😆😆kumuacha kwa namna ipi?Hua nashangaa sana hivi mwanaume unashindwaje kumuacha mwanamke?, Unamuonea huruma au unaogapa atakuharibia ndoa? Hebu kua mwanaume mkuu.
Pili inaonesha wewe ni hatari sana kwenye haya mambo na ulianza ukiwa bado hujakomaa kiakili, 25 years upo kwenye ndoa miaka 7, na mchepuko ulikua nae kwenye mahusiano kwa miaka 3 na ukapotezana nae mwaka mzima baada ya kuolewa, aseeh hebu kua kwanza maana bado una mengi ya kujifunza.
Man up
🤣🤣🤣😆unanifanya nikumbuke enzi za Miss Chagga.Mwambie "namfungulia biashara mke wangu ila hapa nimepungukiwa milioni 1 naomba"
Basi fanya laki 8 ili aone upo serious, sema nini nawe wataka tu kusuuza rungu unazuga zuga....hivi kimtu kama haukitaki utawaza kukiachaje??🤣🤣🤣😆unanifanya nikumbuke enzi za Miss Chagga.
Kifupi yeye mtoto wa mkulima na fundi selemala M huwa anaisikia hapo itakuwa nanogesha Penzi tu na sipo siriasi.
Alafu mimi na yeye sote ni KUKU WA KIENYEJI.
😆😆😆jamani kusuuza Rungu ningekuja kuomba ushauri?Basi fanya laki 8 ili aone upo serious, sema nini nawe wataka tu kusuuza rungu unazuga zuga....hivi kimtu kama haukitaki utawaza kukiachaje??
Inaonekana unatamani sema tu kuna kinafsi kinashtuka kwakuwa mke wa mtu ila kumtaka unamtaka na nguvu za kumkataa haunaa😆😆😆jamani kusuuza Rungu ningekuja kuomba ushauri?
Kwamba saizi nikisema njoo atagoma?
🤣🤣🤣😆
Mbona kama ulioa ukiwa mtoto sana,na bado mtoto mdogoHaiwezekaniki?
Kuwa na msimamo mwambie hutaki. Au mblock kabisa ingawa najua huna ubavu huo.Asante sana Demi njia rahisi namuoondoaje.
Kumwambia akae mbali namimi kwake ni kama nyimbo nzuri masikio mwake.
Moja kwa moja kwenye lengo la uzi.
Nipo ndoani miaka 7, miaka 3 nyuma nilikuwa na mchepuko ambao nilidumu nao miaka 3 baadaye mchepuko ukaja ukaolewa.
Tukapotezana hewani mwaka mzima sasa umerudi upo kwao hautaki kurudi tena kwa mumewe. Kabla haujaolewa tuliahidiana kuja kuzaa watoto wawili na ikiwezekana ulikubali uwe mke wa pili.
Sasa unadai kwa mume hauendi kamwee na anataka nizae mtoto hata kama sitaki kumuoa kwa sasa. Tangu amerudi sitaki kabisa kukutana naye faragha, SABABU KUU ni kuwa hawajaachana na mume wake hivyo bado ni mke wa mtu.
Mke wa mtu na mimi ni NYEUSI NA NYEUPE.
Mliyowahi kukutwa na masaibu ya mahusiano ya aina hii mlijivuaje?
hahaha dah umenishangaza kwa kweli leoAchana nae utakuja kujuta. Focus na familia yako moja.
Kwamba sinaga busara au?🤣🤣hahaha dah umenishangaza kwa kweli leo
ah naonaga wewe n mtu wakusema kuwa wanawake wapete marah na wanaume pia wapate marahaKwamba sinaga busara au?🤣🤣
Pia najali familia.ah naonaga wewe n mtu wakusema kuwa wanawake wapete marah na wanaume pia wapate maraha
Demi nakufahamu jf tangu 2014 hakika umeongea kama Demi yule yule mtu mzima.Kuwa na msimamo mwambie hutaki. Au mblock kabisa ingawa najua huna ubavu huo.
Wanaume mnafanyaga makosa baadae mnakuja kujuta.
Kama unataka kumla kamle ila mawazo ya kuzaa nae au kumuoa mke wa pili Acha kabisa.
Mwambie ukweli kuwa huwezi ukatembea na mke wa mtu, simamia hiloDemi nakufahamu jf tangu 2014 hakika umeongea kama Demi yule yule mtu mzima.
Ipo hivi mzee mwenzangu kama angesingeolewa kiukweli angekuwa mke wapili.
Kwa kuwa ameolewa kiukweli sina mpango wa kusuuza Rungu kama Evelyn Salt alivyotamka.
Ninachotaka ni namna gani ntamuondoa kifikla kwangu pasipo kuacha tone la hitilafu katika ndoa yangu.
Maana sio mchepuko ambao utautoa meno alafu usirudi kwako andika no.
Kwahiyo ulioa ukiwa 17/18? Mmmmm25years
Hata mie imenishangaza sana!25 - 7 = 18
Mwamba ulioa ulipotimiza miaka 18 kamili..!!!
😆😆😆anakuambia mimi sio mke mtu.Mwambie ukweli kuwa huwezi ukatembea na mke wa mtu, simamia hilo