Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Labda ungewaambia hisa Ni stock kwa kiingereza ndio watakuelewaFanyia kazi mkuu.. financial markets inaweza kukupa pesa .. juzi tu january hisa za CRDB zilikuwa zinauzwa sh 90 leo hii zipo kwenye 190 hapo ni faida mara mbili ya ulichowekeza, kuna utapeli hapo?
Inategemea tu mtizamo wa mtu unavochukulia taarifa fulani
Maana watu huwa hawajui kutofautisha Mambo [emoji1]
Sasa huku dunia Kuna stock markets zenye ujazo wa pesa sio hizo za DSE bwana stone akiingilia tu dakika tu mko zero [emoji1787][emoji1787]