Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Niulize chochote juu ya tiba za Mitishamba

Mi nimejikuta nipo hivi. Sasa hapo nitajuaje kama ni mipango ya Mungu au chango? Punyeto siyo mambo yangu
Wakati wa balehe ulipata mabadiliko ya maumbile ya uume wako?? Maana kwa kawaida unapobalehe ndipo tunategemea kuona extension ya uume wako.Kama ulipata manadiliko hayo maana yake uko sawa,ila kuna case nyingine.

Unapokuwa na chango,kuna dalili ambazo unaweza kuwa unazipata! Mfano unaweza kuhisi maumivu sehemu ya kiuno cha haja kubwa kama vile kuna kitu kinakuchoma,au kama unabanwa haja lakini yenye hisia za maumivu,maumivu hayo hutokea kwa dakika chache na baadaye hupotea hali hiyo inaweza kuwa inajitokeza kwa range ya muda mfupu au ndefu kutegemeana na mazingira na hali ya hewa.Maumivu ya korodani na wakati mwingie sehemu za kiuno kwenye location ya figo.Tumbo kuunguruma sehemu za chini n.k.Hali hii hudumaza uume na kuufanya kurudi ndani kadri ya siku na tatizo linavyokua bila tiba.Na hili limekuwa tatizo kubwa kwa watu wengi ambao wanalalamika nguvu za kiume pia.Ukiwa na changamoto hii hata kama uume utakuwa na ukubwa sawa,lazima nguvu za kiume itakuwa tatizo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Punyeto imekuwa ikisingiziwa sana, hata hivyo….. mnashindana maumbile ili iweje.!
Punyeto ni tatizo kubwa kwa maendeleo ya tendo la ndoa.Sema madhara yake huwezi kuyaona kwa wakati huo,ila kuna siku utaanza kuhangaika tu! Maana inaua system za hisia kabisa.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Wakati wa balehe ulipata mabadiliko ya maumbile ya uume wako?? Maana kwa kawaida unapobalehe ndipo tunategemea kuona extension ya uume wako.Kama ulipata manadiliko hayo maana yake uko sawa,ila kuna case nyingine.

Unapokuwa na chango,kuna dalili ambazo unaweza kuwa unazipata! Mfano unaweza kuhisi maumivu sehemu ya kiuno cha haja kubwa kama vile kuna kitu kinakuchoma,au kama unabanwa haja lakini yenye hisia za maumivu,maumivu hayo hutokea kwa dakika chache na baadaye hupotea hali hiyo inaweza kuwa inajitokeza kwa range ya muda mfupu au ndefu kutegemeana na mazingira na hali ya hewa.Maumivu ya korodani na wakati mwingie sehemu za kiuno kwenye location ya figo.Tumbo kuunguruma sehemu za chini n.k.Hali hii hudumaza uume na kuufanya kurudi ndani kadri ya siku na tatizo linavyokua bila tiba.Na hili limekuwa tatizo kubwa kwa watu wengi ambao wanalalamika nguvu za kiume pia.Ukiwa na changamoto hii hata kama uume utakuwa na ukubwa sawa,lazima nguvu za kiume itakuwa tatizo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Kwahiyo ndo nafanyeje hapo? Mi sina na sijawahi kua na hayo maumivu na sijawahi ona extension yoyote ya uume.
 
Wakati wa balehe ulipata mabadiliko ya maumbile ya uume wako?? Maana kwa kawaida unapobalehe ndipo tunategemea kuona extension ya uume wako.Kama ulipata manadiliko hayo maana yake uko sawa,ila kuna case nyingine.

Unapokuwa na chango,kuna dalili ambazo unaweza kuwa unazipata! Mfano unaweza kuhisi maumivu sehemu ya kiuno cha haja kubwa kama vile kuna kitu kinakuchoma,au kama unabanwa haja lakini yenye hisia za maumivu,maumivu hayo hutokea kwa dakika chache na baadaye hupotea hali hiyo inaweza kuwa inajitokeza kwa range ya muda mfupu au ndefu kutegemeana na mazingira na hali ya hewa.Maumivu ya korodani na wakati mwingie sehemu za kiuno kwenye location ya figo.Tumbo kuunguruma sehemu za chini n.k.Hali hii hudumaza uume na kuufanya kurudi ndani kadri ya siku na tatizo linavyokua bila tiba.Na hili limekuwa tatizo kubwa kwa watu wengi ambao wanalalamika nguvu za kiume pia.Ukiwa na changamoto hii hata kama uume utakuwa na ukubwa sawa,lazima nguvu za kiume itakuwa tatizo.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Hiyo chango inapimwaje
 
Lakini umesahau kuwaambia matumizi ya mitishamba yanaua sana figo pamoja na maini sishauri kabisa kwa krne hii kujikita katika mitishamba nimeyaona kwa macho na ninaushuhuda mkubwa ,wanaouza mitishamba wengi ni wapigaji

sent from HUAWEI
 
Lakini umesahau kuwaambia matumizi ya mitishamba yanaua sana figo pamoja na maini sishauri kabisa kwa krne hii kujikita katika mitishamba nimeyaona kwa macho na ninaushuhuda mkubwa ,wanaouza mitishamba wengi ni wapigaji

sent from HUAWEI
Jiulize maswali haya;
1. Ni wakati upi mitishamba ilitumika zaidi kati ya zamani ns sasa??

2.Ni wakati gani upi magonjwa ya figo na ini kati ya zamani na sasa yamekuwa mengi??

