Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Nitazidi kuongea hata kama mkiniita tapeli

Yeah the problem ni how to break down Bitcoin. Kwakua hakuna anaeicontrol itaendelea kua na thamani katika ile cult yake.
😀
Watu wa-mine information za ufugaji wa kuku wa kisasa.. na Kilimo cha matikiti... Huku watapata Fedha ya madafu hakika.. Hii Cult itasapeleka kubwa masikini wa kutupwa... Maana wajanja wa kukaa kwenye realm ya kupiga kwa sisi watz hakuna...

Wale wengine wanauzishwa alovera gel 🙂 kwa inflated prices na Mi-alovera imejaa nje wameshindwa kukamua juice wanangojea itoke Ulaya ... Watumwa kutafuta Watu watatu watatu 🙂

Nawaheshimu sana wazee wa Sarafu ya Rupia.. local Con-men nawakubali sana... Ila hawa Qnet sijui Bitcoin siwakubali katu.. Kwanza ni matapeli ambao hawataki kukubali kuwa ni matapeli.. kisa anayetapeli yuko ulaya.. mmmh!

Na hiyo ya kuwa ulaya ndio mbaya zaidi.. bora hata watapeli hela ibakie hapa nyumbani.. wanatapeli halafu pesa inaenda ughaibuni .. 🙂
 
😀
Watu wa-mine information za ufugaji wa kuku wa kisasa.. na Kilimo cha matikiti... Huku watapata Fedha ya madafu hakika.. Hii Cult itasapeleka kubwa masikini wa kutupwa... Maana wajanja wa kukaa kwenye realm ya kupiga kwa sisi watz hakuna...

Wale wengine wanauzishwa alovera gel 🙂 kwa inflated prices na Mi-alovera imejaa nje wameshindwa kukamua juice wanangojea itoke Ulaya ... Watumwa kutafuta Watu watatu watatu 🙂

Nawaheshimu sana wazee wa Sarafu ya Rupia.. local Con-men nawakubali sana... Ila hawa Qnet sijui Bitcoin siwakubali katu.. Kwanza ni matapeli ambao hawataki kukubali kuwa ni matapeli.. kisa anayetapeli yuko ulaya.. mmmh!

Na hiyo ya kuwa ulaya ndio mbaya zaidi.. bora hata watapeli hela ibakie hapa nyumbani.. wanatapeli halafu pesa inaenda ughaibuni .. 🙂
Utapeli utaingia pale mtu anapokuambia leta hela yako halafu utakua unapewa kiasi cha hela baada ya muda. Bitcoin na Forex sina tatizo nazo nina tatizo na watu wanatoa hela kwa mtu awafanyie kazi wao wakiwa wamelala then wapate faida. Sababu zipo platforms ambazo unaweza kuingia mwenyewe na kujifunza na kufanya hizo investments zako. Kitonga haijawahi kumuacha salama.
 
Utapeli utaingia pale mtu anapokuambia leta hela yako halafu utakua unapewa kiasi cha hela baada ya muda. Bitcoin na Forex sina tatizo nazo nina tatizo na watu wanatoa hela kwa mtu awafanyie kazi wao wakiwa wamelala then wapate faida. Sababu zipo platforms ambazo unaweza kuingia mwenyewe na kujifunza na kufanya hizo investments zako. Kitonga haijawahi kumuacha salama.
Kununua Shares (Stock market) ni sawa kabisa... Kubet kwenye Upandaji wa thamani wa Fedha ni kamari tu kama Sports betting...

Na online forex haisave any purpose zaidi ya kuwa kamari...true forex traders wanasaidia Watu kwa kufacilitate upatikanaji wa fedha za kigeni kwenye masoko ya bidhaa...

Hawa wa mtandaoni ni speculators and they are saving no one..except their ego to make money by making their product scarce..ukitaka kujua unachokifanya ni muhimu acha kukifanya uone kinaathiri wangapi...

Online traders ni wanakamari na Forex ni kamari.. sifa kubwa ya kamari "The house will always win"... can you name 20 people hapa Tanzania waliofanikiwa in 200k $ level kupitia forex trading! Au jaribu kuuliza wangapi wameunguza Accounts ..wametoka Kapa.. ukitoa winning za dola 5000max!

Kwa Bitcoin 🙂 nadhani tumekubaliana... Ages ago kulikuwa na [emoji255] wadutch wakapiga pesa zao ... Kwa kifupi hakuna kitu kipya.. maua ya tulip yaliuzwa ghali sana... Despite the fact ni maua tu...

Nadhani Forex ni Kamari kama kamari zingine na Bitcoin ni Utapeli uliopakwa rangi tu.
 
