Mkuu kuna wale wanateseka na bawasiri kwa muda mrefu sana, ni dawa gani ya kutumiaUnaweza kuchemsha majani yake au kwa wenye changamoto ya mimea katika mazingira waishiyo unaweza kuipata ikiwa imevunwa na kukaushwa kwa ustadi ambayo unaweza ukawa unaitumia kwa maji moto.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Tafuta mmea unaitwa mjafari,chimba mizizi yake(Nilishawahi kuuandika hapa) kwangua maganda ya mizizi yake vizuri na uyaanike sehemu isiyokuwa na jua kali ili kutokupoteza ubora wake (mzizi wake ni mkali,ladha ya tangawizi na uchungu mkali ndani yake).Baada ya kukauka vizuri,tafuta sufuria uikaange mpaka iingue kama mkaa,baada ya hapo saga vizuri uwe unga mweusi kama wa mkaa.Mkuu kuna wale wanateseka na bawasiri kwa muda mrefu sana, ni dawa gani ya kutumia
Sent using Jamii Forums mobile app
Moja kwa moja.Hata zamani walitibu kwa mimea,operation zimeshamiti sana siku za hivi karibuni.Baba Vladmir; na wengineo
Hivi hernia inaweza kutibika kwa dawa zetu hizi za kiasili au ni mpaka operesheni?
Asante sana kiongozi! Wacha nikatafute asali mbichi! Je ni asali ya nyuki gani!? wadogo au wakubwa!Tumia asali mbichi,paka eneo hilo lote sugua kama dk 10 acha ikaukiane hapo hapo, fanya hivyo mara 2 kwa siku,usiku ukienda kulala unapaka asubuhi unanawa,hakikisha nywele umenyoa
Unafanyeje sasa ndūgū wane?Moja kwa moja.Hata zamani walitibu kwa mimea,operation zimeshamiti sana siku za hivi karibuni.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
UCHAWI HUU NA MASHETANIshukran mkuu kwa uzi wako
mimi na ugonjwa ambao mpaka sasaiv ni mwaka wa kumi unanitesa . huu ugonjwa ulianza katikati ya tumbo panakuwa panauma. Siku zilivyo enda nilianza kuwa nahisi baridi na kutetemeka alfu badae nakuwa sasa .
kuna siku nililala usku iyo hali ya baridi ilinijia nilianza kusikia kama akiri yangu inachanganyikiwa nikaanza kujikuta napiga keleke bila mimi kupenda yani najihic kama kuna nguvu inanisukuma nipige kelele . walinipeleka hospital wakahisi wenda itakuwa ni maralia ya kichwa nilipewa dawa ila iyo hali ilipotea nikawa sawa.
zikapta kama wiki mbiri ile hali ikanirudia na bado nakuwa napiga kelele yani tena ikazidi kunakuwa kama kuna kitu kwenye akiri kinanilazimisha kupiga kelele yani nikama nilianza kuchanganyikiwa ivi. mana ilifika atua nikawa natamni kutembea uchi .
nikiwa natembea kama gari inakuja kuna akiri inaniambia niingie kwenye uvungu wa gari yani nikama nimechanganyikiwa kama nikienda kisimani kuchota maji natmni niingie kisimani yani ivyo .
sasa ikabidi nianze kuzunguka kwa waganga nimetembea kwa waganga wengi sama mkuu ila bado hali aikuwa sawa.
sasa pembeni ya tumbo kunakama kitu kinakuwa kama kinakwangua tumbo alfu sasa kinakuwa kinanichosha. napiga miayo balaaah. mkono wangu wa kushoto na mguu wangu wa kushoto Auna nguvu sasa hili ndio moja ya tatizo linalo nitesa sana tumboni kwangu cjui kuna nini mkuu . nilisha enda hospital kupimwa lakn nikaambiwa hakuna ungonjwa . nikisimama kujinyosha nahic kizungu zingu
msaada mkuu nimeelezea kwa ufupi
Sent from my SC-03J using JamiiForums mobile app
Humu mitandaoni kuna watu wa ajabu mno!Usimjibu mwenzako hivyo ukajiona labda wewe ni mzima,kumbuka kuna wagonjwa wapo vitandani miaka na miaka,Virema,Vichaa n.k,Siyo kwamba wamejitakia,wenda walikuwa na nguvu kama wewe,ni mitihani tu mwenyezi Mungu kawapa,ambayo hata wewe anaweza kukupa
Jaribu kuongeza Kinga ya mwili utashangaa mapele yote YANAPOTEA KWA KASI.Mkuu mimi tatizo langu ni ngozi!