Baada ya kupata majibu vizuri,unaweza kuelewa kuea suala la ini na figo yana vyanzo vingi kuliko hilo moja unaloweza kuzungumzia.Wapo watu wanaugua ini hawajawahi hana kunusa mitishamba.Mitishamba kama zilivyo dawa nyingine lazima izingatie matumizi sahihi,kwa maana ya uwiano na urefu wa matumizi ya dozi katika kujitibu.Ni kama ilivyo kwa antibiotics na dawa nyungine.
 
Lakini umesahau kuwaambia matumizi ya mitishamba yanaua sana figo pamoja na maini sishauri kabisa kwa krne hii kujikita katika mitishamba nimeyaona kwa macho na ninaushuhuda mkubwa ,wanaouza mitishamba wengi ni wapigaji

sent from HUAWEI
Mimi pia nina ushuhuda wa macho na nimeona watu wanapona magonjwa yaliyoshindikana kama moyo,presha,kisukari figo,n.k kwa kutumia hii hii mitishamba.Kwa hiyo it depends.
 
PID (Pelvic Inflammatory Desease) Yaani maambukizi katika via vya uzazi vya mwanamke/ mji wa mimba.

PID huhusisha maambukizi katika mji wa mimba. Bacteria aina ya Candida hushambulia via vya uzazi vya mwanamke na kusababisha Fangasi ambayo hupelekea maambukizi zaidi katika mji wa mimba yaani PID. Hata kabla haujafika kwa daktari unaweza kujitambua mwenyewe kama umeathirika na ugonjwa huu wa PID.

1. Kama uliambiwa kuwa una UTI na umeitibu kwa dozi sahihi, mara kadhaa na kwa muda mrefu bila mafanikio, ujue kuwa umeathirika na ugonjwa huu wa PID.

2. Kama umetumia dawa za kupachika ukeni kwa lengo la kutibu Fangasi au UTI kwa muda mrefu na unapona, lakini tatizo linarudia tena kila mara, ujue kuwa umeathirika na ugonjwa huu wa PID.

3. Kama huna matatizo ya magonjwa ya zinaa, lakini unatokwa uchafu mweupe, njano, kijani ama majimaji yanayotoa harufu kali sehemu za siri, ujue kuwa una shida ya PID.

PID haiponi kwa urahisi kama wengi wanavyodhani, ni ugonjwa unaoweza kusababisha saratani ya mlango wa kizazi hasa inapofikia hatua ya kutokwa na uchafu wa kijani, maana maambukizi yanakuwa yamefikia kiwango cha juu zaidi(Severely abnormal).

PID inaweza kusababisha kutoshika ujauzito, kuziba kwa mirija ya uzazi, maumivu makali wakati wa tendo yanayoambatana na kutokwa damu na miwasho sehemu za ukeni.

Bakteria wanaosababisha PID huweza kumwingia pia mwanaume kupitia njia ya kujamiana na kumsababishia dhahama kubwa. Mwanaume anaweza kutokwa na uchafu kwenye mrija wa uume na wakati mwingine maumivu makali ndani ya mrija.Mara nyingi unapokwenda kuchukua vipimo majibu huwa ni UTI, lakini kila unapotumia dozi unaweza kuhisi nafuu na baadaye tatizo huendelea.

Ili kujitibu tatizo hili kwa urahisi na kuweza kupona kabisa, unashauriwa kujitibu wewe na mwenza wako kwa pamoja ili kuepusha maambukizi mapya ya Bakteria, wengi wanahangaika na shida hii kwa muda mrefu sana bila kugundua na wanazidi kumeza antibiotics kila mara bila mafanikio.

Unaweza pia kutumia mitishamba inayoweza kuua kabisa bakteria hawa na ukapona kabisa tatizo hili.

Chimba Mizizi ya tulatula kiasi, ongeza na mizizi ya papai la kiume na uichemshe vizuri, Ongeza kidogo unga wa mizizi ya mti wa nsuha baadaye chuja maji yake. Tumia glass moja ×3.

Unaweza kuhisi nafuu ndani ya masaa 24, lakini unakiwa kufanya hivi kwa wiki 2 au 4 mfululizo kutegemeana na ukomavu wa ugonjwa.

Mungu akubariki sana!
 
Watu wa tiba mbadala mna tatizo moja, utaelezea ugonjwa vizuri sana, utatoa ushauli vizuri tu na utataja dawa kwa umakini ikifuatia na kutaja mmoja ya mmea utakaokuwa unaufaham wewe mwenyewe, nini maana yake?.

Hutaki kuondoka patupu, yaani unataka lazima utafutwe ili upige mapato.
 
Watu wa tiba mbadala mna tatizo moja, utaelezea ugonjwa vizuri sana, utatoa ushauli vizuri tu na utataja dawa kwa umakini ikifuatiqa na kutaja mmoja ya mmea utakaokuwa unaufaham wewe mwenyewe, nini maana yake?.

Hutaki kuondoka patupu, yaani unataka lazima utafutwe ili upige mapato.
Si hivyo ndugu yangu,mimea hiyo inafahamika popote unaweza kujitengenezea,ula kama huwezi ndipo unaweza kupata msaada wa kuandaliwa ambao lazima utahusisha gharama.
 
Si hivyo ndugu yangu,mimea hiyo inafahamika popote unaweza kujitengenezea,ula kama huwezi ndipo unaweza kupata msaada wa kuandaliwa ambao lazima utahusisha gharama.
Sawa, mueleze mwanao aache vita, kuna watu huku afrika wanashindwa kurudi kwao.
 
Back
Top Bottom