Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Pyramid Business.. Hakuna cha zaidi..

Wachache wa kwanza ndio watafaidika, watakaofata ndio cha moto watakiona..

It's the likes of Mr Kuku, Deci, Qnet..
Pole sana mkuu,mimi siyo trader wala sina bitcoin lakin ulichofanya unefananisha ugali na chops
 
Panda mbegu ndugu, huko mbeleni majibu utakuja kuyapata..

Theory ya utajiri ni moja tu "If you want to be rich, u have to produce goods or services"

Hayo yenu mengine fanyeni, ndio yaleyale tu kama yule Mngoni aliyekuwa anawadanganya ananunua mahindi gunia elfu 70 anauza elfu 40..

Always, losers like shortcuts...
Warren Buffet, George Soros na akina Ray Dalio wanazalisha bidhaa gani?

Au wao sio rich?
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Wizi mtupu
 
Mimi sio muumini wa hiyo theory ... Huo ni mtizamo wako Chief, kuna wengi sana akina Warren Buffet, Carl Icahn, George Soros.. et al wametengeneza Billions bila ku produce goods au service..

Walikuwa wanacheza kwenye speculations tu kama hivi
Wewe warren Buffet umemsoma au unamsikia

Kasome vizuri Stocks and Shares

Yule ni Trader aliyekuwa amewekeza na kuzichezesha vizuri portifolio zake

Alikuwa mjanja anauza share zake akiona mbeleni kampuni itayumba na alinunua pale alipoona mbeleni kuna neema

Wewe unaongelea Virtual money (Bitcoin) au online forex trading ndio hapo watu mnatofautiana concept

Mchungaji Bushiri yeye alijifanya anapata mapesa kwenye Dini na Forex kama wewe kumbe anaongoza genge la uharifu na anatakatisha pesa kwa mujibu wa mamlaka za south Afrika

Sent from my vivo 1805 using JamiiForums mobile app
 
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.

There are people who make profits from trading forex. But that's like 0.01% of the retail traders. I'm a trader (not forex) and I can tell you that very few people make money from trading in the long run. In the short term, very many people make money, and this hooks them to trading. They give it all back and some in the long run.

Financial markets are like a casino to average joe traders. You can win in the short term, but if you play the game long enough the house wins. Also, if you see anyone with a course, that's not a true trader.

Never trust any poser with a product or a service to sell about trading. Real traders make money from actual trading, not selling signals, strategies, bots, or courses.
 
Fanyia kazi mkuu.. financial markets inaweza kukupa pesa .. juzi tu january hisa za CRDB zilikuwa zinauzwa sh 90 leo hii zipo kwenye 190 hapo ni faida mara mbili ya ulichowekeza, kuna utapeli hapo?

Inategemea tu mtizamo wa mtu unavochukulia taarifa fulani
Umeshasema hisa yaani You give them money and they give you paper equivalent to what you have contributed

Hiyo Bitcoin au online forex you are just trading ,Ghafla akaunti inapigwa na broker kimya kimya unasingizia nilisahau kuclose deal

Ahaaa,Hao mabroker they are clever ,Unadhani kama wanavuna mapesa kwanini Mabroker wanakusanya pesa za semina na kuuza vitabu si wangekesha wanavuna pesa mtandaoni

Sent from my vivo 1805 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mengi huyafahamu.. Kwani kazi za financial markets ni nini?

Inawezekana hujui connection ya financial markets na hizo unazozisema real business.. tuanzie hapo.. nataka nikupe elimu
Wewe ni tapeli kama matapeli wengine

Bushiri ni Master wa forex kumbe alikuwa anajificha huko huku anatakatisha pesa

Watu wanaouza madawa ya kulevya wote wanasingizia pesa wanapata kupitia forex

Ontario wa Pili wewe


Sent from my vivo 1805 using JamiiForums mobile app
 
WB anawekeza kwenye Kampuni zinazozalisha au kutoa huduma.
Hata hujaelewa!!

Nimeuliza hivi..

Baffet anazalisha bidhaa?

Pia kabla hujajibu rudia kusoma comment ya niliye kuwa namuuliza swali usipende kudandia treni kwa mbele.
 
Primitive thinking
Waliisema akina nanii kipindi yule dogo Tapeli kaja na story zake za kusadikika kuhusu utajiri wa mashamba...akiwa anawaandaa na kile kiinimacho cha kuitwa "FOREX" wapambe kibao wakaja oh hii ndio biashara kubwa wallstreet
Mkuu umasikini umeathiri vijana wengi sana sana kisaikolojia yani muda wote anawaza anatapeliwa yuko radhi aamke asubuhi na kuzurura tu jioni anarudi kulala, kuna msemo fulan hivi wanasema mwafrika akiamka asubuhi anaanza kujikuna sehem za siri, ila mzungu akiamka anaanza kujikuna kichwa
Mbona mnatufosi tuwe matajiri jamani wakati sie tumesharidhika na mkono kwenda kinywani tu.
 
Huzijui hata biashara za Warren Buffet?? Mbona unaonyesha ujinga wako waziwazi
Hii ukiitazama ni kama dini.. yaani ukiitaka lazima uamini tuu.. hauhitaji kuthibitisha we amini tuuu.. na wanaquote vitaarifa nusu nusu na havitakiwi kuwa na logic kwa upana wake a long as vinaendelea kuimarisha imani yao.
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Mi nimekuelewa boss
 
Mimi sio muumini wa hiyo theory ... Huo ni mtizamo wako Chief, kuna wengi sana akina Warren Buffet, Carl Icahn, George Soros.. et al wametengeneza Billions bila ku produce goods au service..

Walikuwa wanacheza kwenye speculations tu kama hivi
Kuna wale twins bilionaires wa Bitcoin

The winklevos brothers school mates wa mark Zuckerberg

Hawa watz achana nao mi huwa hata sinaga stimu kuelezea hii kitu mtaani
 
Back
Top Bottom