Niukatae vipi mchepuko wa zamani?

Niukatae vipi mchepuko wa zamani?

[emoji38][emoji38][emoji38]nimebakiza miaka michache kufika 40years[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji38]
Hongera achana na mawasiliano ma ex wako, kwanini uasiliane naye mnaongea mpaka habari za kudinyana muda huo unaupata wapi, nakizidi mwambie nipe namba ya mmeo.
 
Hongera achana na mawasiliano ma ex wako, kwanini uasiliane naye mnaongea mpaka habari za kudinyana muda huo unaupata wapi, nakizidi mwambie nipe namba ya mmeo.
Watu wa MBEYA ninyi khaaa😆😆
 
Moja kwa moja kwenye lengo la uzi.

Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.

Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa umerudi upo kwao hautaki kurudi tena kwa mumewe. Kabla haujaolewa tuliahidiana kuja kuzaa watoto wawili na ikiwezekana ulikubali uwe mke wa pili.

Sasa unadai kwa mume hauendi kamwee na anataka nizae mtoto hata kama sitaki kumuoa kwa sasa. Tangu amerudi sitaki kabisa kukutana naye faragha, SABABU KUU ni kuwa hawajaachana na mume wake hivyo bado ni mke wa mtu.

Mke wa mtu na mimi ni NYEUSI NA NYEUPE.

Mliyowahi kukutwa na masaibu ya mahusiano ya aina hii mlijivuaje?
Mpelekee moto ila usimtie mimba
 
Hilo nalo ni swali mkuu? Kwa ushauri wangu katika maisha yako epuka kuwa na watoto wa nje ya ndoa utaishi kwa amani sana.
EPUKA WATOTO WA NJE??!

Watoto wa nje tuna shida gani?
Tunafanya ndoa nyingi hazina furaha?

Vipi huyu jama ambaye mkewe kamzalia mtoto mmoja tu na wanazeeka na huyu ana watoto wa nje wa3 nae anajumuika?

Au furaha ya ndoa ni nini?


NOTE:HATUTAFUTI UHALALI WA UZINZI
 
Moja kwa moja kwenye lengo la uzi.

Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.

Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa umerudi upo kwao hautaki kurudi tena kwa mumewe. Kabla haujaolewa tuliahidiana kuja kuzaa watoto wawili na ikiwezekana ulikubali uwe mke wa pili.

Sasa unadai kwa mume hauendi kamwee na anataka nizae mtoto hata kama sitaki kumuoa kwa sasa. Tangu amerudi sitaki kabisa kukutana naye faragha, SABABU KUU ni kuwa hawajaachana na mume wake hivyo bado ni mke wa mtu.

Mke wa mtu na mimi ni NYEUSI NA NYEUPE.

Mliyowahi kukutwa na masaibu ya mahusiano ya aina hii mlijivuaje?
Kama hawajaachana kaa naye mbali usijeukabokolewa mwanangu
 
@Mwl.RCT naomba neno
Kwa sasa usichukue maamuzi yeyote juu ya huyo ex.

Jipe muda zaidi wa kumsoma na kutafakari.

Utagundua mambo mengi yaliyojificha kadri muda unavyokwenda , na pia utakuja jua sababu ya yeye kukimbia ndoa yake.
 
Yake imeharibika kinachofata yako iko matatani. Nikuulize tu je mkeo ana shida yoyote labda?? Ile kubwa kabisa ambayo inakufanya utafute utamu wa nje?

Lakini pia je...huyu mchepuko unampenda?? As in mlishaachana akamove on and now ana uwezo wa kuhangaisha ubongo wako mpaka kuja kuandika humu?? Kuna strong points anazo si ndio?

Lastly je..dini sijui imani yako, inaruhusu kuwa na wake wawili? Maana uliconsider hyo option it seems imani yako inaruhusu..
 
Kwa sasa usichukue maamuzi yeyote juu ya huyo ex.

Jipe muda zaidi wa kumsoma na kutafakari.

Utagundua mambo mengi yaliyojificha kadri muda unavyokwenda , na pia utakuja jua sababu ya yeye kukimbia ndoa yake.
Asante sana mkuu sitaacha ushauri huu🙏
 
Yake imeharibika kinachofata yako iko matatani. Nikuulize tu je mkeo ana shida yoyote labda?? Ile kubwa kabisa ambayo inakufanya utafute utamu wa nje?

Lakini pia je...huyu mchepuko unampenda?? As in mlishaachana akamove on and now ana uwezo wa kuhangaisha ubongo wako mpaka kuja kuandika humu?? Kuna strong points anazo si ndio?

Lastly je..dini sijui imani yako, inaruhusu kuwa na wake wawili? Maana uliconsider hyo option it seems imani yako inaruhusu..

Demi huu ushauri wako ni kazi bure okiwira akiwaza alivokua anapewa viuno vya nyani mwili wote unapata ganzi, kummaaa inamtoa mate hawezi huyu we muache tu
Ila Evelyn Salt 😆😆😆😆🤣 mizaha kama hii tumewahi poteza watu uhai.

Unataka kesho nije nitoe ushuhuda wa MASIKITIKO NDIPO UJUE kumbe lilikuwa jambo siriasi?

😆😆aya bana
🚶🚶
 
Back
Top Bottom