Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Mkuu

Mimi sio masikini

Infact far from it.....

Wewe ni tajiri kiasi gani kuita watu wengine masikini?hebu tupe list ya your ownerships,taja majina ya hizo franchises tu,hata evidences zake hatutaji,tutajie

Huna

Huna mamlaka ya kuita wengine masikini wakati huna cliche' zozote za wealth

Kusoma vitabu sio kua tajiri mzee....matajiri ni doers sio readers!

Unamaliza unaweka kitabu chini unafanya mpaka mwisho...mnakuja hapa na book titles za kimaku-maku!

Tutajie umefanya nini,ume-invent nini.....Brela kwenye Patent Journal una patents ngapi na namba zake ni ngapi na ngapi tukasome wenyewe tuone kweli

Cosota una inventions gani ulizosajili kwenye category ya software or art ulizonazo,huna!

Una biashara zipi,zitaje brand names zake,huna!

Kila siku unaunguza accounts za kimaku-maku za Forex unachoshindwa kuelewa hua una trade against the platform owners themselves hivyo aligorithms lazima waziweke biased na wao...

Platform owner sio neutral part kati ya sellers na buyers....uelewe hilo

Masikini wa common sense..bure kabisa...na mtaendelea kuunguza accounts zenu mpaka muuze mashamba...

Many are here crying....bure kabisa
Sawa Tajiri wa maneno maskini wa mali na akili..
 
Umesema kitu kizuri sana lakini ku invest kwenye coin sio kwenye Bitcoin tu, zipo coins nyingi sana na baadae zinaweza kuwa na value kama bitcoin tu. Ie unaweza nunu 'V chain' coin sasa hivi kwa bei rahisi ila badae itakuwa juu sababu ya project yao. Naweka list za coins mtu anaweza nunua now akapata faida kubwa baadae.
Cardano, Zilliqa , Doge , KNC , Theta na nyinginezo.
Naweka mfano wa portfolio yangu ya coin hizo za kuuza baadae baada ya kama 3 yrs. Also nafanya daily trade mfano juzi mpaka leo niliweka $430 kwenye Graph coin 'GRT' nilinunua coin 3107 kwa $0.13 kwa sasa bei ni 0.74 nikiamua kuuza napata almost 3K kwa investment ndogo niliweka kwenye hiyo coin tu. Kwahiyo crypto ni kuisoma na kufatilia graph with small investment unaweza tusua.
View attachment 1655755View attachment 1655756View attachment 1655757
Nataka kujua platform gani unatumia boss
 
Bitcoin na Forex ni Pyramid business kama Mr. Kuku, Deci na Qnet????

Oyoyoyoyooo!! Una mengi ya kujifunza ndugu
Unamfaham huyu? Basi usijisumbue kumjibu achana nae,


By the way,kuna watu hapa wanakupinga lkn trust me,ndio wanafanya na wako vzr hauwafikiii hara robo, sema wanajitoa ufaham nyuma ya keyboard...


USICHUKULIE SERIOUS KILA ANAYEPINGA.
 
Pyramid Business.. Hakuna cha zaidi..

Wachache wa kwanza ndio watafaidika, watakaofata ndio cha moto watakiona..

It's the likes of Mr Kuku, Deci, Qnet..
Itakuwa umejiumbia Dunia yako
 
IMG-20201223-WA0003.jpg

Sasahivi tukisikia mtu katapeliwa tunamchapa fipo akiwa uchi na jela maisha yake yote..
 
Mara nyingi kwenye cryptos.. watu wanangalia zile coins ambazo zina support activity ambayo ipo potential kwa jamii..

Ndo mana utakuta watu wanakuambia Etherium ina potential kubwa kuliko hata Bitcoin
Saiv bei ya etherum ni usd ngap per coin?
 
Juzi kuna mdau alileta thread ya Pi Coin kwa sasa ni bure kabisa. Ina zero value at the market ipo katika phase ya pili ya development. Unachotakiwa ni kuanza kumine mpaka itakapo ingia phase ya tatu ndio watasimamisha mining na kua na value. Ila watu watapotezea 5-10 years later tutaishia kusema ni utapeli tu kumbe wenzako waliinunua wakati ikiwa haina thamani.
Mkuu kufanya mining ndo kufanya nini huko??
Nielekeze

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kufanya mining ndo kufanya nini huko??
Nielekeze

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Kuna Cryptocurrency ambayo ipo katika development phase bado haina thamani na ipo for free hopefully after a year inaweza kua na thamani. Kwa sasa unachotakiwa kufanya ni kumine by login in katika platform yao once after every 24 hours. Although it's boring kumine kitu ambacho hakina thamani kwa muda mrefu but uzuri ni kua you have nothing to lose, mpaka hapo itakavyo ingia market ndio utajua thamani yake
 
Kuna Cryptocurrency ambayo ipo katika development phase bado haina thamani na ipo for free hopefully after a year inaweza kua na thamani. Kwa sasa unachotakiwa kufanya ni kumine by login in katika platform yao once after every 24 hours. Although it's boring kumine kitu ambacho hakina thamani kwa muda mrefu but uzuri ni kua you have nothing to lose, mpaka hapo itakavyo ingia market ndio utajua thamani yake
Hii dhana nataka nijiulize.. what if nikiwa na tunda nyingi za Ukwaju na nikiamua tunda za ukwaju nitazifanya kuwa hela.. (i mean mbegu za ukwaju)

Kwa phase ya kwanza tunatangaza.. phase Hii zinakuwa bure yoyote mwenye nazo akusanye aweke.. wenye roho fupi wanauza kutoka kwa wenye roho ndogo na wasioamini..

