Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,395
- 2,391
Pole sana mkuu,mimi siyo trader wala sina bitcoin lakin ulichofanya unefananisha ugali na chopsPyramid Business.. Hakuna cha zaidi..
Wachache wa kwanza ndio watafaidika, watakaofata ndio cha moto watakiona..
It's the likes of Mr Kuku, Deci, Qnet..
Warren Buffet, George Soros na akina Ray Dalio wanazalisha bidhaa gani?Panda mbegu ndugu, huko mbeleni majibu utakuja kuyapata..
Theory ya utajiri ni moja tu "If you want to be rich, u have to produce goods or services"
Hayo yenu mengine fanyeni, ndio yaleyale tu kama yule Mngoni aliyekuwa anawadanganya ananunua mahindi gunia elfu 70 anauza elfu 40..
Always, losers like shortcuts...
They are billionaires, unafikiri wanacheza na speculations tu bila kuichungulia system..
..
Wizi mtupuHumu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Haya mambo yamekuzidi uwezo wa akili. Level yako ni kuimba pale lumumba.Biashara haramu tujiepushe nazo kaka zangu
WB anawekeza kwenye Kampuni zinazozalisha au kutoa huduma.Warren Buffet, George Soros na akina Ray Dalio wanazalisha bidhaa gani?
Au wao sio rich?
Naona ulikua unacheza kamariUpuuzi mtupu stakagi hata kukumbuka pesa yangu niliyo ipoteza kwenye huo upumbavu maana roho inaniuma sana ni pesa ya kununua kiwanja kabisa
Wewe warren Buffet umemsoma au unamsikiaMimi sio muumini wa hiyo theory ... Huo ni mtizamo wako Chief, kuna wengi sana akina Warren Buffet, Carl Icahn, George Soros.. et al wametengeneza Billions bila ku produce goods au service..
Walikuwa wanacheza kwenye speculations tu kama hivi
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Umeshasema hisa yaani You give them money and they give you paper equivalent to what you have contributedFanyia kazi mkuu.. financial markets inaweza kukupa pesa .. juzi tu january hisa za CRDB zilikuwa zinauzwa sh 90 leo hii zipo kwenye 190 hapo ni faida mara mbili ya ulichowekeza, kuna utapeli hapo?
Inategemea tu mtizamo wa mtu unavochukulia taarifa fulani
Wewe ni tapeli kama matapeli wengineKuna mengi huyafahamu.. Kwani kazi za financial markets ni nini?
Inawezekana hujui connection ya financial markets na hizo unazozisema real business.. tuanzie hapo.. nataka nikupe elimu
Hata hujaelewa!!WB anawekeza kwenye Kampuni zinazozalisha au kutoa huduma.
Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.Wapi nimelazimisha jamani?? Someni uzi muelewe.. kuna mahali nimesema ni lazima???
Waliisema akina nanii kipindi yule dogo Tapeli kaja na story zake za kusadikika kuhusu utajiri wa mashamba...akiwa anawaandaa na kile kiinimacho cha kuitwa "FOREX" wapambe kibao wakaja oh hii ndio biashara kubwa wallstreetPrimitive thinking
Mbona mnatufosi tuwe matajiri jamani wakati sie tumesharidhika na mkono kwenda kinywani tu.Mkuu umasikini umeathiri vijana wengi sana sana kisaikolojia yani muda wote anawaza anatapeliwa yuko radhi aamke asubuhi na kuzurura tu jioni anarudi kulala, kuna msemo fulan hivi wanasema mwafrika akiamka asubuhi anaanza kujikuna sehem za siri, ila mzungu akiamka anaanza kujikuna kichwa
Ndio mnavyodanganywa hivyoWarren Buffet, George Soros na akina Ray Dalio wanazalisha bidhaa gani?
Au wao sio rich?
Huzijui hata biashara za Warren Buffet?? Mbona unaonyesha ujinga wako waziwaziKwahiyo umekubali kwamba ni matajiri na hawazalishi bidhaa?
Hii ukiitazama ni kama dini.. yaani ukiitaka lazima uamini tuu.. hauhitaji kuthibitisha we amini tuuu.. na wanaquote vitaarifa nusu nusu na havitakiwi kuwa na logic kwa upana wake a long as vinaendelea kuimarisha imani yao.Huzijui hata biashara za Warren Buffet?? Mbona unaonyesha ujinga wako waziwazi
Mi nimekuelewa bossHumu ndani ukizungumza habari za Forex na Bitcoin, unaitwa tapeli. Iteni mpendavo lakini lazima niwachangamshe akili kidogo.
Bitcoin moja leo imefika USD 23,000 ( Kama Tzs 53 Million.
Na tarehe 16 March mwaka huu 2020, bei ya bitcoin moja ilikuwa inauzwa kwa Tzs 11 Million, maana yake ni kwamba kama uliwekeza milioni 11 mwezi march, sahiv ungekuwa na faida kama Tzs 42 Million.
Yaani ungeweza kabisa ku postpone kununua IST na ukarisk kwenye bitcoin, ungekuta sahiv unaongelea kununua Ford Ranger!!.
View attachment 1652679
Anyway, lengo la uzi wangu sio kuwatia watu machungu, najua kuna matomaso hapa wataniuliza, wewe umetengeneza faida ya sh ngapi mpaka sasa..?
Lengo langu kwenye huu uzi ni kuwakumbusha kwamba, FINANCIAL MARKETS IS REAL..
Somewhere, someone is making good monies out of it, so sio vizuri kutukana hustlers wa kwenye bitcoin na forex.
Kama kitu hutaki, potezea kimya kimya.. ila usiwavunje watu moyo.
Hivo yani.
Kuna wale twins bilionaires wa BitcoinMimi sio muumini wa hiyo theory ... Huo ni mtizamo wako Chief, kuna wengi sana akina Warren Buffet, Carl Icahn, George Soros.. et al wametengeneza Billions bila ku produce goods au service..
Walikuwa wanacheza kwenye speculations tu kama hivi