Kununua Shares (Stock market) ni sawa kabisa... Kubet kwenye Upandaji wa thamani wa Fedha ni kamari tu kama Sports betting...

Na online forex haisave any purpose zaidi ya kuwa kamari...true forex traders wanasaidia Watu kwa kufacilitate upatikanaji wa fedha za kigeni kwenye masoko ya bidhaa...

Hawa wa mtandaoni ni speculators and they are saving no one..except their ego to make money by making their product scarce..ukitaka kujua unachokifanya ni muhimu acha kukifanya uone kinaathiri wangapi...

Online traders ni wanakamari na Forex ni kamari.. sifa kubwa ya kamari "The house will always win"... can you name 20 people hapa Tanzania waliofanikiwa in 200k $ level kupitia forex trading! Au jaribu kuuliza wangapi wameunguza Accounts ..wametoka Kapa.. ukitoa winning za dola 5000max!

Kwa Bitcoin 🙂 nadhani tumekubaliana... Ages ago kulikuwa na [emoji255] wadutch wakapiga pesa zao ... Kwa kifupi hakuna kitu kipya.. maua ya tulip yaliuzwa ghali sana... Despite the fact ni maua tu...

Nadhani Forex ni Kamari kama kamari zingine na Bitcoin ni Utapeli uliopakwa rangi tu.
Let's wait and see the cult is getting fat
 
Kuna Cryptocurrency ambayo ipo katika development phase bado haina thamani na ipo for free hopefully after a year inaweza kua na thamani. Kwa sasa unachotakiwa kufanya ni kumine by login in katika platform yao once after every 24 hours. Although it's boring kumine kitu ambacho hakina thamani kwa muda mrefu but uzuri ni kua you have nothing to lose, mpaka hapo itakavyo ingia market ndio utajua thamani yake
Possibility ni kubwa ya all mine asset going to zero value at mainet time.
 
Kununua Shares (Stock market) ni sawa kabisa... Kubet kwenye Upandaji wa thamani wa Fedha ni kamari tu kama Sports betting...

Na online forex haisave any purpose zaidi ya kuwa kamari...true forex traders wanasaidia Watu kwa kufacilitate upatikanaji wa fedha za kigeni kwenye masoko ya bidhaa...

Hawa wa mtandaoni ni speculators and they are saving no one..except their ego to make money by making their product scarce..ukitaka kujua unachokifanya ni muhimu acha kukifanya uone kinaathiri wangapi...

Online traders ni wanakamari na Forex ni kamari.. sifa kubwa ya kamari "The house will always win"... can you name 20 people hapa Tanzania waliofanikiwa in 200k $ level kupitia forex trading! Au jaribu kuuliza wangapi wameunguza Accounts ..wametoka Kapa.. ukitoa winning za dola 5000max!

Kwa Bitcoin 🙂 nadhani tumekubaliana... Ages ago kulikuwa na [emoji255] wadutch wakapiga pesa zao ... Kwa kifupi hakuna kitu kipya.. maua ya tulip yaliuzwa ghali sana... Despite the fact ni maua tu...

Nadhani Forex ni Kamari kama kamari zingine na Bitcoin ni Utapeli uliopakwa rangi tu.
Ndio Forex ni Kamari mkuu, what else??
 
Hivi hizi habari za Forex badogo tu zina-trend huku JF?

Wabongo waambie kuhusu kulima matikiti pamoja na kuchoma mkaa.

Hizi fursa zilizopo kwenye digital world ukiwaambia akili zao zinawatuma kuibiwa tu.

Mbongo anaamini hili apate hela ni lazima avuje jasho na aumie kidogo.

Mbongo anaamini fursa pekee iliyopo kwenye internet ya kutengeneza hela ni kubet Kati ya Manchester United na Southampton.

Matumizi makubwa ya internet kwa mbongo ni kuangalia umbeya Instagram na matukio ya ajabu ajabu huko YouTube.

Ukimwambia mbongo hiyo simu yake ya kiganjani na laptop yake vinaweza kumfanya akawa millionaire, atakuona wewe ni mwendowazimu.

Hii Forex tuliipigia campaign Sana miaka ile kabla Sirjeff hajakimbia Hili jukwaa na tulikuja na solid evidences kwa kila kilichokuwa kinaulizwa na wale critics.

Leo nafungua huu uzi naona mambo bado ni yale yale tu, hofu na maswali ya kejeri.

Ukishawaelewa wabongo fursa Kama hii sio ya kuwashirikisha kihadhara, shirikisha watu wako wa karibu tu ambao wako open-ended, hawa wengine acha waendelee kulima.