Phase two.. ni consolidation mimi muanzilishi wa huu mpango naamua kuanza kuzinunua kutoka kwa kwa waliokusanya na hasa wenye nyingi kwa heightened price...

Phase three ndio nakuja kupiga soko lishaelewa na speculators wameongezeka na mimi nawauzia hao hao wanaotaraji kuona ongezeko la thamani..

Hii inatofauti gani na Hizi coins!?
 
Hii dhana nataka nijiulize.. what if nikiwa na tunda nyingi za Ukwaju na nikiamua tunda za ukwaju nitazifanya kuwa hela.. (i mean mbegu za ukwaju)

Kwa phase ya kwanza tunatangaza.. phase Hii zinakuwa bure yoyote mwenye nazo akusanye aweke.. wenye roho fupi wanauza kutoka kwa wenye roho ndogo na wasioamini..

Phase two.. ni consolidation mimi muanzilishi wa huu mpango naamua kuanza kuzinunua kutoka kwa kwa waliokusanya na hasa wenye nyingi kwa heightened price...

Phase three ndio nakuja kupiga soko lishaelewa na speculators wameongezeka na mimi nawauzia hao hao wanaotaraji kuona ongezeko la thamani..

Hii inatofauti gani na Hizi coins!?
Hebu chafukwa na roho uanze kuzinunua hizo tunda sasa hivi 😊😊😊😊.
Yeah concept ya hizi cryptocurrencies ni kua na limited supply halafu baadae wanaamua kuja kutumia hizo coins katika transactions zao zinakua na perceived value....
 
Hebu chafukwa na roho uanze kuzinunua hizo tunda sasa hivi [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4].
Yeah concept ya hizi cryptocurrencies ni kua na limited supply halafu baadae wanaamua kuja kutumia hizo coins katika transactions zao zinakua na perceived value....
Kwa hiyo in reality .Coins hazina Really Value.. Na Ni uleule mchezo wa Sarafu ya mjerumani (Utapeli wa Rupia) only this time uko mtandaoni .. sio!?
 
Yeah concept ya hizi cryptocurrencies ni kua na limited supply

Ya kitu kisichokuwa na value.. literally randomly unique computer generated numbers..

halafu baadae wanaamua kuja kutumia hizo coins

(Vitual coins - computer generated numbers)

katika transactions

Ambazo ziko limited to brainwashed believers au wanatapelika... Maana you won't buy a car from Toyota with 2bitcons worth $23k would you!? Or just pay rent...
 
Maana yake ni kwamba kwenye financial markets hakuna price ambayo ni too high or too low... Price ina move popote..

Kuna watu huwa wanadhani price ikiwa ndogo sana ndo opportunity ya kununua.. ama ikiwa kubwa sana basi inatakiwa kuuzwa.. sivo ilivo

Mfanyabiashara mahiri hununua bei ikiwa poa na kuuza bei ikiwa juu!! Ukifanya tofauti na hivyo lazima ufilisike!!!
 
Kwa hiyo in reality .Coins hazina Really Value.. Na Ni uleule mchezo wa Sarafu ya mjerumani (Utapeli wa Rupia) only this time uko mtandaoni .. sio!?
Ni kama hizi sarafu na noti tunazotumia pia hazina thamani mpaka zitumike katika exchanges.
 
Ni kama hizi sarafu na noti tunazotumia pia hazina thamani mpaka zitumike katika exchanges.
Hapa Sarafu tunazotumia zina thamani.. na thamani yake ni "Guarantee ya Full Support from the Government"

Ukiuza kitu sh. Elfu kumi nikaja nikakulipa utapokea na kunipa unachokiuza... Ukija unataka US $ nitaenda benki ya serikali wanipe US $ worth 10k TSH.

Ukiwa na Bitcoin 3 (worthy 69000$) ukawa Toyota unataka Gari wanakunyima tuu.. The value exist in the head of the owner na community yake.. 🙂 huku mtaani hata maembe mawili hupati.
 
It's all fun and games now but inakaribia kupata poromoko moja la hatari sana siku za karibuni...only then will it make sense kuinunua
 
Hapa Sarafu tunazotumia zina thamani.. na thamani yake ni "Guarantee ya Full Support from the Government"

Ukiuza kitu sh. Elfu kumi nikaja nikakulipa utapokea na kunipa unachokiuza... Ukija unataka US $ nitaenda benki ya serikali wanipe US $ worth 10k TSH.

Ukiwa na Bitcoin 3 (worthy 69000$) ukawa Toyota unataka Gari wanakunyima tuu.. The value exist in the head of the owner na community yake.. 🙂 huku mtaani hata maembe mawili hupati.
Yeah the problem ni how to break down Bitcoin. Kwakua hakuna anaeicontrol itaendelea kua na thamani katika ile cult yake.
 
Back
Top Bottom