okiwira
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,856
- 3,003
Moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.
Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa umerudi upo kwao hautaki kurudi tena kwa mumewe. Kabla haujaolewa tuliahidiana kuja kuzaa watoto wawili na ikiwezekana ulikubali uwe mke wa pili.
Sasa unadai kwa mume hauendi kamwee na anataka nizae mtoto hata kama sitaki kumuoa kwa sasa. Tangu amerudi sitaki kabisa kukutana naye faragha, SABABU KUU ni kuwa hawajaachana na mume wake hivyo bado ni mke wa mtu.
Mke wa mtu na mimi ni NYEUSI NA NYEUPE.
Mliyowahi kukutwa na masaibu ya mahusiano ya aina hii mlijivuaje?
Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.
Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa umerudi upo kwao hautaki kurudi tena kwa mumewe. Kabla haujaolewa tuliahidiana kuja kuzaa watoto wawili na ikiwezekana ulikubali uwe mke wa pili.
Sasa unadai kwa mume hauendi kamwee na anataka nizae mtoto hata kama sitaki kumuoa kwa sasa. Tangu amerudi sitaki kabisa kukutana naye faragha, SABABU KUU ni kuwa hawajaachana na mume wake hivyo bado ni mke wa mtu.
Mke wa mtu na mimi ni NYEUSI NA NYEUPE.
Mliyowahi kukutwa na masaibu ya mahusiano ya aina hii mlijivuaje?