ya hesabu ya kila aliyepigiwa kura. Hii itaondoa wizi wa ccm kuja na makasha yenye kura ndani yake, itaepusha wingi wa kuwa kuliko waliojisajili, na itaokoa muda wa kuhesabu, kwani, mtu wa mwisho kupiga kura katika kituo, atahimisha nani kapata ngapi, ni suala la wasimamizi kuwasilisha tu kumbukumbu zao.Na sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi
Umeongea ukweli ila ni pumba tupu, huna akili masikini mkubwa. Dkt Samia anafaa sana. Wivu ndiyo unakusumbua ewe masikini wa kutupwa.Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
[emoji16][emoji16][emoji16]Huyu akiendelea mpaka 2030 basi kila mtu atakuwa na kisima cha maji nyumbani na jenereta lake la kujizalishia umeme. Bidhaa kama mafuta ya petroli na sukari tutakuwa tunanunua kwa magendo huko vichochoroni.