Nitawashangaa sana chama tawala mkimpitisha huyu wa sasa hiyo 2025. Viatu vimempwaya mno!

Hakuna Rais hapa ni bomu Tena la kienyeji
 
Lile popoma Lucas mwashambwa likikusikia kazi unayo
 
Chura wakuruka ruka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Anaitwa chura

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Rais Dkt Samia anatosha kabisa, twendw na Dkt Samia 2025. Madhara ya kubadili ni kuwa na rais 1/2 Dkt Magufuli na 1/2 Dkt Samia, matokeo yake itatuchukua muda kumzoea. Ila Dkt Samia tumeshamzoea
Njaaa njaa njaa
 
Rais Dkt Samia anatosha kabisa, twendw na Dkt Samia 2025. Madhara ya kubadili ni kuwa na rais 1/2 Dkt Magufuli na 1/2 Dkt Samia, matokeo yake itatuchukua muda kumzoea. Ila Dkt Samia tumeshamzoea
Mazoea kazoea kazoa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…