Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Kuwa pale ni mpango wa Mungu ,hakuwa na mpango wa kuwa Rais kweny maisha kabisa..
Kila kitu kinatokana na uwezo wa Mungu .
Kila kitu kinatokana na uwezo wa Mungu .
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyejiTuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Hamna kitu paleHakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyeji
Lile popoma Lucas mwashambwa likikusikia kazi unayoTuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Acha hasira, hata wewe moyoni mwako unajua kuwa hatoshi.Umeongea ukweli ila ni pumba tupu, huna akili masikini mkubwa. Dkt Samia anafaa sana. Wivu ndiyo unakusumbua ewe masikini wa kutupwa.
Yule chawa pumzi itakata baada ya 2025. Atakapojua kuwa teuzi zina wenyewe wenye baba zao huko. Kwani yule kijana wa ACT sufian juma unamsikia?? Kimyaa 🤣 🤣 🤣Lile popoma Lucas mwashambwa likikusikia kazi unayo
Wengi tu sio sufiani pekeeYule chawa pumzi itakata baada ya 2025. Atakapojua kuwa teuzi zina wenyewe wenye baba zao huko. Kwani yule kijana wa ACT sufian juma unamsikia?? Kimyaa 🤣 🤣 🤣
MkuuUmeongea ukweli ila ni pumba tupu, huna akili masikini mkubwa. Dkt Samia anafaa sana. Wivu ndiyo unakusumbua ewe masikini wa kutupwa.
Rais Dkt Samia anatosha kabisa, twendw na Dkt Samia 2025. Madhara ya kubadili ni kuwa na rais 1/2 Dkt Magufuli na 1/2 Dkt Samia, matokeo yake itatuchukua muda kumzoea. Ila Dkt Samia tumeshamzoeaAcha hasira, hata wewe moyoni mwako unajua kuwa hatoshi.
Chura wakuruka ruka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tuwe wakweli, huyu mheshimiwa mama naniliu hajawahi kuchaguliwa na chama wala wananchi kushika nafasi ya rais wa nchi. Yupo pale kumalizia kipindi cha hayati na kuivusha nchi kwa mujibu wa katiba. Na tumshukuru kwa kazi hiyo.
Lakini kwa uwezo wake wa uongozi aliounesha katika kipindi hiki cha kumalizia ungwe ya hayati ni wazi kuwa viatu vya urais ni vikubwa mno kwakwe.
Taifa haliwezi kuwa na rais ambaye anaamini kutoka moyoni mwake kuwa sisi hatuwezi kitu na maendeleo yetu yatapatikana kwa kuwaomba na kuwalamba miguu mabeberu. Kutwa kucha kiguu na njia kuzurura huko kwa hao anaodhani wanatoa free lunch.
Taifa haliwezi kuchaguliwa rais na wakala wa CIA ambaye wapumbavu wanamwita 'king maker', na ambaye mheshimiwa anamwona ndio turufu yake ya kuendelea kubaki ikulu na ameamua kumweka karibu na anaambatana nae huku na kule.
Taifa haliwezi kuwa linahangaika na matatizo yaleyale yaliyomalizwa na mtangulizi, mambo kama migao ya umeme, uhaba wa maji, uhaba wa sukari, uhaba wa fedha za kigeni, mfumuko wa bei, rushwa na ubadhirifu serikali N.K ni aibu kwa taifa na kiongozi wake.
Wazalendo ndani ya chama walifanya uzalendo wa kutukuka ile 2015 kulilinda taifa, i expect nothing less hiyo 2025. Upigwe mchujo kamili apatikane mtu sahihi.
Nilikuwa na matumaini sana na huyu mheshimiwa, lakini ukweli tuuseme tu, ngazi ya taifa sio sehemu ya kufanya experiment za uongozi.
Anaitwa churaHuyu anaikimbia nchi/ofisi...hajui tena majukumu yake kama kiongozi mkuu, wenye pesa wamempoka nguvu zake.
Amebaki kukimbiakimbia tu kama dikidiki porini.
Akija hapa nchini ni kwa matukio maalum...mazishi na majanga ya kiasili kama ilivyokuwa kule Hanang.
Huyo jangili lazima atetee uharamiaKwa Kauli Ya W/Mkuu Na Mheshimiwa Kinana Wakiwa Wilayani Ruangwa
Walisema Form Ni Moja Tu Kwa Nafasi Ya Rais Na Anatakiwa Eti Amalizie
Miaka Yake Iliyobaki
Ndugu Zangu Mwafaa!!!
Mwishowe mkamuita shetaniMzilankende
Chuma, Jiwe
Baba Jesca,
Dkt John Pombe Joseph Magufuli
Alitufanyizia Kazi Kweli Kweli, Yule Baba
Huu ndio mchezo mliojizoeshaKuwa pale ni mpango wa Mungu ,hakuwa na mpango wa kuwa Rais kweny maisha kabisa..
Kila kitu kinatokana na uwezo wa Mungu .
AbsolutelyNchi ipo ktk mtanziko mkubwa kabisa!
Kwa hapa tulipofikia sasa tunahitaji kiongozi jasiri, mkomavu, mwenye maono, mzalendo na asie na blahblah ili tuweze kutoka ktk mkwamo huu
Njaaa njaa njaaRais Dkt Samia anatosha kabisa, twendw na Dkt Samia 2025. Madhara ya kubadili ni kuwa na rais 1/2 Dkt Magufuli na 1/2 Dkt Samia, matokeo yake itatuchukua muda kumzoea. Ila Dkt Samia tumeshamzoea
Mazoea kazoea kazoa.Rais Dkt Samia anatosha kabisa, twendw na Dkt Samia 2025. Madhara ya kubadili ni kuwa na rais 1/2 Dkt Magufuli na 1/2 Dkt Samia, matokeo yake itatuchukua muda kumzoea. Ila Dkt Samia tumeshamzoea