Demi achana na Evelyn Salt ana utani mwingi ntakuja kumletea ushuhuda hili likipita🙏Eti anadai hataki kula muke ya mtu😀
Usipoleta ushuhuda tunajua tayari ushakulaDemi achana na Evelyn Salt ana utani mwingi ntakuja kumletea ushuhuda hili likipita🙏
Tunauliza hiviii....ulioa ukiwa na miaka 18?25years
Subiri ukue kue kwanza25years
Mtu mzima yupi wa kushauri wakati mahali pa kusema hapana au ndio eti unafungulia uzi?.Huu nao ni ushauri wa mtu mzima?
🤔😲
Duh..25years
Mwambie umepima ukakutwa na moto !Asante sana @Demi njia rahisi namuoondoaje
Alioa kwa mujibu wa sheria; na akifuatoliwa zaidi atakuwa na kesi ya kubaka: kufanya mapenzi na under 1825 - 7 = 18
Mwamba ulioa ulipotimiza miaka 18 kamili..!!!