Nitawashangaa sana chama tawala mkimpitisha huyu wa sasa hiyo 2025. Viatu vimempwaya mno!

Nitawashangaa sana chama tawala mkimpitisha huyu wa sasa hiyo 2025. Viatu vimempwaya mno!

Mkuu Mzalendo Uchwara una hoja imara na muhimu sana kwa taifa hili.

Ila kwa Bahati mbaya uwepo wa mkizimkazi kwenye hiyo ofisi kubwa kumekuwa ni neema kwa wenye biashara kubwa ambao wana turufu ya maamuzi kwenye chaguzi zetu.
Kwa mantiki hiyo, hili tatizo bado tutaendelea kuwa nalo kwa miaka mingine mitano.
Kumbuka, ndani ya chama cha mambuzi wenye pesa ndio wenye maamuzi.
Kama taifa tutakuwa tumerudi miaka 10 nyuma.
 
Na sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Kupiga kura sio tatizo, he tunaweza kulinda kura zetu maana jamaa wanambinu nyingi
 
Hakuna wakati Rais wa Tanzania amewahi kupatikana kutokana na kura za wananchi tangu mfumo wa vyama vingi ulipoingia nchini

Hapa tunapoteza tu muda na kufurahisha genge
Babu Duni Haji Alisema Wazi Wazi
 
Hivi hata kuzindua sanamu alishindwa kumuagiza muwakilishi, huyu mama huyu?
Huyu anaikimbia nchi/ofisi...hajui tena majukumu yake kama kiongozi mkuu, wenye pesa wamempoka nguvu zake.
Amebaki kukimbiakimbia tu kama dikidiki porini.
Akija hapa nchini ni kwa matukio maalum...mazishi na majanga ya kiasili kama ilivyokuwa kule Hanang.
 
Yaani Watz wavumilivu,

Kwahy mko tayari kusota na matatizo yote ya sukari, umeme, maji Hadi 2025?
 
Kupiga kura sio tatizo, he tunaweza kulinda kura zetu maana jamaa wanambinu nyingi
IMG_20240219_170245.jpg
 
Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.

Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.

Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.

Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.

Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.

Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.

Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Kwa wingi wa machawa walioko CCM, tutegemee maumivu. Upinzani nao wamekuwa machawa hata huwezi kumtaja nani tumchague.
 
vitunguu vimepanda bei sasa ni 4000 sh kwa kilo, ilikuwa sh 800 kwa kilo ajabu mnazungumzia sukari tu
 
Na sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi

Hili hatujawahi kutekeleza ni kelele tu mitandaoni
 
Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.

Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.

Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.

Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.

Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.

Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.

Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Tutashangaa na nafasi zetu, atapitishwa!

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Na sisi wananchi tujitahidi kuhakikisha taarifa zetu daftari la kupiga kura zipo sawa na utakapofika wakati wa kupiga kura tujitokeze kwa wingi hasa vijana na kuchagua viongozi sahihi
Natamani uchaguzi uwe wa bila kificho, yaani kura ya siri. Mtu aingie kupiga kura, akimchagua amtakaye, wasimamizi wote wanaona aliyepigiwa kura na zinaenda kwenye kasha maalum la aliyepigiwa kura na hapo hapo kila msimamizi anaweka kumbukumbu ya hesabu ya kila aliyepigiwa kura. Hii itaondoa wizi wa ccm kuja na makasha yenye kura ndani yake, itaepusha wingi wa kuwa kuliko waliojisajili, na itaokoa muda wa kuhesabu, kwani, mtu wa mwisho kupiga kura katika kituo, atahimisha nani kapata ngapi, ni suala la wasimamizi kuwasilisha tu kumbukumbu zao.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.

Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.

Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.

Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.

Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.

Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.

Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Umeongea ukweli ila ni pumba tupu, huna akili masikini mkubwa. Dkt Samia anafaa sana. Wivu ndiyo unakusumbua ewe masikini wa kutupwa.
 
Back
Top Bottom