Kama unavyofahamu saloon zetu hizi, na mimi mara kadhaa nimekuwa mtu wa safari!
Mwaka 2020, niliotwa vijipele vinavyotoa maji maji (mapunye) sijui nilivipatia wapi, lakini wengi wamehusianisha na saloon ambapo kumekuwa na matumizi ya mashine pasipo kuzifanyia usafi zaidi.
Nimejitahidi kuyatibu mapunye hayo kwa dawa tofauti tofauti, hadi kwa wataalamu wabobezi wa ngozi Hospital, lakini halo bado tete, natimiza mwaka wa tatu sasa bila mafanikio.
Naomba msaada wako!
Maelezo yako naona yanamaana mkuu maana kuna watu walisema labda nina magonjwa ya kisukari, lakini nilipima niko sawa, na wengine wakasema itakua neuropathy hivyo nianze dozi ya vitamin B, nayo haikunipa nafuu ya kudumuPole sana!
(Blood viscosity
Vascular resistance
Cholestrol) Haya ninmiongoni mwa matatizo yaambatanayo na shida katika moyo. Maana yake unaweza kuwa na shida ya mishipa yako ya damu inayosababisha mzunguko wako wa damu kutokuwa mzuri.Ndiyo maana ukifanya mazoezi hali inakuwa nzuri kukiko ukikosa mazoezi.Watu wengi sana wana shida hizi bila kujijua na dalili ni zilezile unazoainisha hapa.Bahati mbaya sana hata katika hosp zetu imekuwa ngumu kubaini labda utembelee hosp kubwa zenye wataalam wa hali ya juu. Andaa Tonic juice yako kama nilivyoelekeza katika uzi wangu uliopita utumie baada ya mwezi leta mrejesho hapa.
Lakini pia kama unaweza kupata mmea wa Mkundekunde na mwembe pori.Unga wa mizizi yake unautumia katika maji ya moto kila siku kwa siku 21.Hiyo itakusafisha mishipa yako ya damu vizuri kama bomba la maji lililozibuliwa baada ya kuziba.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Sasa mkuu mwembe pori unakua tofauti na miembe hii ninayoijua kama maembe dodo n.kPole sana!
(Blood viscosity
Vascular resistance
Cholestrol) Haya ninmiongoni mwa matatizo yaambatanayo na shida katika moyo. Maana yake unaweza kuwa na shida ya mishipa yako ya damu inayosababisha mzunguko wako wa damu kutokuwa mzuri.Ndiyo maana ukifanya mazoezi hali inakuwa nzuri kukiko ukikosa mazoezi.Watu wengi sana wana shida hizi bila kujijua na dalili ni zilezile unazoainisha hapa.Bahati mbaya sana hata katika hosp zetu imekuwa ngumu kubaini labda utembelee hosp kubwa zenye wataalam wa hali ya juu. Andaa Tonic juice yako kama nilivyoelekeza katika uzi wangu uliopita utumie baada ya mwezi leta mrejesho hapa.
Lakini pia kama unaweza kupata mmea wa Mkundekunde na mwembe pori.Unga wa mizizi yake unautumia katika maji ya moto kila siku kwa siku 21.Hiyo itakusafisha mishipa yako ya damu vizuri kama bomba la maji lililozibuliwa baada ya kuziba.
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Amewahi kupima Sukari?Misuri ya mgongoni na ganzi mikononi pamoja na miguuni..yaani mama akitembea hatua 50 lazima aweke kituo kupoza miguu.. Naombeni tiba ya hili
BrucellosisMkuu Nina tatizo la kiuno kuuma Kama kuwaka moto hivi kwa muda,ambapo muda mwingine kinatulia lakina muda mwingine knauma hasa wakati nikiea nimekaa.
Nashukuru sana kiongozi, asante sanaJaribu kuongeza Kinga ya mwili utashangaa mapele yote YANAPOTEA KWA KASI.
Kula matunda kila siku, pamoja na kutumia vitunguu swaumu asubuhi na jioni kwa sababu vina antibiotic, antiviral na antifungal properties.
Yale madawa unayojipaka yatazidi kuua bakteria wazuri wa kwenye ngozi. ACHANA NAYO.
PIGA VITUNGUU SWAUMU KILA SIKU KWA MIEZI MIWILI USIPOPONA NAJIONDOA JAMIIFORUMS NAJITOSA BAHARINI.