Sent from my M100 using JamiiForums mobile app
niko foward on learning can you be my mentor
 
USD Coin ? Ndio ipoje hii tuanze kuifuatilia
Sijakaa nakubaliana na wewe, but concern yangu, kwa maisha yetu wa Tz tulio wengi, its hard ku afford kununua 1 bit coin for 23k, instead we can focus on buying m
New Usd coin, ambayo itaanza at very reasonable price na kuna possibility kubwa ya ku mature na ku gain wealthy
 
Juzi kuna mdau alileta thread ya Pi Coin kwa sasa ni bure kabisa. Ina zero value at the market ipo katika phase ya pili ya development. Unachotakiwa ni kuanza kumine mpaka itakapo ingia phase ya tatu ndio watasimamisha mining na kua na value. Ila watu watapotezea 5-10 years later tutaishia kusema ni utapeli tu kumbe wenzako waliinunua wakati ikiwa haina thamani.
Naomba link mzee
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Naomba niweke senti mbili zangu. Biashara hapo ni nini haswa? Thamani ya bit coin ni ipi haswa?
Maana biashara isipokuwepo basi ni kamari kama ile ya simbi ila tu yenyewe ni advanced technology
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Mwenye hela Hana muda wa kukesha kwenye Jamiiforums .Acha wizi hakuna hela rahisi Hivyo Vijana fanyeni kazi. Nilikuona pale Jangid Plaza ukiwaibia Watu mpaka Leo bado hujaacha pamoja na kuiba bado hujatajirika .fedha Zina mkondo wake usipoufuata hata upate bln 1 itaisha tu.Nawatangazia Tena huyo Ni Mwizi msithubutu kuchezea pesa zenu
 
Humu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.

Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.

Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.

Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.

View attachment 1652679

Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?

Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..

Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.

Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.

Hivo yani.
Hii ni biashara ambayo hua inachagua wachache watakao pata kwa kiasi ili awe mashuhuda kwa wengine kujiunga na wao waendelee kupiga pesa

Sasa ukiona watu wanasema huo ni utapeli unakuta wako waiojaribu bila kuvuna chochote na wanakuja kusikia tu maneno ya wachache kama wewe hapa.

Usiwalazimishe watu kufanya kilicho goma kwenye akili zao
 
Qnet juzi watu wanalia nyie bado mnaongea na nantombeka awajaze mabilioni ya upatu 🤣🤣🤣
 
Wewe warren Buffet umemsoma au unamsikia

Kasome vizuri Stocks and Shares

Yule ni Trader aliyekuwa amewekeza na kuzichezesha vizuri portifolio zake

Alikuwa mjanja anauza share zake akiona mbeleni kampuni itayumba na alinunua pale alipoona mbeleni kuna neema

Wewe unaongelea Virtual money (Bitcoin) au online forex trading ndio hapo watu mnatofautiana concept

Mchungaji Bushiri yeye alijifanya anapata mapesa kwenye Dini na Forex kama wewe kumbe anaongoza genge la uharifu na anatakatisha pesa kwa mujibu wa mamlaka za south Afrika

Sent from my vivo 1805 using JamiiForums mobile app
Mchungaji yupo kwenye forex hiyo siyo kamari?.
 
Kununua Shares (Stock market) ni sawa kabisa... Kubet kwenye Upandaji wa thamani wa Fedha ni kamari tu kama Sports betting...

Na online forex haisave any purpose zaidi ya kuwa kamari...true forex traders wanasaidia Watu kwa kufacilitate upatikanaji wa fedha za kigeni kwenye masoko ya bidhaa...

Hawa wa mtandaoni ni speculators and they are saving no one..except their ego to make money by making their product scarce..ukitaka kujua unachokifanya ni muhimu acha kukifanya uone kinaathiri wangapi...

Online traders ni wanakamari na Forex ni kamari.. sifa kubwa ya kamari "The house will always win"... can you name 20 people hapa Tanzania waliofanikiwa in 200k $ level kupitia forex trading! Au jaribu kuuliza wangapi wameunguza Accounts ..wametoka Kapa.. ukitoa winning za dola 5000max!

Kwa Bitcoin 🙂 nadhani tumekubaliana... Ages ago kulikuwa na [emoji255] wadutch wakapiga pesa zao ... Kwa kifupi hakuna kitu kipya.. maua ya tulip yaliuzwa ghali sana... Despite the fact ni maua tu...

Nadhani Forex ni Kamari kama kamari zingine na Bitcoin ni Utapeli uliopakwa rangi tu.
According bro you brain

Congratulations [emoji14]
 
Back
Top Bottom